Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hakuna kisicho mtazamo wa mtu.Nadhani huo ni mtazamo wako na mimi nimetoa mtazamo wangu ambao upo tofauti..
Lakini katika mitazamo hiyo tofauti ya watu, kuna mingine sahihi na mingine si sahihi.