Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.

Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.

Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?

Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?

Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?

Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
dini bila reasoning ni upumbavu mtupu. sasa ukizingatia na akili zenyewe chache za mtu mweusi, doh! ndio kizaazaa
 
Hajakatazwa mtu kula mchana ila umekatazwa ulaji wa hadharani kipindi cha mfungo wa Ramadhani wakati wa mchana.

Kama unajisikia kula mchana basi tafuta sehemu isiyo ya hadhara kisha ule. Ukimaliza endelea na shughuli zako. Simple tu
Sehemu isiyo ya hadhara ni chooni, kwa hiyo watu wajifiche chooni kula?
 
Kwani nani aliwaambia mkakae Zanzibar?Mnaambiwa Zanzibar ni Islamic state hamuelewi,kataeni muungano,acheni uchawa,fungukeni hamtaki mnaleta ushabiki,suluhisho ni katiba tu.Tukisema JKN alikuwa mnafiki na ndo chanzo ya yote haya mnamtetea haya sasa mm nitamkimbuka sana Oscar Kambona
Zanzibar ni Islamic state? Aisee katiba ya nchi imebadilika lini.?
 
Kwani nani aliwaambia mkakae Zanzibar?Mnaambiwa Zanzibar ni Islamic state hamuelewi,kataeni muungano,acheni uchawa,fungukeni hamtaki mnaleta ushabiki,suluhisho ni katiba tu.Tukisema JKN alikuwa mnafiki na ndo chanzo ya yote haya mnamtetea haya sasa mm nitamkimbuka sana Oscar Kambona
wacha yawapate. tukikasema hako kababu kachawi ka Nyerere wanakatetea. Kambona angepeleka hii nchi mbali. hako ka babu ndiyo chanzo ya yote haya. unaunganisha watu ambao hawako tayari kuungana. matokeo ndio haya.
 
Kwani nani aliwaambia mkakae Zanzibar?Mnaambiwa Zanzibar ni Islamic state hamuelewi,kataeni muungano,acheni uchawa,fungukeni hamtaki mnaleta ushabiki,suluhisho ni katiba tu.Tukisema JKN alikuwa mnafiki na ndo chanzo ya yote haya mnamtetea haya sasa mm nitamkimbuka sana Oscar Kambona
Unafahamu kuna wakristu walikuwepo Zanzibar kabla hata ya uhuru kupatikana. Na ni wa Zanzibar kwa kuzaliwa?
 
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa...
wanamambo ya hovyo sana tulishasema sana kuhusu hili jambo,sasa ifike wakati zanzibar ijitenge na mambo ya kushutisha kila mmoja kumwamini huyo alah wao kwa nguvu,wajifunze toka bara,wasijifanye wenyewe ndo wanajua sana dini, halafu hili jambo linatoka kwa viongozi wa kuu hawataki kulikemea
 
Askari alikuwa mkristo sio?

Aliachwa na yuko mtaani huru, wanaokula wanafanya dhambi?

Kwa miaka niliyoishi, mashoga wengi wa enzi hizo waliitwa kwa majina ya kiislam, kati ya 19 niliowahi kusikia, tena wakiwa na jina lao tukufu, ni mmoja tu ndo alikuwa akiitwa Noel.

Lipi baya kati ya kula na ushoga?

Kawasikilize watoto wa Coco beach, wakihojiwa enzi zile kwenye kipindi fulani redioni, waliwataja mpaka VIONGOZI WAISLAMU, mmoja akiwa marehemu kwa sasa, mmoja mkristo hakutajwa, kipindi kikakatishwa!

Kama hujawahi ishi kwenye jamii waliojaa wao, kajaribu ujione jinsi walivyo duni kwa kila jambo, wakishupalia mmomonyoko wa maadili kuwa ndio imani!

Yote hayo nini, mwaarabu anafanya....watoto wakike wakiolewa mabikra kwa imani ila exhaust pipe ikiwa chakavu, remedy yake ni MANUKATO makali kuficha uchafu wao.
Usisahau amri ya Papa inayowataka mpewe baraka huko makanisani. Haya nenda kabarikiwe sasa
.
 
Taifa la Mungu wakati tukijiandaa kusherekea Pasaka siku ya jumapili. Wakirsto waliopo Zanzibar wapo kwenye mtihani mkubwa.

Zanzibar kwa sasa ukila mchana unakamatwa na polisi na kuwekwa ndani.

Je itakuwaje kwenye siku ya Pasaka ambayo inatakiwa waumini wachinje na kula na kusherekea pamoja?

Wameambiwa watu wasile hadharani je kwenye hadhara ni wapi? Ukipika pilau lako unawekwa ndani?

Tumeshuudia watu wamekamatwa sababu wanasafirisha chakula walichoagiza kwa siri kutumia bodaboda hawakuwa wakila barabarani, je sasa hadharani ni wapi?

Ukiwa nyumba za kupanga za kushea huduma je hutakiwi kupika?
Watanzania wenzetu wapo kwenye mtihani mkubwa sana kipindi hiki na kosa lao ni moja tu kutokuwa waamini wa islamic religion. Tuwaombee maana hawana mtetezi huko.
dini zingine za hovyo sna,Kama jaribu la kuvumilia jirani yako akila hadharani linakushinda utaweza kuvumilia ukiona upaja wa pisi kali? Jaribu dogo tu linateteresha imani yako.
 
we naye umekurupuka hujamuelewa. uwe unatuliza fuvu usome kisha ndio ujibu.
Wewe Bibi Njunju umemuelewa? Alipsema "Zanziba ni Islamic state" alikuwa na maana gani na alitumia nini kujusfty kuwa Zanzibar ni "Islamic state" acha kutumia makalio kufikiria we Bibi au ushaingia eda?
 
Back
Top Bottom