Nini chanzo cha Mwanamke kumuoneshea kiburi na jeuri mwanaume wake katika mahusiano

Nini chanzo cha Mwanamke kumuoneshea kiburi na jeuri mwanaume wake katika mahusiano

Kiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.

Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.

The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.

Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.

Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.

Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.

Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.

Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.

Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.

Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.

"These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money."

Chief pata 🍿🍿🍿 Kwanza hlf mangi atahusika na soda popote ulipo
 
Japo sio wanawake wote ila Kuna Aina flani ya wanawake kumuoneshea mwanaume wake jeuri na kiburi ni kitu cha kawaida tuu.

Wapo wanaume ambao wanafanyiwa vitu vya ajabu ajabu na wanawake zao lakini unakuta mwanaume yupo kimya Hana la kuongea

Inafika hatua mwanamke anakuwa jeuri na ana kiburi anamuoneshea mwanaume live live lakini mwanaume kimya

Je tuambiane kitu gani kinamfanya mwanamke anajihamini kiasi hikii

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hapo kuna maono ya pande zote mbili;
.
Mwanamke yupo kwa ajili ya kumfanya mwanaume wake awe bora, hivyo anapohisi tu kuwa mwanaume wake anatetereka lazima aanze kuleta ujeuri, hasira, changamoto na mambo mengine ya ajabu ajabu (Mungu mwenyewe anajua) ili huyo mwanaume arudi kuwa bora zaidi.
Katika hizo jeuri mwanamke mara nyingi humaanisha "kuna sehemu umelega na hunipi changamoto, umekuwa sio kichwa tena hivyo fanya mpango ubadilike urudi kuwa kichwa", japo hawezi kukupa makavu hivyo bila chenga, ni wanawake wachache wanaweza kufanya hivyo. Na kwa kuwa huyo mwanaume hatambui huo ujumbe uliofichika hapo hubaki kulalamika tu mwanamke wake kawa jeuri, kiburi na mwenye hasira alafu hafanyi kitu kitu kinachomkera zaidi mwanamke wake na kuongeza jeuri, kiburi na hasira.
Kuna GF nilikua nae, katika kudate nikaanza kutetereka, namuachia maamuzi afanye yeye, tukitaka kwenda sehemu naacha achague yeye na kila kitu apange yeye, sijiamini amini nahofia wenye hela wakija watamchukua, kila kitu akiniomba nampa, mwishowe akanichoka kwa kuwa simpi changamoto akaanza kuleta kiburi na jeuri ili tu niweze kubadilika mambo yarudi kama zamani, lakini maskini ya Mungu kipindi iko sijui ata nini cha kufanya mpaka mwisho wa siku demu mwenyewe ndo akaniambia "ebu kua bhana, kuwa mwanaume". Tangu siku hiyo nipo makini kusoma ishara za mwanamke mapema.
.
Mwanaume anayekubali kufanyiwa hivo huwa ni dhaifu, na mwanamke yoyote akikutana na mwanaume dhaifu lazima ampande kichwani.
.
Mara nyingi inatokea pale mwanaume anapokua amesharidhika na hataki kufanya kazi sana kama alivokua anafanya kipindi anatongoza kulinda heshima yake na hajui amuachaje huyo mwanamke, basi anajipa moyo kwenye hayo mateso anayopitia kwamba akichoka ataondoka mwenyewe.
 
Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion.
Huu msimamo umenisaidia sana kwa manzi wangu. Kuna kipindi alikuwa analeta pigo za kujiovervalue saivi kawa mpole
 
Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.
💯🤝 mwenye kusikia na asikie. Tuliotumia hizi mbinu tumejionea zikifanya kazi
 
Japo sio wanawake wote ila Kuna Aina flani ya wanawake kumuoneshea mwanaume wake jeuri na kiburi ni kitu cha kawaida tuu.

Wapo wanaume ambao wanafanyiwa vitu vya ajabu ajabu na wanawake zao lakini unakuta mwanaume yupo kimya Hana la kuongea

Inafika hatua mwanamke anakuwa jeuri na ana kiburi anamuoneshea mwanaume live live lakini mwanaume kimya

Je tuambiane kitu gani kinamfanya mwanamke anajihamini kiasi hikii

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
kuoa mwanamke mwenye kijiajira huku ukijidanganya "kusaidiana maisha"
 
Kiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.

Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.

The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.

Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.

Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.

Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.

Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.

Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.

Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.

Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
Umeongea ukweli mtupu kaka
 
Kuna wengine malezi na makuzi yao yamewafanya wawe hivyo.
Ukitakuwa na ndoa yenye tabu zote, basi oa mkoa jiran na tanga pale
 
Kiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.

Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.

The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.

Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.

Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.

Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.

Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.

Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.

Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.

Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
Jamani humu hamna stationery tufanyie lamination hii comment?

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
1. Mwanamke ukishindwa kumkojoza lazima awe na kisirani na awe na mambo ya Kibabe, dharau na kejeli kwako. (Hii ni sababu kuu)

2. Mwanaume ukishindwa kutenda wajibu wako wa kumtatulia matatizo yake yanayomsibu iwe matatizo ya Kimwili, Kiakili, Kiroho na kimwili ikiwemo mambo ya kiuchumi ni rahisi kukudharau.

3. Mwanaume ukishindwa kusimama katika nafasi yako kama Mwanaume hasa katika kusimamia maamuzi na Misimamo ya kiume, akakuona ni MTU wa kupelekeshwa na kila MTU mara Mama yako, mara Dada zako, mara majirani, mara wafanyakazi wako wanakukosea heshima alafu unachekacheka kama Zuzu, akigundua na kuthibitisha Jambo hilo lazima naye akujaribu kupima upepo. Ukijaa umekwisha.
 
1.Umri
2.Hela
3.Nyadhifa

Ila mwanamke hua ana tabia ya kutest...!!akikujibu hovyo ukanyamaza...kesho yake antakulamba kkofi kidg...kesho kutwa utapewa ngumi...mtondogoo nd utaanz akupigwa na mwiko

Just kuwa na msimamo tu...ukinyanyua mkono kamwe usiushushe
 
Japo sio wanawake wote ila Kuna Aina flani ya wanawake kumuoneshea mwanaume wake jeuri na kiburi ni kitu cha kawaida tuu.

Wapo wanaume ambao wanafanyiwa vitu vya ajabu ajabu na wanawake zao lakini unakuta mwanaume yupo kimya Hana la kuongea

Inafika hatua mwanamke anakuwa jeuri na ana kiburi anamuoneshea mwanaume live live lakini mwanaume kimya

Je tuambiane kitu gani kinamfanya mwanamke anajihamini kiasi hikii

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
1: Nguvu ya pesa hana mwanamke anakuona mchosho
2: Nguvu ya uume , kama Ni kamoja mpaka mwezi uandame inakuwa shida.
3: Asili na makuzi ya mwanamke. Wanasema ukitaka kuoa mwanamke angalia jinsi anavyomuheshimu baba yake na kumujali. Kuna familia zingine mama ndiyo Baba wa nyumba amri zote utoka kwa mke hapo usiguse atataka kukufanyia wewe Kama Mama yake anavyomufanyia baba yake.
4: Mwanamke kwenda nje ya ndoa inaleta kiburi ndani Tena sana anakuona choo muda wote.
5: Kama mwanamke ana uchumi mkubwa kwetu uku Africa inakuwa shida, mwanaume unakuwa treated Kama shamba boy wake.
6: Kama amekuzidi elimu umo ndani ya nyumba unaonekana kuli. Kama amekuzidi elimu basi ukwasi kwa upande wako uwe mzuri hapo ataweka kichwa chini kama Cha mbuni.
 

Attachments

  • IMG-20230126-WA0064.jpg
    IMG-20230126-WA0064.jpg
    45.3 KB · Views: 14
Huu msimamo umenisaidia sana kwa manzi wangu. Kuna kipindi alikuwa analeta pigo za kujiovervalue saivi kawa mpole
Why treat her like gold? Lazma uoneshe ulumendago. Thats how we keep them ladies straight. Unamkanya kwanza kuwa aache ujinga thats not funny.

Akizingua tena tia vibao viwili and show her that you mean business. Kama ana akili she will never try again to act stupid. Akizingua be ready to drop her out of the scene aone kuwa hata asipokuwepo hamna kitu kinachange.
 
Kiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.

Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.

The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.

Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.

Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.

Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.

Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.

Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.

Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.

Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
Umemaliza kila kitu
 
Kiburi cha mwanamke ni zao la malezi tabia ya binti na mama hazipishani.
 
Sababu kubwa ni mwanaume kushindwa kuelewa the true animal nature in her, kila mwanamke ana kiburi ukishindwa kumtrigger anavyotaka. kuna wale wnawake anakuelewa cuz ana natural weakness kwa wanaume aina yako, so unashangaa mbona demu hapindui, it's because unamtrigger by default. Ndio maana naonaga mwanamke ili awe mtiifu ni muunganiko wa vyote, kwanza mwanamke awe ready kusubmit ila pia mwanaume kuonesha unastahili utiifu, i mean, you should earn it.

Ukikosea kuoa huwezi mbadilisha mtu
 
Back
Top Bottom