Tatizo kubwa la nchi hii ni kuwaachia Wana siasa ambao wengi wao ni zero kwenye mambo mengi ya maamuzi kuwa waamuzi , iwe la barabara, Elimu, Sheria pamoja na katiba, matibabu, Sera n.k , wakati hawana uwezo huo Sana Sana kukuletea shida na hasara.Hizi combination zilizokaa kidini wangeziacha tuu,, Hazina Maana zitaleta udini.. Vyombo vya ulinzi na usalama angalieni Mambo Hayo Acheni Kuwa Ndio Mzee,, Tunaharibu Nchi. Acheni Hayo mtalaumiwa baadaye.
Kuna baadhi ya taasisi hasa binafsi zinataka watu katika eneo hilo, mfano bank kuna vitendo vyenye ku operate bank opeaeations katika kisingi ya kiimani. Kwao bank ni kutanua wigo wa wateja ambao wasingewapata ikiwa watafanya normal bank operations. CRDB wapo na kitengo kama hicho kama sijajosea. Lin pia ongezeko bank zenye mtazamo wa kuhudumu kiimani mfano Amana Bank na ZPB.... Kwa kifupi serikali na nia nzuri ya kuwaanda vijana watqkaokuja kuhudumu katika maeneo kama hayo!!Economics, Business Studies na Islamic Knowledge. Hapo somo la Islamic Knowledge linahusika vipi na masuala ya biashara?
100%Samia kaja kuigawa hii nchi kwa UDINI. Vyomo vya ulinzi na usalama ongezeni umakini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Islamic Banking
Shida yenu ni ujuaji mwingi sana. Biashara inahitaji sana muongozo wa dini kuliko mnavyofikiri. Hakuna dini ambayo imeelezea mambo ya biashara kwa upana kuzidi Uislamu.Watu wenye uwezo mzuri wa kutafakari hawawezi kufanya hichi kitu.
Hivyo ni vikundi vya marekani vya kigaidi vilianzishwa baada ya September eleven vilete taharuki kwenye mataifa yanayokua Sana kiuchumi ili kuipiku marekani!!Taliban, boko haram, islamic state, alshababu, alkaida, ADF
........
Haina ubaya wowote..Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.
Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo ya Economics, Business Studies na Islamic Knowledge. Hapo somo la Islamic Knowledge linahusika vipi na masuala ya biashara?
Ni bahati mbaya au makusudi. Huenda nimeachwa na mambo ya kisasa lakini kwangu bado haileti maana yoyote.
View attachment 2940349
Haujaachwa mkuu! Hii ni dalili mbaya sana. Sijui wanataka kulipeleka wapi Taifa letu.Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.
Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo ya Economics, Business Studies na Islamic Knowledge. Hapo somo la Islamic Knowledge linahusika vipi na masuala ya biashara?
Ni bahati mbaya au makusudi. Huenda nimeachwa na mambo ya kisasa lakini kwangu bado haileti maana yoyote.
View attachment 2940349
Mwanangu alilazimishwa kuingia kuimba nyimbo zenu sasa knowledge na kulazimishwa kuimba ipi boraMshauri mwanao au nduguyo asisome iwe Divinity au Islamic studies atajiingiza kwenye uchochoro huko mbeleni
Hizo ni story za vijiweniHivyo ni vikundi vya marekani vya kigaidi vilianzishwa baada ya September eleven vilete taharuki kwenye mataifa yanayokua Sana kiuchumi ili kuipiku marekani!!
No sawa na Dola ya kikatoliki inayotawala Dunia Kwa mgongo was ukristo lakini sio ukristo halisi Bali ujasusi na utawala wa Mali za Dunia kupitia vituo vya mission na ardhi wanazo hodhi Kila sehem duniani!!
Dini zote sivyo unavyozitazama hazina uhusiano wowote na Mungu bali mbinu ya utawala na kuwagawa watu into blocks kifikra na kiakili plus kiutamaduni ili watawaliwe kirahisi!!
Hizo degree za dini/ Islamic banking zinazofundishwa chuo kikuu vimeanza kusomeshwa lini? Na je vigezo vya Wanafunzi wanaochaguliwa kuingia huko ni vipi?Vyuo Vikuu vinafindisha Degree za dini na maswala ya Islamic Banking nk,jitu halijui.linakurupuka tuu as if Kuna mtu atalazimishwa kusoma hayo masomo.
Punguzeni kuwa na akili fupi ,maisha sio Tanzania tuu ni pamoja na kwingine ambako wanaweza pata fursa Kwa mlengo wa masomo ya dini.
Kama ni issue ya kiimani zipo madrasa na misikiti inafanya hiyo kazi, ukishaingiza masuala ya Imani kwenye professional maana yake unatengeneza matabaka kitu ambacho ni hatari kwa Usalama wa nchi,Kuna baadhi ya taasisi hasa binafsi zinataka watu katika eneo hilo, mfano bank kuna vitendo vyenye ku operate bank opeaeations katika kisingi ya kiimani. Kwao bank ni kutanua wigo wa wateja ambao wasingewapata ikiwa watafanya normal bank operations. CRDB wapo na kitengo kama hicho kama sijajosea. Lin pia ongezeko bank zenye mtazamo wa kuhudumu kiimani mfano Amana Bank na ZPB.... Kwa kifupi serikali na nia nzuri ya kuwaanda vijana watqkaokuja kuhudumu katika maeneo kama hayo!!
Naunga Mkono Hoja..Kama ni issue ya kiimani zipo madrasa na misikiti inafanya hiyo kazi, ukishaingiza masuala ya Imani kwenye professional maana yake unatengeneza matabaka kitu ambacho ni hatari kwa Usalama wa nchi,
kwani hizo Islamic banking mbona zimeanza kitambo na watu wanapiga kazi huko kwahiyo walikuwa wanatumia vigezo gani kuwaajiri mpaka Leo hii serikali ione umuhimu wa kuanzisha hizo tahasusi?
Hatuna namnaYangu macho na maskio. Naogopa kusema hii nchi ni koloni la waarabu.
Kwa yanayoendelea, ngoja tuendelee kuandika historia ya taifa huru la watanganyika!
Ni mambo ya ajabu snKama ni issue ya kiimani zipo madrasa na misikiti inafanya hiyo kazi, ukishaingiza masuala ya Imani kwenye professional maana yake unatengeneza matabaka kitu ambacho ni hatari kwa Usalama wa nchi,
kwani hizo Islamic banking mbona zimeanza kitambo na watu wanapiga kazi huko kwahiyo walikuwa wanatumia vigezo gani kuwaajiri mpaka Leo hii serikali ione umuhimu wa kuanzisha hizo tahasusi?
Kwani divinity hujaiona ?Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.
Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo ya Economics, Business Studies na Islamic Knowledge. Hapo somo la Islamic Knowledge linahusika vipi na masuala ya biashara?
Ni bahati mbaya au makusudi. Huenda nimeachwa na mambo ya kisasa lakini kwangu bado haileti maana yoyote.
View attachment 2940349