Nini cha kufanya endapo utakuta dhahabu kwenye shamba au kiwanja chako?

Nini cha kufanya endapo utakuta dhahabu kwenye shamba au kiwanja chako?

Kama kweli umepata Gold Nuggets sema ili nikushauri kitu chenye Uhalisia coz mimi ni mdau wa Madini....!

Ila kama ni story tu ambazo hazina uhalisia, basi wacha niendelee kusoma Comments.
Huu uzi ilibidi uwe mzuri sana,lakini unakuwa wa kipumbavu,page ya tatu,mtoa mada anauliza tu maswali.Nilijua humu kuna majibu,kumbe ni sehemu ya maswali fikirishi na fikra mfu.
 
Huu uzi ilibidi uwe mzuri sana,lakini unakuwa wa kipumbavu,page ya tatu,mtoa mada anauliza tu maswali.Nilijua humu kuna majibu,kumbe ni sehemu ya maswali fikirishi na fikra mfu.
Uko sahihi. GoldDhahabu amechokonoa mada nzuri sana. Yeye ameeleza wazi kuwa lengo ni kujua utaratibu wa kisheria iwapo hali kama hiyo itatokea. Wengi tunajua kuwa iwapo tukio la la bahati la aina hiyo likitokea, asilimia kubwa watafanya siri na kuuza bila kujulisha umma. Ila nia ya uzi ni kujua kisheria inatakiwa ufanye na consequenses zake...
 
Uliza ilichomkuta yule Jamaa wa Shinyanga.
Muhimu ni kutuliza munkari.
Chukua sehemu kauze kaboreshe mahali pako kwa kuweka hata kiwanda cha unga wa sembe then usiku unangurumisha machine watu wanajua unaasaga sembe kumbe unaasaga mawe.
Ukijiroga tu utauwawa . Usicheze na pesa
View attachment 2823887
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ushauri wangu kama ni eneo ambalo halina history ya dhahabu (probability ya uwepo wa leseni ni mdogo) nenda tume ya madini usiseme umeiona au kugundua dhahabu we kata kipande kikubwa Hadi kwa watu ambao bado hawajastuka lipia leseni (watakupa utaratibu) baada ya hapo we tangaza Kuna mzigo. Wadau watakuja ruhusu wachimbe we kula asilimia tu......
Hapo penyewe tu ukienda kuomba kukata leseni ya kitalu tayari wataweka doti kichwani mwao,
 
Naichukua naiweka ndani. Simwambii mtu yoyote. Hapo cha kufanya nakuwa namega kipande kidogo naenda kuuza.
Naenda mgodini, najifanya nanunua mawe ya dhahabu km sonko kisha nauza mpk mzigo unaisha. H
Hapo simwambii mtu yoyote ile yaani kimya kimya
kumbuka hakuna siri ya mtu mmoja,ipo siku utamropokea tu hata mkeo ama nduguyo
 
Sio rahisi kuitoa Dhahabu ardhini kisiri kwa mtu maskini tofauti na almasi au Tanzanite ambazo huwa zinapatikana kama mawe.
 
Haya ndio mapungufu tuliyotengenezewa na waasisi wa taifa hili kwa kufurahia uhuru wa bendera hadi kusahau kufanya mgawanyo wa ardhi kwa kuzingatia umiliki wa awali wa kimila.

Serikali ni project ya wakoloni waliopora ardhi ya waafrika na kuihalalisha kwa mkutano wa kugawana mali ya wizi huko Berlin.

Utata unaojitokeza kuhusu umiliki wa ardhi na mali iliyoko ardhini kati ya Serikali na mwananchi ni ushahidi wa mapungufu ya kutofanya " Land reform" mara tu tulipopata uhuru. Serekali ilirithi mali ya wizi na haikutaka kuirejesha kwa wamiliki halali ambao ni mwananchi, badala yake imejimilikisha na kuwa mali ya Serikali chini ya usimamizi wa Rais.

Bara la ulaya baada ya kwisha vita vya pili vya Dunia,walianza kwa kuirejesha ardhi mikononi mwa wananchi, watu walipimiwa kati ekari 5 hadi 10, ardhi iliyobaki ni akiba, lakini katika mfumo wa mali ya umma ambayo ni akiba ya misitu.

Kukosekana kwa sera ya ardhi na uwazi katika kushughulikia ardhi ndio chanzo cha migogoro inayojitokeza kwenye ardhi zetu. Haishangazi kusikia bangi iliyokutwa shambani kwako ni mali yako wakati dhahabu au maji ya kisima ardhini ni mali ya Serikali......Huu ni ujinga karne!.
 
Ndo maana nilisema utonielewa.... Haya we ipeleke ila utanielewa watakapogoma kuinunua mpaka useme imetoka wapi kwa vielelezo!
Yaan lazima wakuchomeshe kwa wahusika sio kukwambia tu kukuuliza umeitoa wapi yaani ni lazima wakuchomeshe kwa wahusika unashangaa tu pira hili hapa umedakwa, na unaweza ukaporwa na mamwera vile vile wakikuona mshamba mshamba reference dogo wa Mtwara RIP
 
Ushauri wangu kama ni eneo ambalo halina history ya dhahabu (probability ya uwepo wa leseni ni mdogo) nenda tume ya madini usiseme umeiona au kugundua dhahabu we kata kipande kikubwa Hadi kwa watu ambao bado hawajastuka lipia leseni (watakupa utaratibu) baada ya hapo we tangaza Kuna mzigo. Wadau watakuja ruhusu wachimbe we kula asilimia tu......
Na hii ndio mbinu pekee
 
Haya ndio mapungufu tuliyotengenezewa na waasisi wa taifa hili kwa kufurahia uhuru wa bendera hadi kusahau kufanya mgawanyo wa ardhi kwa kuzingatia umiliki wa awali wa kimila.

Serikali ni project ya wakoloni waliopora ardhi ya waafrika na kuihalalisha kwa mkutano wa kugawana mali ya wizi huko Berlin.

Utata unaojitokeza kuhusu umiliki wa ardhi na mali iliyoko ardhini kati ya Serikali na mwananchi ni ushahidi wa mapungufu ya kutofanya " Land reform" mara tu tulipopata uhuru. Serekali ilirithi mali ya wizi na haikutaka kuirejesha kwa wamiliki halali ambao ni mwananchi, badala yake imejimilikisha na kuwa mali ya Serikali chini ya usimamizi wa Rais.

Bara la ulaya baada ya kwisha vita vya pili vya Dunia,walianza kwa kuirejesha ardhi mikononi mwa wananchi, watu walipimiwa kati ekari 5 hadi 10, ardhi iliyobaki ni akiba, lakini mfumo wa mali ya umma ambayo ni misitu.

Kukosekana kwa sera ya ardhi na uwazi katika kushughulikia ardhi ndio chanzo cha migogoro inayojitokeza kwenye ardhi zetu. Haishangazi kusikia bangi iliyokutwa sahambani kwako ni mali yako wakati dhahabi au maji ya kisima ardhini ni mali ya Serikali......Huu ni ujinga karne!.
"Umeongea" kwa hisia Kali sana. Natamani ungekuwa bungeni ili uufikishe huu ujumbe kwa wahusika.
 
kuitoa dhahabu ardhini kama ni masikini unawezs hata kufungwa jela kwa kusingiziwa ili upishe wenye pesa.
Ili upate dhahabu inabidi uwe na pesa nyingi sana.
Kabisa mkuu, km wamasai na umasai wao wamejikuta handeni alafu nako wanafukuzwa na wenye mji wao ni tabu sana hii.
Itakua wewe uliyeokota dhahabu shambani kwako
 
kumbuka hakuna siri ya mtu mmoja,ipo siku utamropokea tu hata mkeo ama nduguyo
Simuambii mtu yoyote hata maendeleo sifanyi km mtu mwenye hela bali taratibu na kwa umakini mkubwa.
Tena naweza kukopa bank au sehemu yoyote ni nunue kiwanja.
N.B
Kwenye hela kila mtu huwa ni adui yako
 
Kwa Sonara au wapi? Maana wakikugundua wanakuchoma na wakikuchoma umekwisha utaitwa majina yote mabaya mtorosha Madini, muhujumu uchumi, nk na kesi juu
Kuna migodi mingi tu, unaenda kuwa sonko. Unanunua mawe ya wachimbaji wadogo nawe unapitisha dhahabu hapo
Hela huwa haina rafiki ni kukaa kijanja zaidi
 
Back
Top Bottom