Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamempiga heart attack ya maana. Tetesi ni kuwa jamaa yupo ujerumani kimatibabuJe inawezekana wazee wa Ruangwa wamefanya mambo yao makubwa kuliko wale wachawi 900 wa Gamboshi?
ha ha ha ha ha kule kuna uchawi wa ngende ni hatari huko hata sumbawanga hawaingii ngende hicho kijiji ni noma watu wa Lindi na Mtwara wanajuaMzee kapigwa kipapai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatoki salama
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Hii video nimecheka sana sasa watu wanaletewa maendeleo wao wanaenda kumloga jamani ndio mana lindi na mtwara hakuendeleiJPM alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba. Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
Amani na Upendo sio kuandika hukumu ya kifo kwa mpinzani wako wa kisiasa au anayetokukosoa, upendo na amani sio kuwabakikia kesi wapinzani wako wala kuwaziba midomo wasinene au kuwatukana
Mkishaparamia, kubughia na kushindilia kiporo cha kande iliyochacha kisawasawa mnajifanya kutoa nasaha za sympathyAmani na Upendo sio kuandika hukumu ya kifo kwa mpinzani wako wa kisiasa au anayetokukosoa, upendo na amani sio kuwabakikia kesi wapinzani wako wala kuwaziba midomo wasinene au kuwatukana