Nilisita kuweka comment yangu
Lakini hii yote ni mchezo wa kuigiza
1.Kama wewe ni video analyser on spot dakika ya 4.08 ilipiwasha hii smoke screen rais aligeuka kuangalia chini baada ya sekunde 3 moshi ulikuwa umepanda juu ndio rais anasema wanaRugwa wameleta moshi wakati unatoka kwenye gari
2. The sound from the video baada ya kuwashwa smoke screen, as video analyser sound inatoka karibu na Rais, kwahiyo hii sound inatoka kwenye gari na rais alijua kinachoendelea.
Je kwanini button iliwashwa
1. Security organ Tiss walikuwa wanafanya testing ikitokea kitu as Mr President anapenda kutoa hotuba tokea kwenye gari lake, hii ni kwa ajili ya usalama wake kwa baadae
2. Tiss walikuwa wanasafisha na kutaka kudetect informer wanalikisha secret information za Nyumba nyeupe. Kwahiyo hizo information zote kwenda kwa kigogo2014 zilikuwa zinatoka kwa wenyewe. Lengo ni kukata milija ya kigogo
From now on Kigogo2014 will be no longer
Hii video haina mambo ya uchawi