Watu wanafanya agreements na kampuni inayofanya study na kuchimba, makubaliano ni maji yatoke, mkishindwa kuleta maji we share the loss.NImejifunza kitu kwenye huu uzi.
1. kuchimba kisima wakati wa kiangazi..
2. Lazima ujiridhishe kwenye mtaa wako kama kuna watu walichimba na wakapata maji safi yasiyo na magadi,vinginevyo utakuwa wa mfano.
3. Kuepuka udalali mwingi ni bora kuwaendea moja kwa moja watu wa makampuni ya uchimbaji.
4. Bora kushare na mtu(jirani) katika kuchimba ili kwma ni hasara basi mgawane isiwe peke yako.😃😃
Mkitoka hapo warudishe pub yetu homeboy hapo Boda.
Hazina shida, zinapiga kazi vizuri tu, unakuwa unabadilisha filters kila ikichuja lita 20,000.Zile mashine za filter nimeona hata baadhi ya taasi hasa shule za private ukanda wa maji ya chumvi. Ila kwa yale magadi ya Kimara sijui kama zinaweza kutoboa
Hapa nakubaliana nawe mkuuIla kwa maeneo ya kimaa hadi kiluvya ni vyema kuvuna maji ya mvua. Ukichimba kisima 50,000m³ mbona maisha yanaenda tu.
Kwahiyo Wananchi wa Chanika tutembee vifua mbele kwa kubarikiwa ardhi iliyotukuka ya maji matamu kama ya ziwani [emoji848][emoji28]Sio poa mkuu hayafai kwa lolote ni hasara tupu
Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka hata 1m inaweza isifike..Kikubwa kua na maji ya kuyeyusha njia unayoichimba utaokoa nguvu nyingi sn pili unaweza tumia wale wazibuavyoo watakusaidia kwakua wanaujuzi wakuchimbamaeneo km hayo gharama inaweza isifike hata 3mil
Una roho ya koroshoIli kuwaweza hakikisha wanakuchimbia msimu wa kiangazi kikali kabisa.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Ofisi zao zinaitwaje na ziko Tabata maeneo gani?Bei za wapi izo njoo tabata kuna kampuni ya kichina million 4 tu unachimbiwa mpaka mita 60..wanakuja na wataalamu wao wanapima kabisa..usifanye mchezo na wachina..wanachimba mpaka kwa mkopo unatoa 2million inayobaki mnaandikishinana unaimalizia lini..Watu mambo ya dawasco tulishayasahau.
😄😄Kabisa mkuu maeneo ya Chanika maji yenu ya kisima yako poa, kuna wengine wamechimba tu visima kienyeji lakini maji yako poaKwahiyo Wananchi wa Chanika tutembee vifua mbele kwa kubarikiwa ardhi iliyotukuka ya maji matamu kama ya ziwani [emoji848][emoji28]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kweli dunia haiko fair kabisa, Chanika kuko nnje ya Jiji la Dar (umbali) lakini maji ni bwerere na mchanga wa kujengea nyumba wala hata huwazi pa kuutolea [emoji851][emoji1][emoji1]Kabisa mkuu maeneo ya Chanika maji yenu ya kisima yako poa, kuna wengine wamechimba tu visima kienyeji lakini mji yako poa
Ardhi ya Chanika ina maji sana, mchanga wa kutoshaKweli dunia haiko fair kabisa, Chanika kuko nnje ya Jiji la Dar (umbali) lakini maji ni bwerere na mchanga wa kujengea nyumba wala hata huwazi pa kuutolea [emoji851]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hahah hapo uzunguni wanapochuja pombe kwa sweta?.Ndugu zangu tukutane hapa kizota tupige stori mbili 3.
😂🤣
Hii nchi imeoza, Bora sekta hii wavamie wachina ndo akili zitakaa sawa za wabongoNchi hii kipa sehemu kuna wizi hao wachimba visima wengine huchimba na kuweka bomba fake au pump ndogo maji yakatoka kidogo sana...
Ukiona gharama ninkubwa chimba kwa mikono kwani ni lazima utumie mashine.Katika vitu ambavyo Kila nikifikiria nakosa majibu ni gharama ya kuchimba kisima na Ile mitambo yao kiujumla, Sote tunajua kuwa katika mitambo inayouzwa bei ghali ni mitambo ya kutengeneza Barabara na ya migodini, ikiwemo Wheel loader, Excavator, Bull dozer(mashine ya kipekee ambayo ukiwa Dar unaweza kuiwasha kuweka mafuta na kuweka gia na kuielekezea Mwanza Kisha ukapanda ndege na baada ya muda litafika tu Mwanza lenyewe maana Kila mahali linapita). Sasa hii mitambo gharama ya kukodisha Kwa siku ni kati ya laki 8 Hadi milioni.
Sasa twende huku kwenye visima vya maji, wao wanakuambia Kwa MITA 50,000 Hadi 85,000 hivyo mpaka kisima unamaliza ni milioni 10+.
Sasa je ni Nini hasa kinachokuwa gharama kwao mpaka kupelekea gharama ishoot milioni 10 Kwa kisima, maana haiingii akilini, Nilielewa hii nitakaa kimya
Efficiency,Ukiona gharama ninkubwa chimba kwa mikono kwani ni lazima utumie mashine.
Kwahyo bado hujaona nn special hapoEfficiency,