kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Ile mishale ilikua simchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi sana
Ila alivyombea atakuja kusema siku moja akiwa jukwaani maana ninachompenda mh wetu bhana hana koromeo
Haiwezi kuwa miale ya jua, wala nyota, wala reflection ya jua, kwasababu inamove na camera. Hata camera ilipogeuzwa, huo mwanga ulikuwa at the same position
Hii video imerekodiwa na simu ikiwa inaplay kwenye TV. The quickest possible explanation ni kuwa kuna mtu mmojawapo aliyekuwa anaangalia hiyo TV aliwasha flash ya siimu probably for recording, kisha reflection ya hiyo flaash ndio inayoonekana kwenye video hii. Labda utuonyeshe origina recording (sio hii recording of a recording) tuone kama hiyo artifact ipo. Otherwise, huo mwanga has nothing to do na huo moshi
It was obvious mkuuProbably you, or you could be the best lawyer
Rais Magufuli alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba.
Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
[/QUOTHawo mabeberu tu
Hakuna cha uchawi hapo. Duniani sijawahi kusikia Rais wa Nchi amerogwa. Anayebisha alete mfano hapa.
Cyprian Musiba ndiye alikwenda Ruangwa na wachawi kumtengenezea fitna membe achukiwe zaidi na magufuliUshirikina kamwe utashindwa tu
Karogwa mtume sembuse rais.
Ushirikina kamwe utashindwa tu
Kiburi si maungwana...Watamhurumiaje wakati kwenye sakata la Korosho mwaka jana Desemba alimwambia PM Majaliwa nitapiga mpaka shangazi zako. Halafu akaingia 18 zao bila adabu wala kuomba radhi
ni ngumu kupata mfano maana mambo ya nguvu giza kama wwe si mwanachama huwezi juaHakuna cha uchawi hapo. Duniani sijawahi kusikia Rais wa Nchi amerogwa. Anayebisha alete mfano hapa.
Yeye anahubiri,chuki,ukatili,manyanyaso,mauaji etc kwahiyo ubaya hulipwa ubayaHiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Amshauri muheshimiwa arejee tena ruangwani ngumu kupata mfano maana mambo ya nguvu giza kama wwe si mwanachama huwezi jua
Kwa hakili zako raisi anamaudui wa kolosho tu usikute hata wewe na ukoo wako nimmaadui ni Mungu tu ndo atamlinda hata akimalizana na hao wengine watatokeaHasira za korosho hizi, Rais bado ana maadui wengi Mno. Ni vyema hili suala la korosho likaangaliwa kwa undani zaidi kuepusha majanga zaidi.
Naona Mh. Rais alikiri kabisa kuuona moshi na ukiangalia vizuri unaona Mh. alikuwa na hofu fulani, hata walinzi walianza kama kupanic kwa kujihami kwa kuimarisha ulinzi na kuanza kuwasukuma wananchi waliohudhuria eneo hilo.
Ni vyema serikali iangalie namna ya kumalizana na hao wazee wa huko ruangwa (Hapa Waziri Mkuu itabidi aonane nao, kidogo watamsikiliza) , kwani siku zote kurudia kosa ndio kosa, wawe na moyo wa kusamehe.