Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

sonofobia, kwani mwaka jana walisherehekea vipi?
 
Polisi wameshasema wataendelea kuwakamata πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…HIZI DINI HIZIIII
Your browser is not able to display this video.
 
Hao jamaa huku Bara tunawakarimu ila ni wapuuzi na wabaguzi sana, Jumapili iliyopita pale Unguja Sheha kuna Kanisa kaenda eti punguzeni sauti watu wamefunga........ Jumapili ndiyo watanuna Zaidi
Watanuna au Mtakamatwa???
Maana wameshatangaza tayari polisi..
 
Hakuna nchi inayoitwa Tanganyjka, hilo lazima ulijue...
Siupondi muungano, ila kuna mambo yaboreshwe...
Hakuna Nchi inayoitwa Tanganyika ila kuna nini inayoitwa Tanganyika??

Vipi kuhusu Uhuru wa 1961 ni nchi gani ilipata uhuru??
Vipi Hivi vyama vya kitaaluma vinaitwaje vile vinatokea nchi gani??
 
Dini ni ujinga mmoja hivi ulioaminishwa kilazima kwa watu..
 
ilitakiwa wapige marufuku pasaka ili ijulikane, inakuwaje mtu na imani yake asherehekee pasaka bila kula chakula kwa uhuru hadi mpagani anayeamini mungu asiyejulikana afuturu? na kwanini wanawapiga viboko wanaokula mchana wakati hawajafunga? na sio dini yao kufunga kwa mungu asiyejulikana?
 
Kuna kipengele cha katiba kilichonena hivyo
Wana sheria zao zinazosema hivyo..
Sasa unafikiri Kwanini wafikishwe mahakamani kama hawana hiyo sheria..

Na unafahamu kuwa Zanzibar ina Katiba yao..

Your browser is not able to display this video.
 

Kumbe Zanzibar kuna wakristo? Sasa mbona kwenye serikali yao sijawahi kusikia mkristo? Kama kuna wakristo huko Zanzibar basi labda hawakwenda shule kabisa!
Anayeteua kuunda hizo serikali ni nani? Kama unawakataza kula tu, utaweza kuwaweka kwenye serikali yako??
 
Kama jaribu la kuvumilia jirani yako akila hadharani linakushinda utaweza kuvumilia ukiona upaja wa pisi kali? Jaribu dogo tu linateteresha imani yako.
hao sio upaja wa pisi kali tu unawatamanisha, hadi mwanaume mwenzao akipita wanatamani, pamoja na kufunga kote huko zanzibar. ingelikuwa enzi zile, kwa ushetani unaofanywa zanzibar, Mungu angeshakichoma icho kisiwa kama sodomana gomora.
 
Nani amekuambia Zanzibar ni Islamic State? Pumbavu kabisa wewe. Mbona nyie mpo huku Bara? Roho mbaya haisaidii.
 
imagine, halafu, mzanzibari huyohuyo ndio awe rais wa Tanzania, apigiwe kura na watanzania, aheshimike na watanzania, kwa mazingira ya aina hii huko kwao. hata mwinyi anayetazama tu watu wakristo wakipigwa viboko na kukamatwa mchana, kuna siku atakuja kuomba kura huku bara awe rais wenu, watanganyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…