ila habari za Mohammad zipo sio za kusadikika ?.Habari za uwepo za yesu ni za kusadikika,hamna hata mmoja anaye weza kuzithibitisha.Hivyo,hata swali lako limejengwa katika hoja za kusadikia,hata majibu ya wadau yatakiwa ya kusadikia pia na hata ukijitahidi miaka na miaka huta pata uthibitisho so kwa nini unajisumbua kwa mambo ya kusadikia??.
Nimecheka kifala saana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata mazishi yake alizikwa na Tajiri Bilionea Yusuf wa Alimataya kwenye kaburi la matajiri.Hakuzikwa na malofa
mafuta tu ya kujipaka Yesu alikuwa akijipaka ya bei mbaya hadi Yuda Iskariote alashangaa, maria magdalena alipokuwa akimpaka yale mafuta akasema mafuta ghali haya Yesu unapaka loo.Yesu akamwambia mwache anipake wewe yuda iskariote kama umezoea kujipaka mafuta ya nazi utajijua akaendelea kujipaka
Ukimuongelea Yesu usimfananishe na yeyote awe wewe, mchungaji wako,padri wako,nabii wako'mtume wako,mwinjilisti wako,Mwalimu wako au dini yako au yeyote umjuaye.Yesu anabaki kama alivyo hakuna awezaye kumfikia sifa zake.Duniani hayupo.Halinganishwi na kitu chochote wala yeyoteYesu alikuwa seremala alitengeneza meza sturi masofa vibubu... nk hakutegemea madhabau km hawa manabii fake wanaotegemea zaka na sadaka..
Biblia ipo wazi kuwa.Ukijiua unaenda mbinguni?
Biblia ipo wazi kuwa.Hatujui maana alijinyonga mwenyewe, kwahiyo hapo niyeye na YESU watajua walikopelekana
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Unaanza kumfitini Yesu.Biblia ipo wazi kuwa.
Baada ya Yesu kufa alienda kuzimu, napo alipofika aliwahubiria injili wale ambao walikuwa kule..
Na ukiona calculation za ki mbingu, Yuda kama alitengenezwa kumsaliti Yesu na kusudi apate kutubia ikabidi ajiue kitendo cha kujiua akawa amejitanguliza kuzimu na probably Yesu alivyofika kuzimu ni lazima Yuda aliiomba toba na akawa mmoja ya waaminio wapya kutoka kuzimu.
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Habari za uwepo za yesu ni za kusadikika,hamna hata mmoja anaye weza kuzithibitisha.Hivyo,hata swali lako limejengwa katika hoja za kusadikia,hata majibu ya wadau yatakiwa ya kusadikia pia na hata ukijitahidi miaka na miaka huta pata uthibitisho so kwa nini unajisumbua kwa mambo ya kusadikia??.
Selemala alikuwa ni Yosef mume wa bikra Maria.Yesu alikuwa seremala alitengeneza meza sturi masofa vibubu... nk hakutegemea madhabau km hawa manabii fake wanaotegemea zaka na sadaka..
Unasoma biblia ya wapi wewe??Naona
Unaanza kumfitini Yesu.
Yesu aende kuzimu kutubisha watu enzi za Yuda alafu sisi huku tukidedi tunapambana na hali zetu.
Hapana
Yesu alikuwa amenyooka
Angebaki huko huko hadi Leo ili kuonyesha consistency.
HUDUMA YA YESU ILIKUWA IKIBEBWA NA WATU WAKUBWA SAAANA KUTOKA KWENYE SERIKALI YA KIRUMI WATU HAO WALIKUWA WAKIMFUATA YESU KWA SIRI MNO NA WENGINE WALIKUWA NI MAAFISA SERIKALINI LAKINI NI WANAFUNZI WA YESU KWA SIRIYesu alikuwa na Pesa nyingi sana kuliko watu wa dini wanavyotueleza.
Ushahidi.
1: Alikuwa na Muhasibu. MTU binafsi bila kampuni wala biashara kufikia hatua ya kushindwa kutunza kipato chako hadi Uwe na Muhasibu basi utakuwa na Pesa nyingi sana.
2: Aliwazuia mitume wasifanye biashara zao. Aliwakuta jamaa wakinapetro ni wakokozi na wavuvi nguli akawaambia waache alafu wamfuate.
Kulisha breakfast, lunch na dinner wanaume 12 wasio na Kazi miaka mitatu mfululizo inabidi Uwe na Pesa. Ushahidi Baada ya kufa Petro aliwashawishi warudi kwenye Biashara zao.
3: Hakuna kifungu Yesu kaishiwa Pesa au kashindwa kufanya muamala wowote kisha hana salio. Aliwahi kudaiwa kodi ya hekalu, akamtuma Petro akavue samaki aliyekuwa na Pesa tumboni.
4: Muhasibu wake alikuwa mwizi na mwenye uchu wa Pesa. Huku tunaona makampuni maduka Yenye wahasibu wezi huwa yanafirisika. Yuda hakuwahi kufirisi mkoba wa pesa za mwalimu wake Yesu.
Wakuu Yesu alikuwa yuko vzr kiuchumi.
Sasa najiuliza nini nilikuwa chanzo chake cha fedha ikiwa
Alikuwa hana biashara
Hakuwa na gawio LA sadaka masinagogini na hekaluni?
Je alikuwa anawafadhili?
Je alikuwa anakusanya Sadaka kwenye mihadhara yake?
Je Alikuwa anashushiwa kimiujiza.?
Mkuu nahisi zamani mtoto alikuwa anarithi taaluma afanyayo baba ake na mtoto wa kike kwa mama hivyo hivyo. So kuna asilimia kubwa bwana Yesu nae alikuwa seremala.Selemala alikuwa ni Yosef mume wa bikra Maria.
Biblia ipo wazi kuwa.
Baada ya Yesu kufa alienda kuzimu, napo alipofika aliwahubiria injili wale ambao walikuwa kule..
Na ukiona calculation za ki mbingu, Yuda kama alitengenezwa kumsaliti Yesu na kusudi apate kutubia ikabidi ajiue kitendo cha kujiua akawa amejitanguliza kuzimu na probably Yesu alivyofika kuzimu ni lazima Yuda aliiomba toba na akawa mmoja ya waaminio wapya kutoka kuzimu.
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi kutengeneza pesa alikuwa anajua sana mfano siku moja mvuvi mzoefu Petro alikesha usiku kucha kakesha kuvua samaki akauze apige pesa ndefu hakupata hakupata akamwendea Yesu akamwelezea Yesu akamwambia ngoja nikuelekeze eneo la kuvua mchana kweupe utapata mzigo wa samaki wa kutosha mchana kweupe jua linawaka wa kupata pesa nyingi akamwambia vua hapa eneo hili tweka kilindini nyavu zako .Petro alipata samaki wengi hadi ikabidi aite vyombo vingine vya kuja kusaidia kubeba alipata utajiri mkubwa ghafla hadi akachanganyikiwa kwa wingi wa samaki wale.Yesu alijua ukitaka kupata pesa nyingi utapata wapi hadi eneo anakuonyesha like paleee!!Yesu aliweza zalisha hela kwa namna mbalimbali,sababu alikuwa genius, biashara yoyote kama angefanya au alifanya angefanya au alifanya kwa mafanikio makubwa.
Kuna mfano mmoja anautoa kuhusu mtu aliyeachiwa talanta kadhaa na bosi wake na akazitunza tu bila kuzizalisha ,anasema angemuazima hata mkopeshaji ili Ile hela izae kuliko kuifukia tu chini.
Pia Yesu angeweza pata hela kwa Imani tu,kama alivyoamuru ikachukuliwe kwa samaki atayevuliwa
Zamani WAYAHUDI waliwafundisha watoto wao skills za mikono.Mkuu nahisi zamani mtoto alikuwa anarithi taaluma afanyayo baba ake na mtoto wa kike kwa mama hivyo hivyo. So kuna asilimia kubwa bwana Yesu nae alikuwa seremala.
1petro 3:18-20Mkuu tuwekee andiko la biblia linaloeleza kuwa Yesu alishuka kuzimu na kuhubiri injili huko