Nini kilikuwa chanzo cha mapato ya Bwana Yesu?

Nini kilikuwa chanzo cha mapato ya Bwana Yesu?

I

I believe Bro.
Turudi kwenye mfuko wa fedha za Yesu ulikuwa unatunzwa na kijana wa mzee Iskariyote...

Pesa alizokuwa anazitunza aliItoalea wapi. Au zilitoka Mbinguni automatically
Nadhani ni michango ya waumini desturi ambayo hata kina paul, Petro, barnaba na wengine waliuendeleza
 
Mkuu wale manasara 12 walianza kuvua baada ya Yesu kufa. Walipokuwa na Yesu sijaona andiko wanavua. Walivua kabla na baada.

Kila alikuwa nao began kwa bega
Unataka kusema wale samaki waliopatikana kwa muujiza walipelekwa sokoni kuuzwa ili mwana wa Adam na wanafunzi wake wapate pesa...?
 
Mkuu nakuelewa ila hii argument kuwa waligawana lile vazi sababu ya umaskini wao hivyo walitaka kwenda kulivaa ndio nina mashaka. Nadhani kugawana kwa kile vazi kulikuwa na maana nyingine maana ukumbuke kwanza lilikuwa lishachanika nankuchakaa kutokana na mijeledi ya maana ya hao hao askari.

Sasa vazi ambalo lishachakaa wangelitaka vipi kulivaa tena.? Kumbuka pia wale jamaa walikuwa ni askari wanaolipwa mshahara hivyo hawawezi kuwa maskini kihivyo.
Unajua thamani ya nguo ya mtu maarufu...?, Angalia mechi yoyote kubwa halafu mchezaji kama Messi atupe jezi yake ile yenye jasho uone watu wanavyotaka kuraruana, wale mapai walijua hata kipande cha ile kanzu kingeuzwa bei mbaya, Yesu alikua tajiri asee...
 
Hata mazishi yake alizikwa na Tajiri Bilionea Yusuf wa Alimataya kwenye kaburi la matajiri.Hakuzikwa na malofa

mafuta tu ya kujipaka Yesu alikuwa akijipaka ya bei mbaya hadi Yuda Iskariote akashangaa, Maria Magdalena alipokuwa akimpaka yale mafuta akasema mafuta ghali haya Yesu unapaka loo.Yesu akamwambia mwache anipake wewe yuda iskariote kama umezoea kujipaka mafuta ya nazi utajijua akaendelea kujipaka
Hii version mpya [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh.
I wish Jf ingekuwa na sehemu ya voice.

Mbona maandiko yapo wazi hapo kabisa??

Hebu Soma Tena na tena.. uhitaji kutumia rocket science kuelewa.

Maana yapo wazi mnoo


Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app

Mkuu kwa hiyo watu waliotenda makosa kipindi cha Nuhu walipata second chance ya kuokolewa? Vipi kuhusu wale wa sodoma na gomora nao walipata second chance?

Ukisoma mstari wa 21
1 Petro : 3 : 21 - Mfano wa mambo hayo ni ubatizo, unaowaokoa ninyi pia siku hizi; (siyo kuwekea mbali uchafu wa mwili, bali jibu la dhamiri safi mbele za Mungu), kwa kufufuka kwake Yesu Kristo.

Petro anasisitiza mfano wa mambo hayo ni ubatizo.
 
Unataka kusema wale samaki waliopatikana kwa muujiza walipelekwa sokoni kuuzwa ili mwana wa

Walikuwa kiporo kesho yake, au wakawapa na wanaowafuata.

Huu utaratibu hata sisi tunao majumbani. Ukipika wali unaobaki hauutupi. Unauchemsha kesho yake unakula.

Hii technique ya serving tumeitoa kwa Yesu.

Yesu alikuwa mchumi sana. Na kuna matajiri hawataingia Mbinguni maana wanafikiri Pesa ni kufuja.


Hata kwenye makampuni control ya financial leakages (Cost control techniques ni muhimu sana).


Yesu alikuwa na package yote. Sio wa mchezo kabisa bro.
 
Unajua thamani ya nguo ya mtu maarufu...?, Angalia mechi yoyote kubwa halafu mchezaji kama Messi atupe jezi yake ile yenye jasho uone watu wanavyotaka kuraruana, wale mapai walijua hata kipande cha ile kanzu kingeuzwa bei mbaya, Yesu alikua tajiri asee...
Kabisa alikuwa Tajiri hasa alikuwa havai matambara au midabwada ya kimaskini au mitumba
 
Ukiona mtu anazungumzia mambo ya kidini bila kunukuu vifungu ujue ni porojo au hisia zake binafsi na uelewa wake binafsi na sio wa kidini...Kuna watu wanapenda tu wajulikane kwa hivyo kuwa wajuzi wa dini ilihali sivyo japo wanaweza kuwashawishi baadhi.Ukiangalia mtoa mada ndio taipu hiyo ni kutaka tu kuona wengine wanajua nini na kubishana.
 
Ukiona mtu anazungumzia mambo ya kidini bila kunukuu vifungu ujue ni porojo au hisia zake binafsi na uelewa wake binafsi na sio wa kidini...Kuna watu wanapenda tu wajulikane kwa hivyo kuwa wajuzi wa dini ilihali sivyo japo wanaweza kuwashawishi baadhi.Ukiangalia mtoa mada ndio taipu hiyo ni kutaka tu kuona wengine wanajua nini na kubishana.
🤣Waliomuelewa wanashusha vifungu tu.
Sijui ajulikane na nani sasa?
 
Ukiona mtu anazungumzia mambo ya kidini bila kunukuu vifungu ujue ni porojo au hisia zake binafsi na uelewa wake binafsi na sio wa kidini...Kuna watu wanapenda tu wajulikane kwa hivyo kuwa wajuzi wa dini ilihali sivyo japo wanaweza kuwashawishi baadhi.Ukiangalia mtoa mada ndio taipu hiyo ni kutaka tu kuona wengine wanajua nini na kubishana.
Ukiona mtu anazungumzia mambo ya kidini bila kunukuu vifungu ujue ni porojo au hisia zake binafsi na uelewa wake binafsi na sio wa kidini...Kuna watu wanapenda tu wajulikane kwa hivyo kuwa wajuzi wa dini ilihali sivyo japo wanaweza kuwashawishi baadhi.Ukiangalia mtoa mada ndio taipu hiyo ni kutaka tu kuona wengine wanajua nini na kubishana.
Hahahhaah
Mkuu naomba mstari Yesu amenukuu kifungu au MTU yoyote kwa kwe biblia amenukuu kusema .... 3:4.

Hizo ni mbwembwe za kisasa.
Hata Yesu alikuwa anafanya kama Mimi. Anayasema tu, akijipngeza kidogo anasema Musa ameandika bila hasemi ni Kutoka,Hesabu,Walawi,Torati,Mwanzo ,Ayubu au Zaburi zilizoandikwa na Musa.

Sio ubishi Mkuu na wewe chukua hii itakufanya urelax sana mbadala ya kukariri manamba mengi chukua neno liapply.


Karibu, tumuabudu Mungu katika mjadala huu kwa kumsema vizuri Yesu aliyekuwa na Pesa nyingi na mwenye vyote sio yule masikini na mchovu wa kwenye movie.
 
Pale sio kana Mkuu pale ni porini jamaa walimuata. Sio kwamba hakuwa na Pesa sema hakukuwa na maduka ya kununua maana ilikuwa ni porini.

Ila licha ya kuwa na Pesa nyingi, alikuwa mchumi sana sio mfujaji.

Aliwaambia wanafunzi waokote mabaki waondoke nayo. Sio Leo MTU akiwa na Pesa tu jalala linajaa mapaja ya Kuku yaliyolambwa yamebaki na minofu.
🤣🤣🤣 Damen!!.
 
Unaanza kumchunguza M/Mungu sasa.. shauri yako
 
Unaanza kumchunguza M/Mungu sasa.. shauri yako
Unaanza kumchunguza M/Mungu sasa.. shauri yako
Hajakataza Mkuu.
Uzima wa milele ni Kujua Mungu na Yesu aliyemtuma.
Tusipomjua hatuwezi kwenda peponi.

Sasa hapa tu nataka kujua kidogo katika dimension ya uchumi tu.

Tuko vzr na tuko sahihi mkuu
 
Logically tukitaka kufuata logic ya Bible kama aliweza kubadilisha mkate na kuwa mikate basi alikuwa haitaji kipato...

Ila tukifuata logic hio hio kulikuwa hakuna sababu ya kuchukua muda na kuwaconvince watu ili wamuelewe angeweza tu aka-download knowledge kwenye vichwa vya binadamu wakajua mema na mabaya..., could have saved a lot of time
 
Logically tukitaka kufuata logic ya Bible kama aliweza kubadilisha mkate na kuwa mikate basi alikuwa haitaji kipato...

Ila tukifuata logic hio hio kulikuwa hakuna sababu ya kuchukua muda na kuwaconvince watu ili wamuelewe angeweza tu aka-download knowledge kwenye vichwa vya binadamu wakajua mema na mabaya..., could have saved a lot of time
Daa
 
Yesu alikua na mpunga wa maana maandiko yanaonesha kwenye Luka 7 au 8 kuwa yule mwanamke Maria Magdalena alikuw Ni tajiri Sana inasemekana eti..
Alikuwa malikia wa magda na alimsponsor Jesus kila kitu.
Hv naeleweka naposema "kila kitu" nasikia pia Yesu alimwelewa Sana mpaka akamfanya mkuu was harakati za injili baada ya yeye kubanwa na warumi....
Baadae warumi wakamsaka Magdalena akakimbia mpaka ufaransa,mpaka akajifungua katoto ka kike kakaitwa Sarah Sasa hapa Bado Kuna tongotongo kama iyo mimba ilikuwa ya Jesus au laah.
Bhasi Petro alivyojua Magdalena kakimbia akaamua kuchukua jukumu ila ukweliii Ilo jukumu akupewa yeye Kwanza alikuwa ashamzingua Jesus.

Ila Yesu huduma yake ilikuwa na masponsor wengi ila ye mwenyeee alikuwa wa kawaida Sana .
Mbn unamzingizia yesu uongo
 
Back
Top Bottom