Ningekuwa ni Mmoja wa viongozi wa CHADEMA muda huu ningekuwa mpakani

Ningekuwa ni Mmoja wa viongozi wa CHADEMA muda huu ningekuwa mpakani

Amesema ukweli kuwa mna mipango miovu ya kutaka kuiingiza nchi katika TAHARUKI kupitia njia tofauti.....

Well....

Sawa mimi ni mpuuzi ,kaandamane mwerevu. ...

Sawa mimi mtoto mdogo ,wewe mkubwa mwenye kujitambua vyema kaandamane S 23....

Kila la heri katika maandamano ewe bingwa wa ujasiri nyuma ya keyboard.....

Si muwakamate? Samiah must go
 
Maandamano yote huwa nashiriki. Tangu operesheni Sangara. Karibu tujumuike.
🤣🤣
Sangara ?!!

Na jana tumeelezwa kuhusu SAMAKI....

Sasa haya kaandamane tena katika operesheni yenu ya NYANGUMI hiyo S 23....mmekua sasa 🤣

Mimi si mwerevu kama wewe wa kutaka kumwondoa rais wa nchi yangu kwa njia mbovu kupitia maandamano na machafuko.....

Andamana mwenyewe mzee wa kukokotoa kutoka kule M 23 na hii ni S 23 🤣
 
Usiamini wala kujipa imani kuwa kila siku, wewe ukiwa wa kuua, utaendelea kuua watu wengine tu. CCM ilifanya huo ushenzi wakati wa awamu ya 5, katika awamu hii imezidisha maradufu huo ushetani maradufu, lakini ujue kuwa kuna wakati wa wao wauaji, siku nyingine, kukaa huko mipakani, hata kama watu wa haki hawatakuwa bunduki mikononi. Aliyekuwa Rais Bangladesh, Sheikh, mpaka leo amekuwa mkimbizi nchini India. Wananchi hawakubeba panga wala shoka ila uovu wake uligeuka kuwa silaha nzito za kumkimbiza.

Sikiliza hotuba ya Rais ya Jana Kwa makini Sana neno to neno then utanielewa

Kama unasikiliza Ile hotuba umekaa unaangalia mpira uwez kuelewa chochote

Ila kama ulikuwa unataka kuingia barabarani tarehe 23 ukisikiliza Ile hotuba utaelewa mambo mengi Sana
 
Hata maandamano yaliyopita mlisema hivyo, mwisho wa siku mkuu wa Mkoa akahudhuria maandamano mkabaki kuhesabu uwingi wa watu

Wape Moyo waende ili urudi jf kutoa malalamiko
 
Ukisikia mbinu za kizee ndio hizi sasa. Bado unaamini kuna wajinga ww kununua huu utoto wenu? Kwa hii hotuba ya leo ya rais ndio nimejua tunaongozwa na wajinga wa kiasi gani.

Tindo ww ni mwelewa Sana,

I know unaelewa what I mean

So siwez kubishana na wewe because I'm very sure unaelewa vizuri kabisa ninacho kimaanisha hapa

Unadhania kwanini Rais amesema amesikiliza clip ya slaa? Nchimbi?

Fungua code mzee
 
Nimecheka kwa nguvu, tena sio Mnyika tu wamuite hata mkewe, lakini ukweli kuwa vyombo vya usalama na serekali yake ndio wahusika wa huu utekaji na mauaji ya wapinzani yako wazi. Kama Dr.Slaa alichosema ni kweli wamrudishie ubalozi wake.

Ukisikia za mwizi ni 40 ndio hii sasa. Mtaumiza wapinzani sasa ili kuwatisha na kutaka umma uone ni wasafi. Wabambikieni kesi ya ugaidi kama ile ya Mbowe, lakini hili liko vibaya zaidi. Watu waelewa wanawachora tu.

Kidogo umeanza kunielewa sasa
 
Hizo za kubambikia wapinzani ili kufunika huu utekaji na mauaji inaeleweka. Hata aagize nini kifanyike, tayari yeye na serekali wameshafeli pakubwa kwenye imani ya umma. Zama za kutishia na kudanganya umma zilishaisha.

Umma Gani?

Huu umma mnaozungumzia hapa ni huu umma wa JF?
 
Tindo ww ni mwelewa Sana,

I know unaelewa what I mean

So siwez kubishana na wewe because I'm very sure unaelewa vizuri kabisa ninacho kimaanisha hapa

Unadhania kwanini Rais amesema amesikiliza clip ya slaa? Nchimbi?

Fungua code mzee
Rais mzima anaenda hadharani anabeba viclip visivyo na kichwa wala miguu, kisha anasema huo ndio ushahidi! Yaani ni bonge la aibu huku hana majibu ya waliotekwa.
 
Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.

Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.

Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.

Otherwise Segerea itawahusu

Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Kwann watoroke ushahid si mnao nendeni kawakamateni wako mikochen apo wanaendelea na kikao cha maandamano ya tarehe 23
 
Umma Gani?

Huu umma mnaozungumzia hapa ni huu umma wa JF?
Jf ni sehemu tu ya kuripoti hisia za umma. Au unaamini wasiongia jf ni wajinga hivyo wanaamini huo utopolo alioongea rais?
 
Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.

Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.

Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.

Otherwise Segerea itawahusu

Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Tangu lini chadema wakaplan vurugu?
Hizo ni poropaganda za ccm ila yana mwisho wake yote haya.
Jiwe mwenyewe na ubabe wake yupo chato sasa hivi chali
 
Tangu lini chadema wakaplan vurugu?
Hizo ni poropaganda za ccm ila yana mwisho wake yote haya.
Jiwe mwenyewe na ubabe wake yupo chato sasa hivi chali

Rais kasema ana taarifa zote za kikao chao cha Arusha
 
Jf ni sehemu tu ya kuripoti hisia za umma. Au unaamini wasiongia jf ni wajinga hivyo wanaamini huo utopolo alioongea rais?

Ngoja uone tarehe 23 si kesho tu
 
Back
Top Bottom