Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kwa huku Bara ,wazanzibar wana uhuru 100%...Zanzibar ni sehemu ya Tanzania Kwa baadhi ya Mambo.
Hilo katazo huwa ni kwa mujibu wa sheria gan??Najua mnaoliza maswali Kama haya hampo Zanzibar,
Punguzeni chokochoko kwani Ramadan Zanzibar si tukio jipya na katazo la Kula hadharani si jipya.
Hawawezi kukujibu zaidi ya kujitetea kuwa hizo ni bylaws.Polisi ni Jambo la Muungano...ina maana wanafuata sheria za Jamhuri.
Je,wana usikaje kukamata watu kwa makosa ambayo kwenye Katiba hayapo...?
Ufafanuzi tafadhali.
Amani ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi.Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.
Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.
Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?
Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?
Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?
Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Wanasherekea kwa vile sio majority maana kule kama sheria ni kula hadharani hata sehemu kadhaa zimefungwa ...kula hadharani ndio hawataki kula ndani hamna tatizoJe wakirsto wataruhusiwa kusherekea sikukuu ya Pasaka kama imani yao inavyotaka?
Hakuna katazoNi ruksa kuchinja na kupika mchana?
Mfano nachoma zangu nyama napika pilau. Je hadharani ambayo sitakiwi kufanyia haya ni wapi napikia chumbani?Wanasherekea kwa vile sio majority maana kule kama sheria ni kula hadharani hata sehemu kadhaa zimefungwa ...kula hadharani ndio hawataki kula ndani hamna tatizo
So,Kusheherekea huku watu wakiwa wamejifungia ndani,,,Wanasherekea kwa vile sio majority maana kule kama sheria ni kula hadharani hata sehemu kadhaa zimefungwa ...kula hadharani ndio hawataki kula ndani hamna tatizo
Kuna tangazo la namna hiyo...Hakuna katazo
Viwanja vimefungwaSo,Kusheherekea huku watu wakiwa wamejifungia ndani,,,
Yani,watu hakuna kwenda Viwanja vya wazi, Kariakoo pale ama fukweni...
Na hii unaona ipo sawa...?
umeelewa swali la mtoa mada lakini?Najua mnaoliza maswali Kama haya hampo Zanzibar,
Punguzeni chokochoko kwani Ramadan Zanzibar si tukio jipya na katazo la Kula hadharani si jipya.
Kwanini watalii hawakatazwi kuhusu kula na hata mavazi...?Viwanja vimefungwa
Ni uchawa tu SI unawajua Hawa poliCCM Huwa hawafanyi kazi kwa weledi Bali kwa kuwafurahisha watawala.Polisi ni Jambo la Muungano...ina maana wanafuata sheria za Jamhuri.
Je,wana usikaje kukamata watu kwa makosa ambayo kwenye Katiba hayapo...?
Ufafanuzi tafadhali.
Kwann watu wasile wakaendelea na ratiba zao? Wewe kufunga kwako kunahusiana nini na wenzako?Najua mnaoliza maswali Kama haya hampo Zanzibar,
Punguzeni chokochoko kwani Ramadan Zanzibar si tukio jipya na katazo la Kula hadharani si jipya.