Mpendwa wa taifa!?Badala uwaze maombi wewe wawaza Mali za duniani naomba utuache tuko na msiba mnene mpendwa wa taifa kaondoka niko na majonzii.
Hiyo ndege itakuwa inafuata nini hukoUwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Mifugo yangu imepata kwa kulishiaUwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, chuo cha VETA, mbuga, kulikuwa na mpango wa uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Kwani mwaka 2020 tulikuwa na uchaguzi au kubandika majibu yaliyoandaliwa? Mama amesema tuweke yote nyuma tuanze upya kwa mshikamano. Anajua maana yake.Upinzani dar Wana majimbo gani Hadi dar iwe upinzani?
Wewe Wanjiru huwa una matatizo ya akiliMsiba upo wewe,sisi hautuhusu
Tumalize msiba kwanza.Badala uwaze maombi wewe wawaza Mali za duniani naomba utuache tuko na msiba mnene mpendwa wa taifa kaondoka niko na majonzii.
Una maana aliamua jambo lisilo muhimu?Hiyo miradi bora imaliziwe itumiwe na wakazi wa maeneo hayo na jirani, jengo kama lile la hospitali ya Rufaa kuliacha bila kumaliziwa itakuwa ni dhambi kubwa sana, ila kwa miradi mingine ambayo ilikuwa bado haijaanza kama ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu hiyo inaweza kusitishwa ujenzi wake kwasababu sio ya muhimu sana.
Kuendelea si issue bali safari zitakuwepo na zitalipa?Uwanja wa ndege wa Chato unamatumizi mengi endelevu ya kanda ya ziwa. Utaendelea kama ilivyopangwa.
Ndio basiii hiyo Itaishia kuwa ghost city
Hasara
Ukiona mtu anachokonoa meno ujue kala nyama au kitu kama hicho. Huwezi kunywa maji ukachokonoa meno. Dar ni tamu ingawa Dodoma si chungu...Makao makuu Dodoma vipi?
Chamuhimu hapo Ni hiyo hospitali vingine avikaushieHiyo miradi bora imaliziwe itumiwe na wakazi wa maeneo hayo na jirani, jengo kama lile la hospitali ya Rufaa kuliacha bila kumaliziwa itakuwa ni dhambi kubwa sana, ila kwa miradi mingine ambayo ilikuwa bado haijaanza kama ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu hiyo inaweza kusitishwa ujenzi wake kwasababu sio ya muhimu sana.
Akung'ate kabisa. Asikuume tu.Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Kulia umependa, msiba wa Mama Janeth kule Chato, wewe uko Tandahimba au Tunduru unajiliza. Unajifanya una machungu so ajabu hata hujui kesho utapata wapi japo mlo mmoja wa familia yako.Nimeshindwa kulala hadi nalia machozi. Hivi nyie mnajua mtoto wa mtu anauma kiasi gani? Mama yake ataambiwa nini yule mzee??
Nimeshindwa kulala hadi nalia machozi. Hivi nyie mnajua mtoto wa mtu anauma kiasi gani? Mama yake ataambiwa nini yule mzee??
Uwanja wa Chato ni muendelezo wa uwanja wa Mwanza. Ili uwanja wa Mwanza uwe na uwezo kupokea ndege kubwa za masafa marefu, lazima kuwe kuna uwanja jirani unaoweza kupokea ndege kama zikishidwa kutua Mwanza. Kama ilivyo viwanja vya (Kilimanjaro na Arusha) au (Dar na Zanzibar).Kuendelea si issue bali safari zitakuwepo na zitalipa?