Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Hii Miradi ambayo haijapitishwa na Bunge Rais wa sasa asiipitishe
ni wapi tuiiona Bajeti ya Reli ya SGR toka Mwanza, mara Daraja la Busisi hivi ni kwanini lisijengwe daraja ya Bagamoyo hadi Zanzibar, huko kwenye kupitisha Mbuga za wanyama kwa awamu hii iliyobaki pasipelekwe tena fedha kwani hazitalipa chochote
ni wapi tuiiona Bajeti ya Reli ya SGR toka Mwanza, mara Daraja la Busisi hivi ni kwanini lisijengwe daraja ya Bagamoyo hadi Zanzibar, huko kwenye kupitisha Mbuga za wanyama kwa awamu hii iliyobaki pasipelekwe tena fedha kwani hazitalipa chochote