Nini kilikuwa chanzo cha mapato ya Bwana Yesu?

Mkuu Bethania iko mkoa waYuda.
Kana iko mkoa wa Galilaya.
Hakukuwa na mawasiliano.

Wanaweza kuwa matajiri lakini kusponsor mambo ya Kana ni issue.

Hapa kuwa na uhusiano.
Hakukuwa na mawasiliano kivipi ilhali huko kote Yesu alikuwa akipita kufundisha. Walijuana naye wakati uleule anafundisha na ufadhili ulianzia hapo. Kumbuka ni Yesu si mtu kama wewe na mimi. Kama mwingine alivyochangia huko juu, vyote ni vyake. Na hakuna kinachoshindikana kwake Yeremia 32: 27; Marko 10:27 na Luka 18:27.
 
Yesu-mnazareth, Nazareth ni sehemu alikotoka. Simioni-mkanaani, simoni aliyetokea kanaani(mwanafunzi wa Yesu) Joseph-Alimataya, alimataya sehemu alikotokea(huyu tajiri aliyetoa kaburi lake Yesu kazikwa). Mriamu huyu alitokea Magdalena sehemu pia.
Anhaa, shukrani!
 
Naunga Mkono hoja.
Ni dhambi kuwa mfuasi wa Yesu wa kristo alafu ukiwa lofalofa. Kama huna Muhasibu angalau pochi isikose notes.
 
Hahaaa! Basi yesu hakua na chanzo cha mapato physically,alikua nacho cha kiimani.Akihitaji kitu anatoa amri tu kwa power aliyo kua nayo kinatokea
 
Kwanza hiz fact zako according to nin maana nilichoona hapa umesikiliza kipindi cha wasafi kile na umechukulia sahihi ukaona Yesu alikuwa msela tu bro jaribu kukua mkubwa
Wale wasafi wanatakiwa kunisikiliza mimi, huwa nasikiliza documentary zao naona zinachanganya uongo na ukweli.

Vyote pale nulivyoandika ni maandiko tupu kamanda.
 
Hahaaa! Basi yesu hakua na chanzo cha mapato physically,alikua nacho cha kiimani.Akihitaji kitu anatoa amri tu kwa power aliyo kua nayo kinatokea
Hahaaa! Basi yesu hakua na chanzo cha mapato physically,alikua nacho cha kiimani.Akihitaji kitu anatoa amri tu kwa power aliyo kua nayo kinatokea
Hahaaa! Basi yesu hakua na chanzo cha mapato physically,alikua nacho cha kiimani.Akihitaji kitu anatoa amri tu kwa power aliyo kua nayo kinatokea
Hahaha lakini alikuwa na mfuko physical sio spiritual wa kutunzia mapesa mbalimbali.

Mpaka utembee na mfumo wa kutunza Pesa basi utakuwa na vyanzo vingi sana.
 
Makanisa ya Kikristo yamegawanyika sehemu mbili kuu

Ya kwanza ni yale yanayomfuata Yesu Maskini kwa sababu huamini Yesu alikuwa maskini na kuna yale yanayomfuata Yesu Tajiri sababu yanaamini Yesu alikuwa Tajiri na Tajiri yule alikuja kwa lengo moja kuwahubiria maskini habari njema.Habari nje kwa maskini ni kuondokana na umaskini si vinginevyo!!! Maskini ukimwambia Yesu alikuwa Maskini kwa hiyo amfuate maskini mwenzie hawezi kukubali kama kichwani akili zimo.Binafsi namfuata Yesu sababu ni Tajiri.Mimi mfuasi wa Tajiri Yesu.

Luka 4:18​

Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa
 
Inafikirisha sana... Ndiyo pale unapoambiwa za kuambiwa changanya na za kwako...
 
Wafuasi ywa Yesu tajiri wanajiamini, majasiri, hawana hofuhofu na hawapelekeshwi hovyo.

Dini nyingi zimemuhafifisha Yesu ili watu wawe docile watawaliwe kwa wepesi na uzuri
 
Habari za uwepo za yesu ni za kusadikika,hamna hata mmoja anaye weza kuzithibitisha.Hivyo,hata swali lako limejengwa katika hoja za kusadikia,hata majibu ya wadau yatakiwa ya kusadikia pia na hata ukijitahidi miaka na miaka huta pata uthibitisho so kwa nini unajisumbua kwa mambo ya kusadikia??.
 
Waanzilishi wa hizi nadharia huwa awafanikiwi kushawishi watu sijui kwa nini Mkuu.

Mmoja Prof tulienda Kutoa mapepo kwa jina LA Yesu asiyemuamini kuwa alikuwepo.

Yesu ni practical sio nadharia. Kuna mazingira ukibanwa. Utamtaka tu. Ni kama majibu huyakwepi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…