Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Nadhani ni michango ya waumini desturi ambayo hata kina paul, Petro, barnaba na wengine waliuendelezaI
I believe Bro.
Turudi kwenye mfuko wa fedha za Yesu ulikuwa unatunzwa na kijana wa mzee Iskariyote...
Pesa alizokuwa anazitunza aliItoalea wapi. Au zilitoka Mbinguni automatically
Unataka kusema wale samaki waliopatikana kwa muujiza walipelekwa sokoni kuuzwa ili mwana wa Adam na wanafunzi wake wapate pesa...?Mkuu wale manasara 12 walianza kuvua baada ya Yesu kufa. Walipokuwa na Yesu sijaona andiko wanavua. Walivua kabla na baada.
Kila alikuwa nao began kwa bega
Ile aliyoivaa muda uleMkuu hebu jaribu ku-fact check hii argument yako.
Wale askari waligawana mawazi mengi ya Yesu ama ilikuwa ni lile lile moja ndio waligawana?
Unajua thamani ya nguo ya mtu maarufu...?, Angalia mechi yoyote kubwa halafu mchezaji kama Messi atupe jezi yake ile yenye jasho uone watu wanavyotaka kuraruana, wale mapai walijua hata kipande cha ile kanzu kingeuzwa bei mbaya, Yesu alikua tajiri asee...Mkuu nakuelewa ila hii argument kuwa waligawana lile vazi sababu ya umaskini wao hivyo walitaka kwenda kulivaa ndio nina mashaka. Nadhani kugawana kwa kile vazi kulikuwa na maana nyingine maana ukumbuke kwanza lilikuwa lishachanika nankuchakaa kutokana na mijeledi ya maana ya hao hao askari.
Sasa vazi ambalo lishachakaa wangelitaka vipi kulivaa tena.? Kumbuka pia wale jamaa walikuwa ni askari wanaolipwa mshahara hivyo hawawezi kuwa maskini kihivyo.
Tunaongelea Mali (physical wealth) sio life after deathMama yake na wamwaminio ambao ni warithi pamoja na Kristo
Hii version mpya [emoji23][emoji23][emoji23]Hata mazishi yake alizikwa na Tajiri Bilionea Yusuf wa Alimataya kwenye kaburi la matajiri.Hakuzikwa na malofa
mafuta tu ya kujipaka Yesu alikuwa akijipaka ya bei mbaya hadi Yuda Iskariote akashangaa, Maria Magdalena alipokuwa akimpaka yale mafuta akasema mafuta ghali haya Yesu unapaka loo.Yesu akamwambia mwache anipake wewe yuda iskariote kama umezoea kujipaka mafuta ya nazi utajijua akaendelea kujipaka
Duh.
I wish Jf ingekuwa na sehemu ya voice.
Mbona maandiko yapo wazi hapo kabisa??
Hebu Soma Tena na tena.. uhitaji kutumia rocket science kuelewa.
Maana yapo wazi mnoo
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Unataka kusema wale samaki waliopatikana kwa muujiza walipelekwa sokoni kuuzwa ili mwana wa
Kabisa alikuwa Tajiri hasa alikuwa havai matambara au midabwada ya kimaskini au mitumbaUnajua thamani ya nguo ya mtu maarufu...?, Angalia mechi yoyote kubwa halafu mchezaji kama Messi atupe jezi yake ile yenye jasho uone watu wanavyotaka kuraruana, wale mapai walijua hata kipande cha ile kanzu kingeuzwa bei mbaya, Yesu alikua tajiri asee...
🤣Waliomuelewa wanashusha vifungu tu.Ukiona mtu anazungumzia mambo ya kidini bila kunukuu vifungu ujue ni porojo au hisia zake binafsi na uelewa wake binafsi na sio wa kidini...Kuna watu wanapenda tu wajulikane kwa hivyo kuwa wajuzi wa dini ilihali sivyo japo wanaweza kuwashawishi baadhi.Ukiangalia mtoa mada ndio taipu hiyo ni kutaka tu kuona wengine wanajua nini na kubishana.
Ukiona mtu anazungumzia mambo ya kidini bila kunukuu vifungu ujue ni porojo au hisia zake binafsi na uelewa wake binafsi na sio wa kidini...Kuna watu wanapenda tu wajulikane kwa hivyo kuwa wajuzi wa dini ilihali sivyo japo wanaweza kuwashawishi baadhi.Ukiangalia mtoa mada ndio taipu hiyo ni kutaka tu kuona wengine wanajua nini na kubishana.
HahahhaahUkiona mtu anazungumzia mambo ya kidini bila kunukuu vifungu ujue ni porojo au hisia zake binafsi na uelewa wake binafsi na sio wa kidini...Kuna watu wanapenda tu wajulikane kwa hivyo kuwa wajuzi wa dini ilihali sivyo japo wanaweza kuwashawishi baadhi.Ukiangalia mtoa mada ndio taipu hiyo ni kutaka tu kuona wengine wanajua nini na kubishana.
Hahahahhahahaha🤣Waliomuelewa wanashusha vifungu tu.
Sijui ajulikane na nani sasa?
🤣🤣🤣 Damen!!.Pale sio kana Mkuu pale ni porini jamaa walimuata. Sio kwamba hakuwa na Pesa sema hakukuwa na maduka ya kununua maana ilikuwa ni porini.
Ila licha ya kuwa na Pesa nyingi, alikuwa mchumi sana sio mfujaji.
Aliwaambia wanafunzi waokote mabaki waondoke nayo. Sio Leo MTU akiwa na Pesa tu jalala linajaa mapaja ya Kuku yaliyolambwa yamebaki na minofu.
Unaanza kumchunguza M/Mungu sasa.. shauri yako
Hajakataza Mkuu.Unaanza kumchunguza M/Mungu sasa.. shauri yako
DaaLogically tukitaka kufuata logic ya Bible kama aliweza kubadilisha mkate na kuwa mikate basi alikuwa haitaji kipato...
Ila tukifuata logic hio hio kulikuwa hakuna sababu ya kuchukua muda na kuwaconvince watu ili wamuelewe angeweza tu aka-download knowledge kwenye vichwa vya binadamu wakajua mema na mabaya..., could have saved a lot of time
Mbn unamzingizia yesu uongoYesu alikua na mpunga wa maana maandiko yanaonesha kwenye Luka 7 au 8 kuwa yule mwanamke Maria Magdalena alikuw Ni tajiri Sana inasemekana eti..
Alikuwa malikia wa magda na alimsponsor Jesus kila kitu.
Hv naeleweka naposema "kila kitu" nasikia pia Yesu alimwelewa Sana mpaka akamfanya mkuu was harakati za injili baada ya yeye kubanwa na warumi....
Baadae warumi wakamsaka Magdalena akakimbia mpaka ufaransa,mpaka akajifungua katoto ka kike kakaitwa Sarah Sasa hapa Bado Kuna tongotongo kama iyo mimba ilikuwa ya Jesus au laah.
Bhasi Petro alivyojua Magdalena kakimbia akaamua kuchukua jukumu ila ukweliii Ilo jukumu akupewa yeye Kwanza alikuwa ashamzingua Jesus.
Ila Yesu huduma yake ilikuwa na masponsor wengi ila ye mwenyeee alikuwa wa kawaida Sana .