Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?



Probably you, or you could be the best lawyer
 
Tatizo la kila kitu na huu uvumi na yeye kutoonekana hadharani kwa masaa 48 lilianzia pale , wananchi wana haki ya kujua ni kitu gani pale kilitoa mlio na kufuatiwa na moshi uliom suffocate ....
Je ni "uchawi" kaama kisingizio au well calculated smuggled tear gas kwenye gari yake ....simply kwakuwa yeye tayari ana matatizo ya kifua imekua rahisi kumfanya aka faint
Baada ya masaa 48 'alijitokeza' jumapili akionekana mchovu , na baada ya hapo hadi leo haijulikani anafanya nini na yuko wapi ..sio kawaida yake kutokana na uchapa kazi wake ....
 
Hakuna cha uchawi hapo. Duniani sijawahi kusikia Rais wa Nchi amerogwa. Anayebisha alete mfano hapa.
ni ngumu kupata mfano maana mambo ya nguvu giza kama wwe si mwanachama huwezi jua
 
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya

Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani

Hilary Clinton imempata mara kadhaa

Tuhubiri amani Upendo na akupendana

Britannica
Yeye anahubiri,chuki,ukatili,manyanyaso,mauaji etc kwahiyo ubaya hulipwa ubaya
 
Wazee wa Ruangwa walimua-underestimate mzee wakampa doze ya mtoto wa shule.
 
Kwa hakili zako raisi anamaudui wa kolosho tu usikute hata wewe na ukoo wako nimmaadui ni Mungu tu ndo atamlinda hata akimalizana na hao wengine watatokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…