DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Umeenda zanzibar kufanya nini 😅😅🤣🤣Jibu swali ndugu pasaka wakristo nzazibar wasile pasaka yao
Wakati we Ni mkristo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeenda zanzibar kufanya nini 😅😅🤣🤣Jibu swali ndugu pasaka wakristo nzazibar wasile pasaka yao
sonofobia, kwani mwaka jana walisherehekea vipi?Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.
Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.
Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?
Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?
Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?
Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Polisi wameshasema wataendelea kuwakamata 🤣🤣😅😅HIZI DINI HIZIIIITaifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.
Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.
Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?
Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?
Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?
Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Muungano feki?Polisi ni Jambo la Muungano...ina maana wanafuata sheria za Jamhuri.
Je,wana usikaje kukamata watu kwa makosa ambayo kwenye Katiba hayapo...?
Ufafanuzi tafadhali.
Zanzibar Ni islamic state kwanini unakula kwenye Ramadhani😅😅Ila kuna haki ya kuhoji...ili kuweka mambo sawa...?
Watu wanauliza wakiwepo Tanzania,na Zanzibar ni sehemu ya Tanzania...
Hakuna nchi inayoitwa Tanganyjka, hilo lazima ulijue...Sema tanganyika sio tanzsnia
Watanuna au Mtakamatwa???Hao jamaa huku Bara tunawakarimu ila ni wapuuzi na wabaguzi sana, Jumapili iliyopita pale Unguja Sheha kuna Kanisa kaenda eti punguzeni sauti watu wamefunga........ Jumapili ndiyo watanuna Zaidi
Kuna kipengele cha katiba kilichonena hivyoZanzibar Ni islamic state kwanini unakula kwenye Ramadhani😅😅
Hakuna Nchi inayoitwa Tanganyika ila kuna nini inayoitwa Tanganyika??Hakuna nchi inayoitwa Tanganyjka, hilo lazima ulijue...
Siupondi muungano, ila kuna mambo yaboreshwe...
Dini ni ujinga mmoja hivi ulioaminishwa kilazima kwa watu..Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.
Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.
Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?
Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?
Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?
Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
ilitakiwa wapige marufuku pasaka ili ijulikane, inakuwaje mtu na imani yake asherehekee pasaka bila kula chakula kwa uhuru hadi mpagani anayeamini mungu asiyejulikana afuturu? na kwanini wanawapiga viboko wanaokula mchana wakati hawajafunga? na sio dini yao kufunga kwa mungu asiyejulikana?Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.
Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.
Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?
Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?
Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?
Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
Wana sheria zao zinazosema hivyo..Kuna kipengele cha katiba kilichonena hivyo
Anayeteua kuunda hizo serikali ni nani? Kama unawakataza kula tu, utaweza kuwaweka kwenye serikali yako??
Kumbe Zanzibar kuna wakristo? Sasa mbona kwenye serikali yao sijawahi kusikia mkristo? Kama kuna wakristo huko Zanzibar basi labda hawakwenda shule kabisa!
hao sio upaja wa pisi kali tu unawatamanisha, hadi mwanaume mwenzao akipita wanatamani, pamoja na kufunga kote huko zanzibar. ingelikuwa enzi zile, kwa ushetani unaofanywa zanzibar, Mungu angeshakichoma icho kisiwa kama sodomana gomora.Kama jaribu la kuvumilia jirani yako akila hadharani linakushinda utaweza kuvumilia ukiona upaja wa pisi kali? Jaribu dogo tu linateteresha imani yako.
Nani amekuambia Zanzibar ni Islamic State? Pumbavu kabisa wewe. Mbona nyie mpo huku Bara? Roho mbaya haisaidii.Kwani nani aliwaambia mkakae Zanzibar?Mnaambiwa Zanzibar ni Islamic state hamuelewi,kataeni muungano,acheni uchawa,fungukeni hamtaki mnaleta ushabiki,suluhisho ni katiba tu.Tukisema JKN alikuwa mnafiki na ndo chanzo ya yote haya mnamtetea haya sasa mm nitamkimbuka sana Oscar Kambona
Najua kama wana katiba yao...Lakini swali langu ni je,kuna mahala imenena kwamba Zanzibar ni dola Kiislam...?Wana sheria zao zinazosema hivyo..
Sasa unafikiri Kwanini wafikishwe mahakamani kama hawana hiyo sheria..
Na unafahamu kuwa Zanzibar ina Katiba yao..
View attachment 2947875
View attachment 2947874