babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Waliungana juzi hapo ila naona wameshindwana tena. Lakini mkwanja Peter Anao mwingi sana mdogo wake anahanyahanya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamzungumzia Peter or Paul???Ni hivi mke wa peter alitaka awatawale wote wawili kimaisha ya mapenzi na kikazi sio wote walioa kwa mara moja paul alikuwa hajaoa na yule mama tayari alimteka paul kimapenzi ndio jude kaka yao wa mama yao mwingine(mama mkubwa au baba mkubwa) , akasanuka hapa wataliwa na huyu mke wa peter.
So wakamdhibiti na paul akaoa alipooa mke wa paul akatafuta njia ya kufarakanisha ndugu kwa maana kashindwa kula hela kiulaini .
Wangezuba lebel records ingekuwa chini yake.
Namihela yote yake wao wangekuwa wanapewa vifuta jasho
Mzuri sana sana hasa macho...ujue hadi ndoa wameifunga juzi kati hapa[emoji848]Looh!kumbe sema walimkataaga kwa kua ni mkubwa kiumri hata bimkubwa Hakua anamtaka yule mama!si unajua waafrica Kuoa mwanamke aliyekuzidi umri ni chengaa...!!!ila mrembo yule mdada mweehh!!!
Anita nae mrembo sana sana....kakaa kimissPeter ndo kaoa yule chotara Paul kaoa kadada kanaitwa Anita
Ila wanawake jamani kaahh
Peter..ak.a mr PAliyeimba look into my eyes ni nani?
Paul ni yule Rastaman a.k.a Kulwa...Peter ni yule mwingine
Aliyeimba look into my eyes ni mr P
Anajua sanaPeter..ak.a mr P
Hata hio look into my eyes siijui sijui nazeeka [emoji2297]Aliyeimba look into my eyes ni mr P
Ndiye nae mkubari
Anhaaa ngoja nianze kusoma upya labda ntaelewa kituPaul ni yule Rastaman a.k.a Kulwa...Peter ni yule mwingine
Jamaa pia yuko vizuri..ngoma zake ni international based...Rudeboy (Paul/rasta) yeye zake nyingi ni local based ndio maana anatumia sana kilugha....Ila binafsi namkubali RudeboyAnajua sana
Peter hana Rasta IG anajiita Peterpsquare na Paul ni Rasta anajiita Rudeboy
Ka Anita kazuri nacho kamezaa mapachaMzuri sana sana hasa macho...ujue hadi ndoa wameifunga juzi kati hapa[emoji848]
Ila wakina Jude na wazazi hawakuhudhuria
Anita nae mrembo sana sana....kakaa kimiss
Wewe humjui Rasta. Yule jamaa ni kauzu balaa, ila ni bingwa sana wa kukwepa media hasa akikasirika.Rasta Muungwana sana shida ni
Peter
Kuna jamaa yangu mmachane alipata demu mkibosho wote ni wazaliwa wa dar, ila Mikasa ilianza demu alipopata ujauzito familia ya mshkaji iligoma kabisa kumtambua demu kama mkwe, ikafika kipindi demu kajifungua wanataka kubatiza mtoto familia ya jamaa iligoma kabisa kutoa ushirikiano demu akawa analia tu, sisi tunakula bia tunamwambia Shem kausha yataisha,hayo makabila ni km wakibosho na machame..
mkibosho ht akijenga nyumba mlango utaelekea upande ambao sio machame@