Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala uwaze maombi wewe wawaza Mali za duniani naomba utuache tuko na msiba mnene mpendwa wa taifa kaondoka niko na majonzii.Uwanja wa ndege, hospital ya rufaa, chuo cha veta, mbuga, kulikuwa na plan ya uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Thubutu..!Uwanja wa ndege, hospital ya rufaa, chuo cha veta, mbuga, kulikuwa na plan ya uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Ni ubadhirifu mkubwa huo stop all that!Uwanja wa ndege, hospital ya rufaa, chuo cha veta, mbuga, kulikuwa na plan ya uwanja wa mpira nk nk.
Je, Serikali itaiendeleza?
Hiyo tuweke pembeni kwanza mkuu. Utu ni muhimu kwa sasa
Vipi hifadhi ya Chato wanyama wa Serengeti watarejeshwa na Hotel ya nyota 3 sijui itakuwa Vipi.Ni ubadhirifu mkubwa huo stop all that!
Point yako haina mashakaPoint yangu inabase kwenye jinsi ambavyo viongozi wa serikali walikuwa wanaitetea hiyo miradi, najiuliza je wataiendeleza?
Wanyama warudishwe serengetiVipi hifadhi ya Chato wanyama wa Serengeti watarejeshwa na Hotel ya nyota 3 sijui itakuwa Vipi.
Dah, Watanzania tuna mambo ya ajabu sana. Pumzika kwa amani Magufuli.Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana😭😭😭😭😭