Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

Wewe unataka kumtetea Makamba inaonekana.

Ni nani anafurahia utendaji wa Makamba? Utendaji ni kukata umeme kwa visingizio lukuki? Walisema maji, Mungu si Athumani, akaleta mvua. Sasa ndio wakaja na visingizio vya maintanance.

Anataka apewe miaka 4 kama vile ndio tumepata uhuru? Kwanini anataka kukata connection ya regime hii na nyingine?
Serikali haikatiki.

Halafu anadhani kila mtu anapenda madaraka kama yeye. Akiulizwa wajibu wake, anakimbilia kwenye madaraka.
Awajibu. Hakuna wa kudumu kwenye siasa.

Hakuna mwenye hati miliki ya uongozi. Uongozi ni dhamana.
Bado nakubaliana naye kwamba hamuwezi kumhukumu kwa miezi minne tuu, pia uchakavu wa miundombinu hilo halina ubishi, Jana hapa Mpanda imepiga radi moja tuu umeme umekata zaidi ya masaa 12.
 
Makamba hawezi kuwa mtendaji mzuri kwenye hii serikali. Toka serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, novemba 5, 2015; Makamba Jr alikuwa na matarajio ya madaraka makubwa pamoja na udogo wake kiumri wakati ule na hata sasa.

Makamba alitarajia apate uwaziri Mkuu lakini akitaka minimum ya waziri wa mambo ya nje. Mambo hayakumwendea vizuri. Aliishia kuwa waziri wa nchi; OMR, Muungano na Mazingira.

Hata baada ya JPM kufariki, akarejesha matumaini yake ya kurudi kwenye baraza la mawaziri. Na bado akawa na matumaini makubwa ya kuwa PM au Waziri wa mambo ya nje. Na bado haijatokea.

Makamba ana tamaa ya madaraka. Hataki wizara inayomdemand yeye kudeliver. Anataka madaraka makubwa ua wizara ya kuuza sura kama hiyo ya Foreign Affairs.

Hapo alipo hana furaha kabisa.

Na bado Makamba anataka kuwa Rais mapema iwezekanavyo. Sasa anashangaa mama anataka kuendelea 2025-2030.

Na kuondoa uwezekano wa yeye kuwa Rais kabla ya 2040. Hii ni kwa sababu baada ya mama, kwa tamaduni na desturi za CCM 2030 watatuletea MKOLOSAI.

Hayo yote yanamchanganya Makamba Jr.

Wapenda madaraka sio watu. Mama anatakiwa kuwa makini.

Mbaya zaidi Mtu anapenda madaraka na bado ana tamaa ya kuwa Super Rich.

Makamba ni mtu wa kumuondoa kwenye cabinet. Abaki back bencher. Apange harakati zake akiwa back bencher.
Wivu huu, roho mbaya ya kisukuma!
 
Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.

Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.

Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma

"Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."

Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.

Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?

Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?

Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.

Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
Msukuma hana ushahidi wa kitaalamu,hana sifa za kujadiri nishati sijui kama hata alisoma basic Physics fundamentals.
Kibaya zaidi hajui anazungumza nini.
 
Makamba hawezi kuwa mtendaji mzuri kwenye hii serikali. Toka serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, novemba 5, 2015; Makamba Jr alikuwa na matarajio ya madaraka makubwa pamoja na udogo wake kiumri wakati ule na hata sasa.

Makamba alitarajia apate uwaziri Mkuu lakini akitaka minimum ya waziri wa mambo ya nje. Mambo hayakumwendea vizuri. Aliishia kuwa waziri wa nchi; OMR, Muungano na Mazingira.

Hata baada ya JPM kufariki, akarejesha matumaini yake ya kurudi kwenye baraza la mawaziri. Na bado akawa na matumaini makubwa ya kuwa PM au Waziri wa mambo ya nje. Na bado haijatokea.

Makamba ana tamaa ya madaraka. Hataki wizara inayomdemand yeye kudeliver. Anataka madaraka makubwa ua wizara ya kuuza sura kama hiyo ya Foreign Affairs.

Hapo alipo hana furaha kabisa.

Na bado Makamba anataka kuwa Rais mapema iwezekanavyo. Sasa anashangaa mama anataka kuendelea 2025-2030.

Na kuondoa uwezekano wa yeye kuwa Rais kabla ya 2040. Hii ni kwa sababu baada ya mama, kwa tamaduni na desturi za CCM 2030 watatuletea MKOLOSAI.

Hayo yote yanamchanganya Makamba Jr.

Wapenda madaraka sio watu. Mama anatakiwa kuwa makini.

Mbaya zaidi Mtu anapenda madaraka na bado ana tamaa ya kuwa Super Rich.

Makamba ni mtu wa kumuondoa kwenye cabinet. Abaki back bencher. Apange harakati zake akiwa back bencher.

Mkuu umemaliza kazi…
 
Inakuwaje Makamba aseme hausiki na jambo linalotokea kwenye wizara yake? is he serious?

Huyu mtu ashukuru anabebwa na jina la baba yake kwenye serikali ya kiongozi asiejielewa.
denooJ hii nchi ni ngumu sana...

Tatizo siyo la January Makamba...

Tatizo ni sera mbovu za serikali ya CCM...

Wote Makamba, Kasheku Msukuma, Rais Samia na CCM kwa ujumla na sera zao [msisitizo na SERA ZAO] ndilo tatizo la nchi hii si katika sekta ya nishati ya umeme tu bali ni katika mambo yote ya nchi hii...

Hakuna wakati nishati ya umeme katika nchi hii imewahi kuwa ya kuaminika yaani reliable & stable tangu uhuru 1961 na tangu wakati wa utawala wa Rais Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli na sasa Samia Suluhu chini ya CCM yao hii hii mpaka kesho...

Tatizo la umeme kutokuwa reliable & stable limekuwepo vilevile na wote hawa kila walipoingia madarakani walijidai kuja na muarobaini wa tatizo la umeme lakini mara zote wamekuwa WAONGO na WANAFIKI tu badala sekta ya umeme imetumika kama uwanja wa kuifilisi na kuhujumu uchumi wa nchi na wananchi kwa ufisadi na ushahidi wa hili uko mwingi sana ili kuthibitisha haya .!

Suluhu ni hii...

Watu waliotengeneza matatizo hawawezi kuwa sehemu ya kutatua matatizo hayo....

They have to go and other people chini ya mfumo mpya kabisa waje warekebishe mambo ili tukwende mbele..!!

Wanaweza kuwa hawahawa kina Makamba na Kasheku. Lakini ni LAZIMA WAZALIWE UPYA wakiwa na roho na mavazi mapya yasiyo na uchafu na uovu ndani take...!
 
Yan mtu akihoji vitu vya maana anaambiwa anataka uwaziri shame alete hoja ajibu kwa hoja
 
Kwa aliyefatilia kikao cha Jana cha Bunge atakuwa amepata picha kile ninachojaribu kuelezea hapa.

Musukuma anamtupitia mashambulizi makali Mh Makamba kwa kutoa ushahidi wa kile alichokuwa anakiona wakati akiwa mjumbe wa kamati ya nishati kwa miaka 6 sasa.

Na Makamba anajibu mashambulizii kisomi na kitaalamu zaidi lakini mwisho wa majibu yake anamwambia Musukuma

"Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."

Kwa kauli ya Makamba na Musukuma inaonesha hawa watu hawako kwenye good term Liko jambo linafukuta kati ya watu hawa wawili.

Ikumbukwe Makamba ni Waziri kwa miezi minne tu, ila Musukuma ni mjumbe wa kamati kwa miaka 6, kwanini anayoelezea Makamba kamati haiyajui? Au ni makusudi ya wasukuma kujiziba masikio?

Au ni chuki maana nasikia Makamba hatoi bahasha kwa wajumbe wa kamati wakija. Kumtembelea?

Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.

Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?
Ni wivu tuu wa kina Musukuma.Hivi Musukuma akipewa uwaziro wa Nishati leo umeme utaacha kukatika?
 
Makamba hawezi kuwa mtendaji mzuri kwenye hii serikali. Toka serikali ya awamu ya tano iingie madarakani, novemba 5, 2015; Makamba Jr alikuwa na matarajio ya madaraka makubwa pamoja na udogo wake kiumri wakati ule na hata sasa.

Makamba alitarajia apate uwaziri Mkuu lakini akitaka minimum ya waziri wa mambo ya nje. Mambo hayakumwendea vizuri. Aliishia kuwa waziri wa nchi; OMR, Muungano na Mazingira.

Hata baada ya JPM kufariki, akarejesha matumaini yake ya kurudi kwenye baraza la mawaziri. Na bado akawa na matumaini makubwa ya kuwa PM au Waziri wa mambo ya nje. Na bado haijatokea.

Makamba ana tamaa ya madaraka. Hataki wizara inayomdemand yeye kudeliver. Anataka madaraka makubwa ua wizara ya kuuza sura kama hiyo ya Foreign Affairs.

Hapo alipo hana furaha kabisa.

Na bado Makamba anataka kuwa Rais mapema iwezekanavyo. Sasa anashangaa mama anataka kuendelea 2025-2030.

Na kuondoa uwezekano wa yeye kuwa Rais kabla ya 2040. Hii ni kwa sababu baada ya mama, kwa tamaduni na desturi za CCM 2030 watatuletea MKOLOSAI.

Hayo yote yanamchanganya Makamba Jr.

Wapenda madaraka sio watu. Mama anatakiwa kuwa makini.

Mbaya zaidi Mtu anapenda madaraka na bado ana tamaa ya kuwa Super Rich.

Makamba ni mtu wa kumuondoa kwenye cabinet. Abaki back bencher. Apange harakati zake akiwa back bencher.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wakolosa ndi kinanani Wagalatia ama?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚yaani umechomekea udini lkn nimependa maana umeburudisha pia
 
Issue iko hivi

1: Makamba ni anti - JPM

2: Msukuma ni Pro - JPM

Sasa Msukuma bado haamini kama JPM hayupo nasi, anashangaa January ni Waziri wakati alikuwa JPM hampendi, hili ndio tatizo, Msukuma anaishi in the past, aache ukabila na upuuzi, sbb the guy is naturally arrogant..!!
 
Hawagombani bali wanafanya siasa!

Msukuma ni mfanyabiashara.

Hawa wote ni ccm; na humo ndani ya chama chao kuna makundi makubwa mawili yenye uhasama!! Musukuma ni kundi la marehemu Jiwe a.k.a Sukuma gang na Makamba ni genge na Vasco Dagama a la' Msoga gang!! Hapo Wote wanagombania ulaji tu sio maslahi ya nchi!!!
Sukuma gang maslahi yao zaidi yako kwenye miradi ya Bwawa la Mwalimu Nyerere na SGR na hao wa Msoga maslahi yao yako kwenye miradi ya Gesi na ndio maana Makamba ameikazania sana siku hizi huku akipunguza kasi kwenye bwawa la Nyerere!!!
 
Ukiangalia kwa kina Makamba ndio Ana shida na hapendi kukosolewA kwa matatizo ya wizara yake
 
Makamba hatoshi kafeli pakubwa asitafte huruma kupitia mamlaka ya teuzi kamati inaujuwa vyema huo mradi atoe majibu yanayotosheleza
 
Msukuma anajisumbua, Makamba ni mwakilishi wa Rais katika Wizara husika sasa kumshambulia ni kutaka chokochoko nyingine kwa aliyemteua.

Hoja za Msukuma hazina mashiko zaidi ya mashambulizi personal - huyu aingie kwenye vikao vyetu vya chama tumuweke sawa maana tukimwacha atazidi kupotosha umma wa watanzania kuhusu mradi huu nyeti.
Wewe kweeli fuso.

Umeandika upupu
 
Msukuma hana ushahidi wa kitaalamu,hana sifa za kujadiri nishati sijui kama hata alisoma basic Physics fundamentals.
Kibaya zaidi hajui anazungumza nini.
Kwa hiyo mkuu kwenye kamati alikuwa anafanya nini! Au huyo makamba ni mtaalamu asipoambiwa na watalaam anaowaongoza.msukuma aneeleza vizuri ajibiwe kwa hoja siyo kusema elimu aliyonayo.
 
Back
Top Bottom