Ningekuwa ni Mmoja wa viongozi wa CHADEMA muda huu ningekuwa mpakani

Ningekuwa ni Mmoja wa viongozi wa CHADEMA muda huu ningekuwa mpakani

Ww uko kwenye keyboard unaweza kuandika anything

But wahusika wameelewa namaanisha nini
Sisi ndio wahusika hatujakuelewa kabsaaa. Umeandika kama hadithi ya kufikirika.

Iko namna huu pride huja kabla ya …

Tupo imara zaidi.

Hii nchi ni yetu I mean Tanga yenye nyika sio majini kwenye maji
 
......hatari sana mkuu...

Hatari sana....

Najiuliza ingekuwaje huyo mwenzao Zitto asingetokea mlango wa Pilato na kuamua kupita mlango ambao MATEJA walijazana wakiwa na Kalamu zao na penseli....

Akina Sauli Mbavupana ,Maryam Sembenko ,Ali Chongomoja ,Willy Lyakya na mateja wenzao wa ubungo na kimara.....

Mateja si watu....🤣
Chadema wahuni sana hawa
 
Kaandamane ewe bingwa wa nyuma ya keyboard....
Hivi hamna hata chembe ya aibu kumwona mtu wenu akiumbuka kwa kusema uongo mbele za watu wenye akili timamu?
Sihitaji kuhimizwa na watu wapuuzi aina yako nifanye jambo lolote; na wala sihitaji kuripotinkwako juu ya uhusika wangu katika jambo lolote.
Akili zenu mnakuwa kama watoto wadogo?
 
Akienda tu huyo ndio MHAINI mwenyewe.... TREASON TREASON TREASON
Naona hili neno la 'treason' ni msamiati mpya kwako, maana umekuwa ukimba hilo neno kila siku humu. Haisaidii kitu, hata ungerudia mara milioni; huyo mama yenu kishaonyesha kichwani hazitoshi kabisa na ni mwongo aliye kubuhu.

Sasa kajifunua kila kitu; wenye akili wametambua uhafifu wa sifa yake. Mmebaki watu kama wewe ambao akili zao ni chini kabisa kutambua chochote.
 
Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.

Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.

Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.

Otherwise Segerea itawahusu

Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Acha woga dogo, chama rasimi Cha Cha siasa linawezaje kupanga vurugu??

Sema tu mama nchi imemshinda anatafuta sababu ya kuwakamata wapinzani ili awadhoofishe karibu na uchaguzi ashinde kwa udanganyifu

Ccm tunawajua uongo rejea matukio yaliyopita

1. kauli ya mahita dhidi ya chama Cha cuf miaka Ile kuwa wameingiza contena za visu

2. Kauli ya mwigulu nchemba kuwa mkurugenzi wa ulinzi wakati huo chadema amepanga kuwateka wahariri wa mwananchi

3. Ushahidi feki wa Ugaidi feki uliotengenezwa na kingsi ukashindwa kesi mahakamani

ccm always wanatapatapa tu
 
Chadema si wamoja tena. Inakuwaje vikao vyao vya siri vinadukuliwa??
Chama Cha siasa kina vikao Gani vya siri?
Nani mjinga atatumia miundo mbinu hii na TCRA kufanya mapinduzi??

Tuliona wakati ule wa mwendazake Tcra wakiingilia mawasiliano ya akina nape, kinana makamba,
Iweje Leo eti cdm wamesahau wanatumia hiyo njia?

Tuseme tu siku zote ni uoga wa ccm kupoteza madaraka unapelekea huu ujinga wote
 
Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.

Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.

Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.

Otherwise Segerea itawahusu

Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Hizo za kubambikia wapinzani ili kufunika huu utekaji na mauaji inaeleweka. Hata aagize nini kifanyike, tayari yeye na serekali wameshafeli pakubwa kwenye imani ya umma. Zama za kutishia na kudanganya umma zilishaisha.
 
Soon utanielewa
Myika si ameitwa police then utaelewa

Unajua clip ya Dr slaa kuhusu kutekana inasemaje? Ukipata hiyo clip then utanielewa what I mean
Nimecheka kwa nguvu, tena sio Mnyika tu wamuite hata mkewe, lakini ukweli kuwa vyombo vya usalama na serekali yake ndio wahusika wa huu utekaji na mauaji ya wapinzani yako wazi. Kama Dr.Slaa alichosema ni kweli wamrudishie ubalozi wake.

Ukisikia za mwizi ni 40 ndio hii sasa. Mtaumiza wapinzani sasa ili kuwatisha na kutaka umma uone ni wasafi. Wabambikieni kesi ya ugaidi kama ile ya Mbowe, lakini hili liko vibaya zaidi. Watu waelewa wanawachora tu.
 
Chadema si wamoja tena. Inakuwaje vikao vyao vya siri vinadukuliwa??
Hamna vikao hapo, watu wanalazimisha kujisafisha baada ya utekaji na mauji kuwachafua. Mkuu unashindwa kuona picha ya hadaa ili serekali ijisafishe? Walianza kusema kuna maiti zimekutwa kwa waganga, ni mahakama gani ina kesi ya mauaji za wale waganga ambao miili ilikutwa imezikwa?
 
Chura kalishwa tango pori maana kajochanganya eti katumiwa clip ya slaa wa CHADEMA??who is slaa wa CHADEMA???
na hiyo clip anayoiongelea ya Slaa ni ya 2021 yeye ndo kaipata juzi??
Hii mbinu ya huyu mama kutaka kujisafisha baada ya utekaji na uuaji chini ya serekali yake inaitwa mfa maji haachi..
 
Ukijua kwanini kapewa clip wakati huu then utaungana na Mimi kuwa viongozi waanze kwenda border mapema
Na viongozi wa cdm wakifuata huu ushauri wako wa kitoto, ndio wataisafisha serekali na haya mauaji na utekaji. Haendi mtu kokote. Waumizeni fanyeni mtakalo lakini ukweli huu kuwa serekali ndio muhusika wa haya mauji na utekaji hauondoki. Wajinga wamesha. Aliyemshauri Samia kutumia mbinu za kishenzi za dhalimu magu kachemsha.
 
Walioelewa wameelewa ww weka kichwa ngumu ukiwa home na family yako

Wenzako familia zao zilishakimbia Tanzania

Akili za kuambiwa changanya na zako
Ukisikia mbinu za kizee ndio hizi sasa. Bado unaamini kuna wajinga ww kununua huu utoto wenu? Kwa hii hotuba ya leo ya rais ndio nimejua tunaongozwa na wajinga wa kiasi gani.
 
Back
Top Bottom