Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,540
- Thread starter
- #181
Is there possibility kuwa Tanzania mpaka sasa haijajiandaa kujijenga kiuchumi na miundo mbinu kulingana na ongezeko la raia na kusambaa kwa watu kutanda nchi nzima?
Ikiwa motisha wa uhujumu ulikuwa ni kujipatia cha ziada, tukirudi kwenye theory zetu za supply na demand, na hata hoja ya kuwa viwanda viliishia au mwanzo wa mapungufu ya bidhaa na huduma, je zilikuwa ni sababu ya 1. Uhujumu, 2. uongozi mbaya, 3. kukosekana utaalamu na ufanisi, 4. ongezeko la watu, 5. ushindani wa kibiashara na bidhaa kutoka nje, 6. kushuka kwa thamani ya shilingi, 7. njaa na ukame uliotawala kanda ya Afrika mashariki, 8. vita vya kagera, 9. ubeberu wa IMF na nduguze?
Ikiwa motisha wa uhujumu ulikuwa ni kujipatia cha ziada, tukirudi kwenye theory zetu za supply na demand, na hata hoja ya kuwa viwanda viliishia au mwanzo wa mapungufu ya bidhaa na huduma, je zilikuwa ni sababu ya 1. Uhujumu, 2. uongozi mbaya, 3. kukosekana utaalamu na ufanisi, 4. ongezeko la watu, 5. ushindani wa kibiashara na bidhaa kutoka nje, 6. kushuka kwa thamani ya shilingi, 7. njaa na ukame uliotawala kanda ya Afrika mashariki, 8. vita vya kagera, 9. ubeberu wa IMF na nduguze?