Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Ila ile kanzu aliokuwa nayo akiongezeka nayo inaongezeka na haikuwa na mshono wowote, waliipigia kura huyo aliyeichukua sijui ilikuwaje hakuwa anaota anapigwa mijeredi kweli?Yesu hakuwa maskini alikuwa Tajiri mno fikiria alipigwa msalabani nguo.zikalowa damu lakini Askari wa kirumi ambao walikuwa walipwa mishahara walimua kugawana nguo zake!!
YESU alivaa nguo za maana za bei kiasi wale askari malofa waliomuua waligawana zikiwa na damu hivyo kila mmoja anasema nitaenda kifua!!! Wangekuwa na pesa za kununua nguo kama zile wasingegawana alipokufa
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app