HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Nimeipenda hii.Wewe hizo milioni 10 ulikuwa uzipate chini ya godoro. Ulipoomba ukute milioni 10 chini ya godoro ulipochungulia ukaona shilingi 200 ilitakiwa umshukuru Mungi kuwa zinakuja
Hiyo inaitwa Elijah theory ni hivi Eliya aliomba inyeshe mvua kubwa kwenye Biblia kipindi cha kiangazi alipoomba mtumishi wake akamwambia naona kwa mbali kiwingu kidogo sana angani kimetokezea
Eliya akamwabia mfalme kimbia mvua kubwa inakuja isikukute njiani.Na ilikuja kubwa mno.Hiyo 200 uliyoiona chini ya godoro ungeingia kwenye kushukuru Mungu na kumsifu kuwa anakuleyea milioni 10 ingezipata ilitangulia hugo mia 200 zingine zilikuwa zinakuja ni.kiwingu kidogo kilikuwa hicho
Mleta mada pia asante. Leo nimepata kitu kipya kumbe Yuda alikuwa mtunza fedha! Na kumbe Yesu kuna kipindi aliagiza hela zikachukuliwe kwa samaki... Tumboni/mdomoni mwa samaki!!.