Nini chanzo cha ugomvi wa January Makamba na Musukuma?

Mkamba ujeuri unamsumbua
 
Hiyo Wizara imemshinda Makamba,tangu kaingia na kupachika watu wake sehemu muhimu hali ya ukatikaji wa umeme nchini imeshamiri kila mahali.

Makamba ilifaa kupewa Wizara ya Wanawake,Wazee na Watoto.

Kalemani pamoja na mapungufu yake mengi ikiwemo kunyofoa camera 🎥 zilizorekodi tukio la Lissu bado atabaki kama mmoja wapo ya Mawaziri bora kuwahi kuongoza Wizara ya Nishati.
 
Kwa kifupi kabisa huyu mtu anaitwa Musukuma ni mtu wa hovyo sana na mpenda fitina za kijinga. Ameumiza watu wengi kwa fitina zake za hovyo. Naamini watawala wameelewa uhuni wake. Niishie hapo, inatosha.

..mimi aliniudhi alivyomdhalilisha Mh.Upendo Peneza.

..Musukuma ni mtu wa hovyo na primivite ambaye hakutakiwa awepo ktk nafasi za uongozi.
 
Kwa hiyo haya ndio majibu ya tatizo la kukatika hovyo kwa umeme ?
 
Mheshimiwa Makamba punguza kufikiria mambo makubwa sana malizia yaliyopo kwa upendo ..... Usije kurudishwa kwa kibodi 👣
 

Sio mara moja au mbili Msukuma ni mtu wa fitina!! Nakupa mfano pale alipomchongea Mkurugenzi wa Geita juu ya ununuzi wa gari na Jiwe akamtolea nje kwa kumsifia yule mkurugenzi wa halmashauri; amerudia tena kumchongea kuhusu matumizi ya fedha za UVIKO kujengea madarasa na uchunguzi umeonesha kuwa Msukuma ni msaga kunguni tu kwani mkurugenzi yuko ofisini anachapa mzigo!!
 
Kwa hiyo mkuu kwenye kamati alikuwa anafanya nini! Au huyo makamba ni mtaalamu asipoambiwa na watalaam anaowaongoza.msukuma aneeleza vizuri ajibiwe kwa hoja siyo kusema elimu aliyonayo.
Msukuma hajui umeme.
 
Kwa kifupi kabisa huyu mtu anaitwa Musukuma ni mtu wa hovyo sana na mpenda fitina za kijinga. Ameumiza watu wengi kwa fitina zake za hovyo. Naamini watawala wameelewa uhuni wake. Niishie hapo, inatosha.
Musukuma = Sukuma Gang VS Makamba = Msoga Gang
 
"Kama una shida na uwaziri, sema mengine ila kama shida ni ukatikaji wa umeme ilo sio tatizo langu."

Mtu mwenye akili timamu hawezi kutoa jibu la namna hii bungeni, hata kama mawazo yake yanamtuma hivyo angekuwa na namna ya kutuma ujumbe kwa lugha nzuri ya kiserikali, siyo persona kujionyesha "kuwa mimi ni waziri -usinisumbue.

Mwaka 2010 alipogombea ubunge wa huko Bumbuli kwa mara ya kwanza aliahidi kuwa ataleta maroli ya barafu ya kuwa yanasafirisha matunda kutoka jimboni kwake kwenda kwenye soko Dar es Salaam ili kupambana na umaskini, halafu akaanzisha website ya kiingereza kuelezea mafaniko ya jimbo lake- sijui kama watu wa jimboni mwake walikuwa wakiisoma website hiyo. Je leo hii Bumbuli hali ya maisha imepanda sana?

Mwaka 2015 alipogombea urais aliahidi kujenga academy za michezo wilaya zote Tanzania!
 
Helaa tamuu.
Your browser is not able to display this video.
 
Msukuma ni mtu asiye na elimu ya kawaida hivyo Mh January ni vizuri ampuuze kama vile yupo Gombe, kuna ajabu gani waziri kukagua miradi akitumia Chopper wakati kuna Ngedere walipanda helkopta kwenda Arusha kwenye ufunguzi wa kampeni za Lowassa?.,wat a f?
 
Hakuna ugomvi pale ila January yuko shallow wizara kubwa kuliko uwezo wa akili yake. Yaani musukuma pamoja na elimu yake ya darasa la saba ana akili kuliko Januari. January analazimisha kuonyesha anaonewa au bifu lakini maswali au hoja za mbunge Msukuma ziko very valid. January hata hotuba za Kikwete tu zilikuwa zinamshinda. Sembuse liwizara hilo.

Wizara hii inahitaji mtaalamu. Na haihitaji kwa kweli ujanja ujanja labda kama wanataka kuifanyia biashara haina shida ila wajue watanzania wa leo siyo wa miaka ya 2015 kurudi nyuma.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Maccm yote hayafai. Si huyo Waziri wala si huyu mwenye PhD feki
 
Ki ukweli kabisa kutoka moyoni umesema vema sana. Hata tuseme Makamba vipi. Lakini shida ipo kwa aliyemteua. Hayuko seriously hata kidogo. Rais anatakiwa aone haya kama ni maudhi kwa taifa ila yeye a afurahia tu. Asipochukua hatua kwa Makamba tutajua tu shida ni rais. Siyo Januari

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Siku zote makamba anakuwa mtu wa dharau na ni wa kujisikia na pili tunamjua ni mpinafsi hivo yeye anahisi km msukuma ana mwanika na wakati sii levo yake ki elimu ila mwisho waache wasodoane maana walijua kuwa hupinzani ndo wapingaji wao ila wamegeukiana yetu macho.
 
Musukuma anasema Makamba anapanda Elikopita kukagua mabwawa wakati yeye anaendaga na baiskeli.

Nini kinaendelea kati ya Musukuma na Makamba?[/QUOTE]

ELIKOPITA ndo HELCOPTER?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…