Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Ushawahi kijiuliza ni kwanini wanawake wengi miaka ya hivi karibuni wamekuwa wakizalishwa na kutelekezwa ni wapi wanapokosea!
Mpka mwanaume anamzalisha na kumtelekeza ina maana hakukuwa na makubaliano kuhusu mtoto na mimba itakuwaje au mwanamke aliamua tuu kumtegeshea mwanaume wakati mwanaume hayupo tiyari.
Na Je, mpka mtoto anazaliwa mwanamke hakumpanga mwanaume wake na kama mwanamke anafahamu mwanaume wake hana uwezo wa kulea mimba na mtoto kwanini wali sexy siku za hatari?
Hebu tuanzia hapaa
Mpka mwanaume anamzalisha na kumtelekeza ina maana hakukuwa na makubaliano kuhusu mtoto na mimba itakuwaje au mwanamke aliamua tuu kumtegeshea mwanaume wakati mwanaume hayupo tiyari.
Na Je, mpka mtoto anazaliwa mwanamke hakumpanga mwanaume wake na kama mwanamke anafahamu mwanaume wake hana uwezo wa kulea mimba na mtoto kwanini wali sexy siku za hatari?
Hebu tuanzia hapaa