King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Nishapitia changamoto Kama iyo,
Nilichogundua hizo Bei Ni upigaji TU.
Tatzo la dar,Udalali mwing Sana
Kampuni nyng za visima hapa dar Zina mawinga wengi Sana, inayopelekea Bei kua juu mno, kila winga ana shea Yake.
Tumia kampuni za visima zinazofanya kazi zao mikoani, Bei zao huwa chini Sana na kazi zao huwa Ni uhakika Sana.
Nmechimba visima 2 Hapa hapa dar (mita 35,kingine mita 48).
Hakuna Hata kimoja kilichozidi mil 5 kwa kila kitu, na vyote vinatoa maji mwaka mzima uhakika bila kukauka isipokua kimoja maji yake Yana chumvi.
Na wanatoa warranty ya miaka 2 Kisha kuna bima ya matengenezo, service zote unawapigia wanakuja kufanya kazi endapo kisima kikisumbua.
Option ambazo kwa kampuni nyng za dar, kuzipata Ni ndoto mno
Duuh mita 35 unapata maji? Si unakunywa maji machafu? Mimi mkoani nimechimba mita 150m ,ilinicost milioni 9.