Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

Safi kabisa
 
January hajawahi kuwa smart na kama kweli ameongea jambo hilo anaonesha jinsi ambavyo hana akili. mtu unaulizwa unasema issue ni uwaziri? hii ni kauli ya mtu ampuuzi asiyejiamini na asiyetaka kuhojiwa. so anatumia kama defense of mechanism
 
kwa hiyo makamba unaamini ni kwa sababu ya uganga ndi uliomfikisha hapo ndo maana ametoa majibu ya kipuuzi
o
 
Kwa kifupi kabisa huyu mtu anaitwa Musukuma ni mtu wa hovyo sana na mpenda fitina za kijinga. Ameumiza watu wengi kwa fitina zake za hovyo. Naamini watawala wameelewa uhuni wake. Niishie hapo, inatosha.
Hakuna cha uhuni wowote kwa msukuma. Kwa msiojua msukuma anawakilisha mawazo.ya wananchi. Nani anafurahia utendaji wa makatani?. Toka aingie madarakani,tumeshuhudia mambo ya ovyo hapo Taneco. Mambo mengi ni ya kuwaumiza wananchi. Halafu anataka apewe miaka minne. Stupid
 
January ni mtoto wa mjini ifike pahali Msukuma atulie kwanza,watoto wa mjini wapo kwenye system acha wafanye ya kwao.
mama Samia ndo kamteua Makamba na anajua kinachotakiwa kifanyike kwenye swala la umeme.
Usimtwishe Mama mzigo.
 
Hapo hakina ugomvi ni hoja lakini mwingine anaona kama musukuma hataki awe waziri. Kwani msukuma ndo anayeteua? January ajibu tu hoja kwa nini umeme unakatika katika aachane na musukuma.
 
Yaani Makamba anabishana na PhD holder.

Kweli nchi ina vijana wa hovyo
[emoji23][emoji23][emoji23] ni kama ile amsha amsha amsha ya Mayele baada ya kumtungua golikipa wa timu pinzani.
 
Midimay Umemchambua vyema Sana mkuu, yaani Kwa mtu was hovyo hawezi kuelewa,huyu Makamba hafai,fikiria alienda kukodi App nchini lndia ya billion 4,aise!! Alafu watu wakisema mtu anatokea kutetea ujinga,Jana alikuwa akijibu kihuni bungeni.
 
Wote tu wanataka sifa waonekane kwa mwenyekiti...

Nchi hii kila kitu ni agenda,,, Siku tukijua ya kuzingatia na kuachana na yasiyotuhusu, tutapiga hatua sana
 
Umemchambua vyema Sana mkuu, yaani Kwa mtu was hovyo hawezi kuelewa,huyu Makamba hafai,fikiria alienda kukodi App nchini lndia ya billion 4,aise!! Alafu watu wakisema mtu anatokea kutetea ujinga,Jana alikuwa akijibu kihuni bungeni.
Bilioni 4?? Ni Bilion 70
 
Kwa hiyo anamwakilisha Rais kutoisimamia vzr Tanesco?
mpaka sasa hakuna ushahidi wowote kwamba Waziri ameshindwa kuisimamia Wizara, kilichopo tunachokiona ni majungu na kinyongo baada ya Waziri aliyetangulia kupigwa chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…