Nini hatma ya miradi ya Chato?

Nini hatma ya miradi ya Chato?

Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.

Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
 
Hiyo miradi bora imaliziwe itumiwe na wakazi wa maeneo hayo na jirani, jengo kama lile la hospitali ya Rufaa kuliacha bila kumaliziwa itakuwa ni dhambi kubwa sana, ila kwa miradi mingine ambayo ilikuwa bado haijaanza kama ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu hiyo inaweza kusitishwa ujenzi wake kwasababu sio ya muhimu sana.
 
Back
Top Bottom