Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.
Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.
The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.
Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.
Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.
Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.
Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.
Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.
Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.
Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
Hapo kuna maono ya pande zote mbili;Japo sio wanawake wote ila Kuna Aina flani ya wanawake kumuoneshea mwanaume wake jeuri na kiburi ni kitu cha kawaida tuu.
Wapo wanaume ambao wanafanyiwa vitu vya ajabu ajabu na wanawake zao lakini unakuta mwanaume yupo kimya Hana la kuongea
Inafika hatua mwanamke anakuwa jeuri na ana kiburi anamuoneshea mwanaume live live lakini mwanaume kimya
Je tuambiane kitu gani kinamfanya mwanamke anajihamini kiasi hikii
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Huu msimamo umenisaidia sana kwa manzi wangu. Kuna kipindi alikuwa analeta pigo za kujiovervalue saivi kawa mpoleHuyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion.
Vijana wachukue hints hapaKuendekeza mideko,
Wanawake ni mafund sn kuusoma mchezo
💯🤝 mwenye kusikia na asikie. Tuliotumia hizi mbinu tumejionea zikifanya kaziUsicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.
kuoa mwanamke mwenye kijiajira huku ukijidanganya "kusaidiana maisha"Japo sio wanawake wote ila Kuna Aina flani ya wanawake kumuoneshea mwanaume wake jeuri na kiburi ni kitu cha kawaida tuu.
Wapo wanaume ambao wanafanyiwa vitu vya ajabu ajabu na wanawake zao lakini unakuta mwanaume yupo kimya Hana la kuongea
Inafika hatua mwanamke anakuwa jeuri na ana kiburi anamuoneshea mwanaume live live lakini mwanaume kimya
Je tuambiane kitu gani kinamfanya mwanamke anajihamini kiasi hikii
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Umeongea ukweli mtupu kakaKiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.
Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.
The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.
Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.
Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.
Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.
Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.
Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.
Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.
Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
Jamani humu hamna stationery tufanyie lamination hii comment?Kiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.
Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.
The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.
Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.
Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.
Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.
Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.
Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.
Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.
Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
1: Nguvu ya pesa hana mwanamke anakuona mchoshoJapo sio wanawake wote ila Kuna Aina flani ya wanawake kumuoneshea mwanaume wake jeuri na kiburi ni kitu cha kawaida tuu.
Wapo wanaume ambao wanafanyiwa vitu vya ajabu ajabu na wanawake zao lakini unakuta mwanaume yupo kimya Hana la kuongea
Inafika hatua mwanamke anakuwa jeuri na ana kiburi anamuoneshea mwanaume live live lakini mwanaume kimya
Je tuambiane kitu gani kinamfanya mwanamke anajihamini kiasi hikii
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Why treat her like gold? Lazma uoneshe ulumendago. Thats how we keep them ladies straight. Unamkanya kwanza kuwa aache ujinga thats not funny.Huu msimamo umenisaidia sana kwa manzi wangu. Kuna kipindi alikuwa analeta pigo za kujiovervalue saivi kawa mpole
Umemaliza kila kituKiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.
Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.
The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.
Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.
Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.
Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.
Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.
Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.
Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.
Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
Sio kweli japo inaweza pia.Cash ndio tatizo mwanaume ukikosa pesa unakosa nguvu zotee bro
Sababu kubwa ni mwanaume kushindwa kuelewa the true animal nature in her, kila mwanamke ana kiburi ukishindwa kumtrigger anavyotaka. kuna wale wnawake anakuelewa cuz ana natural weakness kwa wanaume aina yako, so unashangaa mbona demu hapindui, it's because unamtrigger by default. Ndio maana naonaga mwanamke ili awe mtiifu ni muunganiko wa vyote, kwanza mwanamke awe ready kusubmit ila pia mwanaume kuonesha unastahili utiifu, i mean, you should earn it.