Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Safi kabisaWewe unataka kumtetea Makamba inaonekana.
Ni nani anafurahia utendaji wa Makamba? Utendaji ni kukata umeme kwa visingizio lukuki? Walisema maji, Mungu si Athumani, akaleta mvua. Sasa ndio wakaja na visingizio vya maintanance.
Anataka apewe miaka 4 kama vile ndio tumepata uhuru? Kwanini anataka kukata connection ya regime hii na nyingine?
Serikali haikatiki.
Halafu anadhani kila mtu anapenda madaraka kama yeye. Akiulizwa wajibu wake, anakimbilia kwenye madaraka.
Awajibu. Hakuna wa kudumu kwenye siasa.
Hakuna mwenye hati miliki ya uongozi. Uongozi ni dhamana.