GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #161
Inasikitisha!Kwisha habari zake
Serikali ikasitisha kila kitu nahisi ashapewa mwekezaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha!Kwisha habari zake
Serikali ikasitisha kila kitu nahisi ashapewa mwekezaji
Kwa hyo unataka ushauriwe jinsi ya kufanya baada ya kukuta dhahabu shambani mwako?hayaaSi kweli mkuu.
Kwanza, sina tabia ya upigaji.
Pili, Wana JF si wajinga. Wewe umemwona mtu anayeweza "kupigwa" humu?
Tatu, hakuna mtu anayefahamu kila kitu. Lakini kile kidogo ukijuacho ukiongezea na uliyoongezewa na wengine, kinakuwa na tija zaidi.
Ndiyo lengo la huu uzi. Kuongeza maarifa!
Usichukulie kila kitu serious ndugu. Huoni nafanya mzaha hapo.sinia dokta rutagwerera huyu ameuliza badala ya kumjibu unamuuliza tena! nyie watu wa katerero sijui mpoje..
Ungekuwa unasoma mwanzo wa comment zilipoanzia ungelewa nilichoandika ila kwa vile umesoma comment hii moja na ukaitolea majibu siwezi kukulaumuLugha fasaha na biashara ya madini ni vitu viwili tofauti mkuu!
~ Arusha kuna Wamasai wanafanya biashara kubwa ya Tanzanite japo hawajui Kiswahili fasaha.
~ Tanzania kuna Wachina wanaofanya mpaka umachinga japo hawakijui Kiswahili fasaha wala Kiingereza fasaha.
Ukishakuwa na mzigo, utauuza ti, hata kama hujui lugha. Hata lugha ya ishara inaweza kutumika.