Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

Nini hatima ya Wakristo walio Zanzibar kwenye sherehe za Pasaka baada ya zuio la kula mchana wakati huu wa Ramadhan?

I wish ningekiwa naishi Zanzibar napika wali alfu nakatiza nao mtaani na panga pembeni algu mtu alete ujinga
 
Natamani liendelee hivyo hivyo tuhitimishe safari ya samia na mwinyi wake muda ni mwalimu mzuri Wacha azibe masikio tutakuna 25
 
I wish ningekiwa naishi Zanzibar napika wali alfu nakatiza nao mtaani na panga pembeni algu mtu alete ujinga
Ndio maana wanakataza wamasai wasitembee na masime kumbe ili wawapige mikwaju wakiwa wanakula mchana wasengekisenge
 
Kutokula hadharani inawezekana lakini kwani akila hadharani, wewe ambaye umefunga inakuhusu nini? Hiyo sheria za kuwazuia watu kula hadharani, ni ya kiuwendawazimu. Anayekula hakuwekei chakula mdomoni pako uliyefunga, wewe inakuhusu nini?

Kama unashindwa kuendelea na funga kwa sababu umeona mtu anakula au umekiona chakula, basi wewe ni mnafiki mkubwa, na hujafunga chochote bali unashinda njaa kwa sababu hakuna chakula.
Wewe wacha porojo hizo sheria sheria zinazokataza kula hadharani mchana wa Ramadhani zipo toka wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Najua mnaoliza maswali Kama haya hampo Zanzibar,
Punguzeni chokochoko kwani Ramadan Zanzibar si tukio jipya na katazo la Kula hadharani si jipya.
Unamkatazaje mtu kula hadharani mbwehawewe
 
Wewe wacha porojo hizo sheria sheria zinazokataza kula hadharani mchana wa Ramadhani zipo toka wewe hujazaliwa tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Wewe ni msengekisenge Sheria Sheria huweki hapa msengemmoja wewe umekomaa tu Sheria Sheria Sheria za mkunduwako
 
Kwamba wengine wakila hadharani nyie automatical mnafungua ama? Mbona ni dini ya shuruti sana?
Hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
 
Nauona UDINI dhahiri mbele ya macho ya ma Rais wawili walioungana kuupiga vita UKRISTO visiwani kimya kimya.
Tunakushukuru sana Husein Mwinyi kwa ukimya wako kuonyesha kuwa sasa Zenji ina dini.
Tukushukuru Mzenji Samia kwa kukaa kimya maana nali ni jibu pia.
 
Kuna mambo yanachekesha
Nawaza hapa polisi wanakamata mtu anakula,katika mahojiano mtuhumiwa anaulizwa kwanini umekula wakati wenzako wamefunga?seriously?

Mtu kala zake hadharani,kaamua yeye asifunge kwa sababu zake na Mungu wake...kwa nini mwingine ateseke?kwa inavyoonekana Zanzibar sio sehemu ya uhuru
Huko uisilamu ni lazima.
 
Huko uisilamu ni lazima.
Uislamu haukatazi watu kula hadharani weweboyanazi, leta hapa Aya ya Qur'an inayosema watu wasile hadharani wakati wa mfungo wa Ramadhan

Km vitu haujui Bora mara 100 ukae kimya kuliko kujitia ujuaji
 
Najua mnaoliza maswali Kama haya hampo Zanzibar,
Punguzeni chokochoko kwani Ramadan Zanzibar si tukio jipya na katazo la Kula hadharani si jipya.
Ila mwaka kumekuwepo na mambo mapya; kupiga na kukamatwa wasio waislamu wanaokula chakula nyumbani kwao.
 
Nauona UDINI dhahiri mbele ya macho ya ma Rais wawili walioungana kuupiga vita UKRISTO visiwani kimya kimya.
Tunakushukuru sana Husein Mwinyi kwa ukimya wako kuonyesha kuwa sasa Zenji ina dini.
Tukushukuru Mzenji Samia kwa kukaa kimya maana nali ni jibu pia.
Mwinyi ameingia madarakani bila ridhaa ya wazanzibar walio wengi, anajua huko uisilamu ndio unabeba hisia zao, hivyo anajua akiiongea lolote lililo kinyume na wazanzibar, ataamsha hasira zao kuhusu utawala wake.
 
Hizo sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani? Tii sheria bila shuruti huwezi baki kwenu tanganyika
Zanzibar ni Tanzania, na uisilamu sio special case kwenye katiba ya muungano. Labda mseme huko katiba inafuata Sheria za kiisilamu.
 
Back
Top Bottom