Nini hasa kilijiri mpaka Luteni Jenerali Imran Kombe akauliwa na Askari Polisi?

Alishastaafu na alikuwa anaishi maisha ya kawaida na kutembea bila ulinzi. Watu hupenda kuongeza chumvi kwenye mambo yanayopata wakubwa lakini mimi nina uhakika aliuawa kwa uzembe wa polisi.
Hapana huyu aliuliwa na mfumo Dola wa ccm
 
Mambo ya kiinchi hayo mzee

Hutakiwi kujua sanaaaa

Ova
 
Ila lodilofa naye alikuwaga na roho mbaya kama mhutu wake huyu aliyekufa juzi , nikikubjka mauaji ya Zanzibar yale 2000's mpaka napata hasira Sana , Mungu huwa analipa lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Baada ya kusoma hapa ndio nimejua lodilofa ni nani, ila watu mna maneno jamani.
 
ukiangalia movie za ki intelligencia kama HOMELAND ua TEHRAN utaelewa haijalishi how potential ur ukizingua watu wanapita na wewe...!! nchi haiwezi kuwa compromized kifala tuu..
 
Just like movie , kumbe ndiyo kinaga ubaga almanusura. KARARACHA HAINGIE IKULU. MWAKA 1995 !
 
Si kweli[emoji23][emoji23],mrema mwenyewe ndo walewale
 
ukiangalia movie za ki intelligencia kama HOMELAND ua TEHRAN utaelewa haijalishi how potential ur ukizingua watu wanapita na wewe...!! nchi haiwezi kuwa compromized kifala tuu..
Hizo ni PROPAGANDA MOVIE.

Ukweli wa mambo hauko hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…