Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Watamhurumiaje wakati kwenye sakata la Korosho mwaka jana Desemba alimwambia PM Majaliwa nitapiga mpaka shangazi zako. Halafu akaingia 18 zao bila adabu wala kuomba radhi

We mpumbavu JPM alikuwa na nia njema sana na hao watu na hat kuruhusu watu walipwe hela nyingi sana kwa Kilo moja. So nakushangaa sana. Utekelezaji una watu kama wewe unatanguliza tumbo lako.
 
Tunaorimia meno tunaomba alieyaondoa ma power tiller ajifie ili tuepukane na hii adhabu.
Maana hata mazinjatropas hayakulimiaga meno!!
Huyu mtu ni katili dhidi ya bin adamu.
 
Nilisita kuweka comment yangu

Lakini hii yote ni mchezo wa kuigiza

1.Kama wewe ni video analyser on spot dakika ya 4.08 ilipiwasha hii smoke screen rais aligeuka kuangalia chini baada ya sekunde 3 moshi ulikuwa umepanda juu ndio rais anasema wanaRugwa wameleta moshi wakati unatoka kwenye gari

2. The sound from the video baada ya kuwashwa smoke screen, as video analyser sound inatoka karibu na Rais, kwahiyo hii sound inatoka kwenye gari na rais alijua kinachoendelea.


Je kwanini button iliwashwa

1. Security organ Tiss walikuwa wanafanya testing ikitokea kitu as Mr President anapenda kutoa hotuba tokea kwenye gari lake, hii ni kwa ajili ya usalama wake kwa baadae


2. Tiss walikuwa wanasafisha na kutaka kudetect informer wanalikisha secret information za Nyumba nyeupe. Kwahiyo hizo information zote kwenda kwa kigogo2014 zilikuwa zinatoka kwa wenyewe. Lengo ni kukata milija ya kigogo


From now on Kigogo2014 will be no longer


Hii video haina mambo ya uchawi
Uko sahihi ila umezidi kidogo tu kuanza kuingiza kigogo hapo.
 
Mpaka mnaleta na Moshi
Ukiangalia clip vizuri inaonekana kuna mwanga kama wa flash hivi halafu na sauti inafuata kama kuharibika kwa kitu ( kama ni hiyo camera imepata hitilafu vile)

Lakini baada ya mwanga mkali wa kwanza na sauti halafu moshi, bado mwanga ule ulikuwa upo kadri camera ilivyokuwa inazunguka
Ngoja niwatumia NASA wakaingalie vizuri [emoji23] maana hii kama sio hitilafu ya camera basi acha tuwapambanishe na sayansi
View attachment 1238981View attachment 1238980
Huo mwanga ni simu ya mtu aliyekuwa anarekodi kwenye TV. No doubt.
 
Hakuna cha uchawi hapo. Duniani sijawahi kusikia Rais wa Nchi amerogwa. Anayebisha alete mfano hapa.
 
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya

Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani

Hilary Clinton imempata mara kadhaa

Tuhubiri amani Upendo na akupendana

Britannica
Huyu jamaa simjui kwa nini IZRAILI anamchelewesha
 
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya

Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani

Hilary Clinton imempata mara kadhaa

Tuhubiri amani Upendo na akupendana

Britannica
Uko sahihi. Tatizo letu tunaamini Magufuli akipata matatizo na kuondoka, itakuwa nafuu yetu, bila kufahamu nani anakuja. Hiyo nafuu yenyewe inayowindwa, itokane na wizi!

Angela Merkel amekuwa akihangaika sana jukwaani kwa kutetemeka,
Boris Yeltsin alifanyiwa heart bypass akiwa raid, etc.
 
Sasa mwanga wa jua plus refrection ya iyo camera nd una sema uchawi ..moshi nao auja oneshwa ulipo tokea maana video ime onesha juuu juu tu...


Inshort i mada ni moja ya Pumba nilizo jutia kuzi soma mwaka 2019
Elezea wewe nini kimetokea pumbavu
 
Back
Top Bottom