Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Wauaji wanadai walimuua Kwa kufananisha gari yake na gari iliyoibiwa japo hapakuwa na taarifa zozote zilizowahi kurepotiwa Kuwa kuna gari imepotea
Duh! Haya mapya kabisa.Vipi kuhusu President Slim wa nchi jirani kuhusika katika mauaji.
Kombe akiwa DG wa Idara, alikuwa anajua kinachoendelea kuhusu mipango ya Slim kutaka kufanya mapinduzi nchini mwake.
Kombe aliwashauri Marais wale wasipande ndege moja wakiwa wanatoka Dar Es Salaam lakini wakawa wabishi, kilichowakuta kila mmoja anajua.
Hivyo kuna wanaoamini Slim alimfanyia faulo Kombe ili kupoteza ushahidi, na ukizingatia Kombe alishapoteza kuaminiwa na wakuu wake, hivyo ikawa kazi rahisi kwa Slim kufanya yake.
Huyu mstaafu kutoka Ta? ChillahSi ndio habari zika vujaga kuwa huyu mkulu wa mabakabaka aliyepita walitaka kufanya yao
Je I WIHuyu mstaafu kutoka Ta? Chillah
Thumb upJe I WI
Hahaha...kwa kizazi Hiki cha kasi ya upasinishaji wa habari na analysis za Mahaba na mihemuko sio?Bila shaka kwa kusoma maelezo yenu mkewe alihusika.
Mkuu,fikiria vzr.Hahaha...kwa kizazi Hiki cha kasi ya upasinishaji wa habari na analysis za Mahaba na mihemuko sio?
Ila umewaza Vizuri.
Ukiwazia hivyo lazima kuwe na sababu ya kutokea hivyo! Unayo Hiyo sababu?Mkuu,fikiria vzr.
Sawa basi twende pamoja Mkuu. Wakati tukio hilo linatokea walikuwa wanatoka wapi na kuelekea wapi?Ukiwazia hivyo lazima kuwe na sababu ya kutokea hivyo! Unayo Hiyo sababu?
It means ata hawa nzi wa toi walijua kuwa jirani zetu mizoga utakuwa mingi?Vipi kuhusu President Slim wa nchi jirani kuhusika katika mauaji.
Kombe akiwa DG wa Idara, alikuwa anajua kinachoendelea kuhusu mipango ya Slim kutaka kufanya mapinduzi nchini mwake.
Kombe aliwashauri Marais wale wasipande ndege moja wakiwa wanatoka Dar Es Salaam lakini wakawa wabishi, kilichowakuta kila mmoja anajua.
Hivyo kuna wanaoamini Slim alimfanyia faulo Kombe ili kupoteza ushahidi, na ukizingatia Kombe alishapoteza kuaminiwa na wakuu wake, hivyo ikawa kazi rahisi kwa Slim kufanya yake.
C ni km issue ya lissu na dereva wake broNimekuelewa Sana mkuu, Kumbe hakuwa main target ndio maana aliweza kuponea.
It seems kulikuwa na namna somewhere, maana kumkimbiza jambazi huku unachagua mtu wa kum neutralize wakati kimsingi wote walikuwa threat..
Hatari tupu mkuuJe I WI
ChupuchupuHatari tupu mkuu
Hebu husianisha hayo matukio nikuelewa...haya Mbona ni matukio tofauti?C ni km issue ya lissu na dereva wake bro
Mkuu, kuhusu uelekeo wa walipokuwa wanatoka na kuelekea sifahamu. Ila nafahamu tu tukio lilitokea huko hai boma ng'ombe.Sawa basi twende pamoja Mkuu. Wakati tukio hilo linatokea walikuwa wanatoka wapi na kuelekea wapi?
Sio kumdhalilisha,kwan wenye hicho cheo ni watu dhaifu....tumia lugha mzur.. jeshini hakuna cheo cha udhalilishaji!