GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #121
๐๐๐Mada nzuri hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐Mada nzuri hii
Wahusika wa Madini, Mimi na Madini wapi na wapi? ApechealoloWahusika gani mkuu? Wizara ya madini?
๐๐๐Wahusika wa Madini, Mimi na Madini wapi na wapi? Apechealolo
Mwenye kisima aliweza kuambulia chochote?Chota kimyakimya tena peke yako, usithubutu kumjulisha mkeo na asishike jembe mwambie ataharibika mikono kwa kuota sugu.
Kunajamaa aliajiri mtu amchimbie shimo la choo, jamaa aliikuta chepe huku mchimbaji hajulikani alipo
Nahisi na mimi ningefanya hivyo!Ningetoka eneo la tukio kwenda kuhifadhi jiwe kubwa kwanza kisha mengine yaendelee
Huo utakuwa ni uonevu kama siyo uwizi.Utadakwa na Serekali ukatoe maelezo alafu unapokonywa unakua wa kwao wanamuita muwekezaji wewe unatimuliwa bila kupewa chochote upishe uchimbaji uendelee
โ ๐Kwanza chukua kakipande kadogo ka kuuza kakufanye uwe na ukwasi wa kufanya biashara hiyo hiyo ya madini. Usiwe na haraka, ielewe vizuri biashara na siri zake, ukishaijua utajua namna sahihi ya kufanya usipoteze.
Hata ukipewa bure shamba lenye nyanya tayari kwa kuvunwa kama hujui jinsi soko linavyofanya kazi unazipoteza.
1. Zungusha ukuta/fence eneo loteHebu tupe hekima yako na wewe mkuu.
Chukulia wewe ni mtu wa kawaida tu, halafu ukakutana na dhahabu kubwa kama kichwa cha ng'ombe shambani kwako, utachukua hatua gani?
Fikiri mkuu kitakachotokea endapo utagundulika.1. Zungusha ukuta/fence eneo lote
2. Jenga makazi hata chumba kimoja hamia
3. Anza kuchimba na kuingiza sokoni taratibu
โ ๐๐๐Uko sahihi. GoldDhahabu amechokonoa mada nzuri sana. Yeye ameeleza wazi kuwa lengo ni kujua utaratibu wa kisheria iwapo hali kama hiyo itatokea. Wengi tunajua kuwa iwapo tukio la la bahati la aina hiyo likitokea, asilimia kubwa watafanya siri na kuuza bila kujulisha umma. Ila nia ya uzi ni kujua kisheria inatakiwa ufanye na consequenses zake...
Nani atagundua?Fikiri mkuu kitakachotokea endapo utagundulika.
๐๐๐Aliekwambia leseni inahitaji experience ni nani??? Na unaongelea black book gani kaka..... TAFUTA HELA leseni unapata hata makazi ya RAIS
Serikali.Nani atagundua?
Lugha fasaha na biashara ya madini ni vitu viwili tofauti mkuu!Hio - Hiyo
Kua - Kuwa
Sasa kama unashindwa kuandika maneno ya lugha ya kiswahili kwa usahihi wala huwezi kutumia alama za uandishi
Sasa utakuwaje na akili ya kuuza hiyo dhahabu?
Kama unayo, nipe nikuuzie
๐๐๐Sawa mkuu mwaga elimu wewe unaejua mengi
โ ๐Cha kwanza na mshukuru Mungu , chapili na enda kuuza nusu ila nafanya utafiti nisitapeliwe
๐คฃ๐คฃ๐คฃDhahabu hata kwa meno unakata.
Lugha fasaha na biashara ya madini 'no'! vitu viwili tofauti mkuu!Lugha fasaha na biashara ya madini no vitu viwili tofauti mkuu!
~ Arusha kuna Wamasai wanafanya biashara kubwa ya Tanzanite japo hawajui Kiswahili fasaha.
~ Tanzania kuna Wachina wanaofanya mpaka umachinga japo hawakijui Kiswahili fasaha wala Kiingereza fasaha.
Ukishakuwa na mzigo, utauuza ti, hata kama hujui lugha. Hata lugha ya ishara inaweza kutumika.