Nini cha kufanya endapo utakuta dhahabu kwenye shamba au kiwanja chako?

Nini cha kufanya endapo utakuta dhahabu kwenye shamba au kiwanja chako?

Hapo penyewe tu ukienda kuomba kukata leseni ya kitalu tayari wataweka doti kichwani mwao,
Chamsingi wakupe leseni hapa unahitajika umakini Kuna baadhi ya watumishi sio waaminifu watatakanawe mwana hisa pia so akili kumkichwa
 
Nyamongo hapo kuna watu wananunua mawe kutoka kwa wachimbaji wadogo hata kwa watu wanaokota mawe kwenye mgodi wa Acacia. Nilishafika Nyamongo nikajionea
Hawa wanunuaji wanaitwa Sonko /masonko
Kwa hio wewe kapuku wa huko ndani ndani hio hela ya kua Sonko unaitoa wapi zaidi ya kwenda kujichomesha mwenyewe upokonywe na mamwera mwisho ubebe mtutu km Hamza ufe kibudu
 
Chamsingi wakupe leseni.
Wakupe leseni kwa kipi lazima wakuweke kwenye black book kwanza wewe huna taaluma ya Madini hujawahi kuchimba leo hii ukurupuke tu unataka leseni unafikiri leseni wanatoatoa tu hivi
 
Wakupe leseni kwa kipi lazima wakuweke kwenye black book kwanza wewe huna taaluma ya Madini hujawahi kuchimba leo hii ukurupuke tu unataka leseni unafikiri leseni wanatoatoa tu hivi
Aliekwambia leseni inahitaji experience ni nani??? Na unaongelea black book gani kaka..... TAFUTA HELA leseni unapata hata makazi ya RAIS
 
Kwa hio wewe kapuku wa huko ndani ndani hio hela ya kua Sonko unaitoa wapi zaidi ya kwenda kujichomesha mwenyewe upokonywe na mamwera mwisho ubebe mtutu km Hamza ufe kibudu
Hio - Hiyo
Kua - Kuwa
Sasa kama unashindwa kuandika maneno ya lugha ya kiswahili kwa usahihi wala huwezi kutumia alama za uandishi
Sasa utakuwaje na akili ya kuuza hiyo dhahabu?
Kama unayo, nipe nikuuzie
 
Hio - Hiyo
Kua - Kuwa
Sasa kama unashindwa kuandika maneno ya lugha ya kiswahili kwa usahihi wala huwezi kutumia alama za uandishi
Sasa utakuwaje na akili ya kuuza hiyo dhahabu?
Kama unayo, nipe nikuuzie
Hujanilipia Ada kalia 🖕🏽
 
Hujanilipia Ada kalia 🖕🏽
Kama kuandika tu hujui, huwezi kuwa na akili ya kumiliki mali
Hiyo dhahabu hata ukimpa mtoto wa Panya road anaiuza na kupata hela. Sasa wewe unashindwaje? Tumia akili
Chukua hiyo dhahabu kawape Panya Road uone mzigo unavyouzwa chap na watu hawakamatwi
 
Kama kuandika tu hujui, huwezi kuwa na akili ya kumiliki mali
Hiyo dhahabu hata ukimpa mtoto wa Panya road anaiuza na kupata hela. Sasa wewe unashindwaje? Tumia akili
Chukua hiyo dhahabu kawape Panya Road uone mzigo unavyouzwa chap na watu hawakamatwi
Anza wewe mtoto wa panyaroad nenda kaiuze hio dhahabu uliyonayo hapo nyuma
 
Kwa nchi zilizoendelea unapeleka Habari panapohusika na kwa mfano UK ni mali ya Crown Estate na pindi unapoipata lazima uwaeleze kwa mda usiozidi siku 14.
Nafikiri sheria zetu ndio hizo za waingereza
Ila kwa huko ukipeleka serikalini jiandae kwa lolote
Kama mfanyabiashara anauwawa na polisi, hapo jiongeze
 
Option B acha wachukue leseni wasubiri kama mwenye eneo/shamba watataka uwauzie Kwa sababu wanauhakika KATAAA ingia share/asilimia fanyeni kazi
 
Kwa hiyo kumbe ni bora ujinyamazie zako na kuiuza kimya kimya.

Lakini Serikali imetoa wapi huo utaratibu? Mbona inawashawishi raia kusema uongo?
Utakapoanza kujenga maghorofa na kununua malory, mabasi hawatakuja kukuuliza umetoa wapi pesa.Utajibu nini ukifunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji pesa, ujambazi nk ?
 
Utakapoanza kujenga maghorofa na kununua malory, mabasi hawatakuja kukuuliza umetoa wapi pesa.Utajibu nini ukifunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji pesa, ujambazi nk ?
Tupeani ushauri. Wewe ikitokea umekutana na mzigo wa aina hiyo ungefanyeje?

1. Utaupeleka kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa?

2. Utaupeleka Polisi?

3. Utautelekeza?

4. ...?
 
Tupeani ushauri. Wewe ikitokea umekutana na mzigo wa aina hiyo ungefanyeje?

1. Utaupeleka kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa?

2. Utaupeleka Polisi?

3. Utautelekeza?

4. ...?
Hiyo namba 2 hapo nikuulize swali, Je unafuatilia ile kesi kule Mtwara ya yule mfanyabiashara ya madini (RIP) ?
 
Wakupe leseni kwa kipi lazima wakuweke kwenye black book kwanza wewe huna taaluma ya Madini hujawahi kuchimba leo hii ukurupuke tu unataka leseni unafikiri leseni wanatoatoa tu hivi
Naona mmekutana wote hamna anaejua chochote... Leseni haina mambo mengi hivyo wandugu...Mnapotezana tu humu.
 
Back
Top Bottom