Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afunge mashine ya kusaga unga ,azungushie Uzio mrefu sana hilo eneo lake na ulinzi wa kutosha halafu aajiri vibarua miners toka Burundi au Uganda hukoUliza ilichomkuta yule Jamaa wa Shinyanga.
Muhimu ni kutuliza munkari.
Chukua sehemu kauze kaboreshe mahali pako kwa kuweka hata kiwanda cha unga wa sembe then usiku unangurumisha machine watu wanajua unaasaga sembe kumbe unaasaga mawe.
Ukijiroga tu utauwawa . Usicheze na pesa
View attachment 2823887
Ni wakati wa kupeleka mapendekezo Serikalini ili hii sheria ifanyiwe Marekebisho,haiwezekani unakuta kwenye Shamba lako kitu chochote kile halafu ww mmiliki wa Shamba hupati hata Sumni hio haipo sawa.Serikali kupitia Wizara ya Madini kutunga Sheria ili watu wenye Mashamba nao wafaidike kupitia Mashamba yao kwa kuwa nao wanakuwa wameshawekeza humo ndani ya hayo Mashamba vitu vingi tu.Serikali ilifikirie hili suala hata akija muwekezaji basi huyu mwenye shamba anajua ana asilimia zake.Sheria ya kikoloni na iliyopitwa na wakati
Kuna akili hapa, unajifanya brokaNaichukua naiweka ndani. Simwambii mtu yoyote. Hapo cha kufanya nakuwa namega kipande kidogo naenda kuuza.
Naenda mgodini, najifanya nanunua mawe ya dhahabu km sonko kisha nauza mpk mzigo unaisha. H
Hapo simwambii mtu yoyote ile yaani kimya kimya
Maeneo ya Geita au kahama Shinyanga ukimiliki shamba au kiwanja ni kawaida kukutana na hicho kitu , kila siku inaibuka migodi huko kwenye makazi ya watuChota kimyakimya tena peke yako, usithubutu kumjulisha mkeo na asishike jembe mwambie ataharibika mikono kwa kuota sugu.
Kunajamaa aliajiri mtu amchimbie shimo la choo, jamaa aliikuta chepe huku mchimbaji hajulikani alipo
Fuga mbwa tishio kama Rottweiler hakuna fala kuingia wala kutoka...Afunge mashine ya kusaga unga ,azungushie Uzio mrefu sana hilo eneo lake na ulinzi wa kutosha halafu aajiri vibarua miners toka Burundi au Uganda huko
Wabongo ni waropokaji sana
Watakuwekea mtego wa kukufuatilia tu lazima wajue uliko itoaMiye ntaikata kidogo alafu naenda mtoni huko nakoga masingizia nimeokota humo. Nawaacha wavurugane humo miye nachomba kidogo kidogo.
sinia dokta rutagwerera huyu ameuliza badala ya kumjibu unamuuliza tena! nyie watu wa katerero sijui mpoje..Una mpango wa kuokota dhahabu au tayari unayo?
Wabongo utNaanzisha karakana ya kufyatua tofali. Mchana tofali usiku dhahabu.
Wabongo utakao waajiri ndio watakao kuchoma ,yaani hiyo inabidi hiyo mbanga ufanye na watu wa mataifa ya nje , kama unataka kuchimba siri iwe yako tu .Naanzisha karakana ya kufyatua tofali. Mchana tofali usiku dhahabu.
Kweli aiseee wabongo ni wiki tu wanaharibu mamboAfunge mashine ya kusaga unga ,azungushie Uzio mrefu sana hilo eneo lake na ulinzi wa kutosha halafu aajiri vibarua miners toka Burundi au Uganda huko
Wabongo ni waropokaji sana
Kwisha habari zake😃😃😃
Mwisho wa "siku" hali yake kiuchumi ilikuwaje ukilingsnisha na kabla ya kupata dhahabu?
Hahahaaaaaaa yani ni vituko aiseeeWakikuta bangi shambani mwako ni yako, ila dhahanu ni yao.
Wakati wa Magufuli nilimsikia akisema:..."hizi sheria za ajabu ajabu ndiyo zinasababisha utoroshwaji wa madini nje"...Kwa hiyo kumbe ni bora ujinyamazie zako na kuiuza kimya kimya.
Lakini Serikali imetoa wapi huo utaratibu? Mbona inawashawishi raia kusema uongo?
✅🙏SIMPLE KAKATE LESENI YA UNUNUZI WA ZAHABU THEN ZUNGUSHA FENSI.UWANJA WAKO THEN.MEGA KIDOGOKIDOGO UNAPELEKA SOKONI.SIMPLE AND CLEAR KUMBUKA HII KAZI.UNATAKIWA UIFANYE PEKEE YAKO IKIWEZEKANA HAMISHA KABISA FAMILIA YAKO PELEKA SEHEMU.NYINGINE HII INAKUWA SILI YAKO WEWE TU NA MCHIMBAJI WEWE TU.