KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Inawezekana kuonekana ni mjadala wa kivivu lakini ni wenye manufaa sana.........
Hivi melting point ya dhahabu ni ngapi ili uweze kuikata na kuuza kidogo kidogo kwa usalama wako..,...au unaweza kuikata na msumeno tu kama nondo ya kawaida....???
Hivi melting point ya dhahabu ni ngapi ili uweze kuikata na kuuza kidogo kidogo kwa usalama wako..,...au unaweza kuikata na msumeno tu kama nondo ya kawaida....???