My man carlos. kachukue whiskey expensive sana. gharama zote on meVijana wa Sasa ,mnakimbia Majukumu yenu sanaaaa
Na kusingizia wanawake... Sasa nawanao wameona,kuliko kukosa kila kitu,bora wawe na watoto.
Vijana wa siku hizi ni OVYO SANA.
Majukumu gani kwa mwanamke ambaye sio mkeo tatizo ni wanawake wenyew wamekuwa wadangaji siku hizVijana wa Sasa ,mnakimbia Majukumu yenu sanaaaa
Na kusingizia wanawake... Sasa nawanao wameona, kuliko kukosa kila kitu, bora wawe na watoto.
Vijana wa siku hizi ni OVYO SANA.
Usipende kufanyiwa jambo fulani wakat wewe hupendi kumfanyia mwenzio hivo.Majukumu gani kwa mwanamke ambaye sio mkeo tatizo ni wanawake wenyew wamekuwa wadangaji siku hiz
Napendekeza ujengewe Sanamu k/koo.Hiyo inatokana na mambo mengi hasa kwa wanawake, Kwanza tamaa ya pesa,,au dhiki pia inachangia na kupelekea kutoa K ili maisha yaende.
Na pia kuna tabia ya baadhi ya wadada hutegeshea ili apate mimba akiamini ataolewa huku jamaa akiwa hana mpango huo.
Zaidi nawapa salaamu single mama wote popote mlipo
Mkuu duuuuKuna mmoja nipo nae utamu ukikolea utasikia baby nimwagie baby nimwagie yote wakati huo kakukaba kama anataka kukutoa roho sasa hata likitokea la kutokea nani mwenye makosa!?,wakati mimi nimefuata tu maelekezo!