Nini chanzo cha Mwanamke kumuoneshea kiburi na jeuri mwanaume wake katika mahusiano

Nini chanzo cha Mwanamke kumuoneshea kiburi na jeuri mwanaume wake katika mahusiano

Suala la mwanaume kukaa kimya hapa ni ishu ya emotional intelligence, wapo watu hawaumii wengine upuuzwa na kutake easy, kumchukulia mwanamke SAwa na limbukeni tu.
KILA mmoja ana namna yake ya kuchukulia mambo
 
Ulivyomzoesha tu

Mwanamke anaangalia vitu kadhaa
1.akileta dharau una respond vip?msimamo

2.Una maisha kiasi na umejipanga kiasi gan kukabili uchumi wako

3.Una jeuri ya kuvunja mahusiano

Mwanaume usipokuwa na msimamo nini unataka nini hutaki, huwezi kuishi na mwanamke ni lazima tu atakudharau..

Mwanaume usipojua unaelekea wapi kwenye maisha na uchumi huna napo ni lazima tu mwanamke atajaribu kukudharau

Mwanaume usipokuwa na jeuri ya kuvunja mahusiano na ku move on na maisha Yako. Mwanamke ni kama nafsi.BibliA imesema apendaye nafsi yake basi ataipoteza and vice versa...

Mwanaume anaitwa mwanaume sababu ya maamuzi basiiiiiii vinginevyo nyongeza tu ndo mana unakuta mtu anampa mwanamke kila kitu na ni tajiri lakini mwanamke ana mdharau lakini mwingine ana maisha ya kawaida tu pengine maskini kabisa lakini anaongea kauli moja mwanamke anatii..Mmoja anakuwa kaweka msimamo wake mezani kwamba tunaishi wote ila siku utakayo anza dharau UNAONDOKA KWENU bora niishi mwenyewe kuliko kuishi na mwanamke anayenidharau na akizingua anarudi kweli anakaa mda anaotaka yeye hafuatwi wala kujuliwa hali,akirudi arudi na magoti hataki aende akaolewe huko anapotaka yeye na sisi tutaoa...

Uwezo na ujasiri wa kuoa inabidi uendane na uwezo na ujasiri wa kuacha...Ukiweza hayo utaishi na mwanamke yeyote yule tena utashangaa mnazeeka pamoja.

Mnaooa bila kuwa na uwezo wa kuacha ndo mnataka kupiga mtu mapanga kisa mmeshindwana.

Na hapo kwenye msimamo hupaswi kuwa na msimamo hadi kwenye vitu vdg vdg vya kijinga,mke karudi saa 3 usiku badala ya sa 2 wewe unataka kufukuza,Nope.

Simamia vitu vichache vya msingi mfano usaliti,dharau/kiburi na ushirikina sitaki hapa kwangu...Ishia hapo Sasa yeye mwache aruke aruke weee ila akisogelea hizo sehemu zako ni onyo au red card kulingana na kosa lenyewe..Kifupi asiwe km mfungwa ila ajue mipaka yake
 
Why treat her like gold? Lazma uoneshe ulumendago. Thats how we keep them ladies straight. Unamkanya kwanza kuwa aache ujinga thats not funny.

Akizingua tena tia vibao viwili and show her that you mean business. Kama ana akili she will never try again to act stupid. Akizingua be ready to drop her out of the scene aone kuwa hata asipokuwepo hamna kitu kinachange.
💯🤝
 
Kiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.

Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.

The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.

Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.

Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.

Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.

Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.

Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.

Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.

Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
Ngoja niscreenshot hii inaweza nisaidia baadae
 
Sina uzoefu sana ila kikubwa nahisi itakuwa ni ukosefu wa fedha tu.
 
Kiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.

Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.

The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.

Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.

Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.

Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.

Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.

Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.

Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.

Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
Umeongea point kubwa sana
 
Hakuna anaeweza kujua nini wanawake wanataka na hayupo aliyefanikiwa kumridhisha mwanamke. Fanya mambo yako, akizingu mzingue, maisha yaendelee
Mi naona wewe kama umesema vyema maana hata wenye pesa wanakomolewa na wake bado. Yani ukiwa na pesa utasikia mara humridhishi, mara kibamia, ukiwa mwanaume mashine na unamridhisha na una pesa mara utasikia nilikupendea pesa zako tu... Yani basi mwanaume unakoma mpaka unataka kuimba mapenzi aleluya. Ila wao wanajua nini sisi tunataka na bado watatubania wakijisikia tu. Yan mpaka ukutane na mwanamke Mungu ameruhusu kweli awe wako maishani unaweza kuwa kama mwanaume umenusurika kufa katika safari ya mahusiano.
 
Kiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.

Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.

The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.

Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.

Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.

Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.

Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.

Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.

Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.

Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
Big brain [emoji1307]
 
Bro
Kiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.

Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.

The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.

Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.

Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.

Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.

Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.

Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.

Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.

Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
 
Kiburi hutegemea ulianza nae vipi na mlienda vipi hadi kufikia hatua ya kuonyeshwa kiburi na mkeo.

Wanawake kama watoto huwa wana akili ya kujaribu. Mtoto humjaribu mzazi kuona kama akifanya mambo ya aina fulani ambayo watoto wengine hupigwa yeye atafanywa nini. Mzazi kadiri anavyomchekea au kukaa kimya ndivyo na mtoto atazidi kumjaribu na kuzidi kuvuka mipaka na hatimae kuwa sugu na kuanza kuwakosea adabu watu wazima wengine katika jamii. Usimporudi mapema utalipia gharama kubwa kama mzazi.

The same kwa mwanamke ambaye hajalelewa kwa misingi ya adabu na heshima. Hawa wanawake wengi wa miaka hii tunakutana nao wametokea mashuleni wakaunga vyuoni hawakuwahi pata muda wa kukaa na mashangazi na mabibi wakashape kimaadili kuwa wanawake wa kuishi na wanaume.

Wanaonekana na miili ya kiutu uzima ila trust me wengi wao bado ni mabinti wa miaka 12 ndio maana kuna muda wanafanya upumbavu wa kitoto hadi unajiuliza hivi hii takataka nilitoa jalala gani.

Cha kufahamu ni kitu kimoja, namna unavyoanza na mwanamke ndivyo itakupa picha mtaishi vipi. Vijana wengi tunaingia katika mahusiano kwa kuwabembeleza wanawake as if ukishamuoa kuna cheque ya mamilioni kutoka hazina itakuwa inatumwa kila mwezi kwa kuwa nao. Kosa huanzia hapa.

Mapenzi unabembeleza na pesa wewe ndie unaetoa kwenye kila kitu,kila unachotaka ni hadi ubembeleze,unapiga goti kuvisha pete, kuishi nae kwa masharti mara sijui unitoe out, uninunulie zawadi sijui unipe mauwa. Huyu mtu katika utafutaji na kipato hakuchangii hata 0.5% ya mapato ila yeye anatumia zaidi ya 50% ya mapato yako "Pekee yake" na 50% unayosalia nayo anaitataka kushare na wewe pia.

Huyu mtu namna unavyomtreat kama malaika ndivyo na yeye anajiovervalue juu yako kuwa yeye ni muhimu juu yako. Anajiweka juu yako na anajua anaweza kukufanya chochote. Make a statement the first time akileta upuuzi wowote ule ambao ni wa kuvuka mipaka. Mwambie kuwa thats the very first and last time utavumilia huo upuuzi. Na kama atajirudia hautaweza vumilia na utamuacha. Period. No discussion. Kama yeye ni mzuri na anajiona anaweza kuwa na mwanaume yoyote then aendelee na upuuzi wake piga chini aende huko kwa watakao muona malaika.

Usicheke na upuuzi wa mwanamke dharau anazokufanyia huwa anazidunduliza na kila mpaka anaovuka ukamchekea anaona ni go ahead ya kuendelea kukuvunjia heshima zaidi. Usimpige (kama hajaleta dharau kali kama kukutukana au kurusha mikono) kama kosa lake ni la kawaida,muonye na umkanye asirudie tena na umpe maelekezo kuwa ipo siku akija fanya huo ujinga tena ndio itakuwa hatima yenu. Wanawake wanaheshimu sana mwanaume anayelinda mipaka yake na kuitetea na wanadharau sana mwanaume ambaye hana mipaka wala hajitetei pale anapofanyiwa uvamizi wa mipaka.

Me nadhani ifike wakati vijana tuanze kuwa serious. Kama unaweza kuogopa maisha bila mwanamke anayekusumbua kichwa na kusambaratisha mapato yako bila huruma tena mtu huyu huyu ukifilisika guaranteed ataondoka na kukuacha solemba kwa kisingizio cha kuwa maisha hayawezekani pamoja, why usiogope kuwa na mtu anaye tafuna kipato chako kwa 50% ambacho ukikiweka akiba na baada ya miaka kadhaa hicho kipato kikaja kukubeba hata ukianguka kiuchumi.

Heshimu pesa yako bro. Rafiki yako ni mfumo wako wa pesa tu ufanye kuwa rafiki yako wa kwanza asitokee mtu yoyote akacheza nao. These women are not loyal to you, the are loyal to their feelings and emotions and they are only interested in your wallet and assets not you. So why sacrifice like a dumbazz?! Why let anyone touch your money.
Aisee kama nimesoma uhalisia na ukweli mwingi sana. Asanhte kwa kuni coach 🤝
 
Back
Top Bottom