Nini hatma ya miradi ya Chato?

Hii Miradi ambayo haijapitishwa na Bunge Rais wa sasa asiipitishe
ni wapi tuiiona Bajeti ya Reli ya SGR toka Mwanza, mara Daraja la Busisi hivi ni kwanini lisijengwe daraja ya Bagamoyo hadi Zanzibar, huko kwenye kupitisha Mbuga za wanyama kwa awamu hii iliyobaki pasipelekwe tena fedha kwani hazitalipa chochote
 
Badala uwaze maombi wewe wawaza Mali za duniani naomba utuache tuko na msiba mnene mpendwa wa taifa kaondoka niko na majonzii.
Mpendwa wa taifa!?

You can't be serious [emoji3]
 
Upinzani dar Wana majimbo gani Hadi dar iwe upinzani?
Kwani mwaka 2020 tulikuwa na uchaguzi au kubandika majibu yaliyoandaliwa? Mama amesema tuweke yote nyuma tuanze upya kwa mshikamano. Anajua maana yake.
 
Badala uwaze maombi wewe wawaza Mali za duniani naomba utuache tuko na msiba mnene mpendwa wa taifa kaondoka niko na majonzii.
Tumalize msiba kwanza.
Tungemuaga uwanja wa Mkapa kama ilivyokuwa kwa Nyerere na Mkapa.
 
Una maana aliamua jambo lisilo muhimu?
 
Chamuhimu hapo Ni hiyo hospitali vingine avikaushie
 
Akung'ate kabisa. Asikuume tu.
 
Nimeshindwa kulala hadi nalia machozi. Hivi nyie mnajua mtoto wa mtu anauma kiasi gani? Mama yake ataambiwa nini yule mzee??
Kulia umependa, msiba wa Mama Janeth kule Chato, wewe uko Tandahimba au Tunduru unajiliza. Unajifanya una machungu so ajabu hata hujui kesho utapata wapi japo mlo mmoja wa familia yako.
Fanya yanayokuhusu.
 
Nimeshindwa kulala hadi nalia machozi. Hivi nyie mnajua mtoto wa mtu anauma kiasi gani? Mama yake ataambiwa nini yule mzee??
Your browser is not able to display this video.


Kama huyu
 
Kuendelea si issue bali safari zitakuwepo na zitalipa?
Uwanja wa Chato ni muendelezo wa uwanja wa Mwanza. Ili uwanja wa Mwanza uwe na uwezo kupokea ndege kubwa za masafa marefu, lazima kuwe kuna uwanja jirani unaoweza kupokea ndege kama zikishidwa kutua Mwanza. Kama ilivyo viwanja vya (Kilimanjaro na Arusha) au (Dar na Zanzibar).

Kujibu swali lako, kiwanja cha Chato kinauwezo wa kujiendeleza na kuleta faida kama vilivyo viwanja vya Arusha, Songwe, Mwadui, na Kigoma. Kiko kwenye ukanda tajiri, pamoja kuwa karibu na nchi zaidi ya tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…