Nini cha kufanya endapo utakuta dhahabu kwenye shamba au kiwanja chako?

Nini cha kufanya endapo utakuta dhahabu kwenye shamba au kiwanja chako?

Hiyo namba 2 hapo nikuulize swali, Je unafuatilia ile kesi kule Mtwara ya yule mfanyabiashara ya madini (RIP) ?
Ukiwapelekea hawatakuwa na shida na wewe. Sana sana watakutia moyo ufanye hivyo tena. Watakuwa marafiki zako wa karibu.

Kwani umeshawahi kumsikia mtu anayemchukia mtu anayempelekea ulaji?

Polisi siyo wajinga mkuu! Mbele ya dhahabu, usishangae unaitwa kamanda hata kama hujapitia mgambo.
 
Ukiwapelekea hawatakuwa na shida na wewe. Sana sana watakutia moyo ufanye hivyo tena. Watakuwa marafiki zako wa karibu.

Kwani umeshawahi kumsikia mtu anayemchukia mtu anayempelekea ulaji?

Polisi siyo wajinga mkuu! Mbele ya dhahabu, usishangae unaitwa kamanda hata kama hujapitia mgambo.
Utaishia kusikojulikana wewe wanagawana ulichowapelekea kiulaini.
 
Sawa mkuu mwaga elimu wewe unaejua mengi
Kwanza unatuma maombi ya leseni then chukua coordinates za eneo unalotaka kukatia leseni yako nenda ofisi za madini wahakiki kama hilo eneo halina mtu aliekatia leseni ( Watahakiki kupitia coordinates ulizopeleka ) baada ya hapo kuna vitu vidogo kama form ya kiapo kutoka kwa mwanasheria ambayo nayo utaipeleka kwenye ofisi ya madini....Leseni ikikamilika unapigiwa cm ukaifuate kazi inakua imeisha.



Hizo process zote hakuna wa kukuuliza kama una taaluma au hauna, Na hayo mambo ya kuwekwa kwenye blackbook sijui yametokea wapi ha ha ha.

Kwa kuongezea, Siku hizi wamerahisisha unaweza ukatuma maombi ya leseni hata ukiwa kwako na smartphone yako, Unaingia kwenye website ya wizara ya madini.
 
No. Jamaa katika kuchimba choo akakutana nazo. Maisha yakabadilika akaweka ukuta mkubwa nyumbani kwake akaanza kuchimba. Wananci wakaotea wakaenda kubomoa ukuta wakaanza kuchimba mpaka chumbani kwake
😃😃😃

Mwisho wa "siku" hali yake kiuchumi ilikuwaje ukilingsnisha na kabla ya kupata dhahabu?
 
Kwanza unatuma maombi ya leseni then chukua coordinates za eneo unalotaka kukatia leseni yako nenda ofisi za madini wahakiki kama hilo eneo halina mtu aliekatia leseni ( Watahakiki kupitia coordinates ulizopeleka ) baada ya hapo kuna vitu vidogo kama form ya kiapo kutoka kwa mwanasheria ambayo nayo utaipeleka kwenye ofisi ya madini....Leseni ikikamilika unapigiwa cm ukaifuate kazi inakua imeisha.



Hizo process zote hakuna wa kukuuliza kama una taaluma au hauna, Na hayo mambo ya kuwekwa kwenye blackbook sijui yametokea wapi ha ha ha.

Kwa kuongezea, Siku hizi wamerahisisha unaweza ukatuma maombi ya leseni hata ukiwa kwako na smartphone yako, Unaingia kwenye website ya wizara ya madini.
Mkuu, ni rahisi kiasi hicho?
 
Inawezekana kuonekana ni mjadala wa kivivu lakini ni wenye manufaa sana.........

Hivi melting point ya dhahabu ni ngapi ili uweze kuikata na kuuza kidogo kidogo kwa usalama wako..,...au unaweza kuikata na msumeno tu kama nondo ya kawaida....???
✅🙏
 
Inawezekana kuonekana ni mjadala wa kivivu lakini ni wenye manufaa sana.........

Hivi melting point ya dhahabu ni ngapi ili uweze kuikata na kuuza kidogo kidogo kwa usalama wako..,...au unaweza kuikata na msumeno tu kama nondo ya kawaida....???
Melting point ya dhahabu ni nyuzi joto (C) 1064.
 
Mkuu, mbona kama ungekuwa "suspicious?"

Sidhani kama kuna mtego wowote kwenye huu uzi.
Haiwezekani ukute dhahabu shambani kwako alafu usijue cha kufanya.ndo maana nakuona kama unatka kumpiga mtu.ni sawa na uokote fuko la hela alafu haujui ufanye nini
 
Haiwezekani ukute dhahabu shambani kwako alafu usijue cha kufanya.ndo maana nakuona kama unatka kumpiga mtu.ni sawa na uokote fuko la hela alafu haujui ufanye nini
Si kweli mkuu.

Kwanza, sina tabia ya upigaji.

Pili, Wana JF si wajinga. Wewe umemwona mtu anayeweza "kupigwa" humu?

Tatu, hakuna mtu anayefahamu kila kitu. Lakini kile kidogo ukijuacho ukiongezea na uliyoongezewa na wengine, kinakuwa na tija zaidi.

Ndiyo lengo la huu uzi. Kuongeza maarifa!
 
Back
Top Bottom