Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
just google there is a thousand and more picture/photos of Lisu!Where did you get this ?
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Stuxnet!Nimeileta kama nilivyoipata, labda tusubiri wataalamu wenyewe wa Ruangwa waje watujuze.
Huyu siyo yeye. Internet bwana. Msipokuwa makini mtadanganywa mpaka basi.
Malipo ni hapa hapa dunianiWatamhurumiaje wakati kwenye sakata la Korosho mwaka jana Desemba alimwambia PM Majaliwa nitapiga mpaka shangazi zako. Halafu akaingia 18 zao bila adabu wala kuomba radhi
Mmmm!!Watamhurumiaje wakati kwenye sakata la Korosho mwaka jana Desemba alimwambia PM Majaliwa nitapiga mpaka shangazi zako. Halafu akaingia 18 zao bila adabu wala kuomba radhi
click this link pleaseHuyu siyo yeye. Internet bwana. Msipokuwa makini mtadanganywa mpaka basi.
Kama Lissu sawa. I thought you meant Mr P.just google there is a thousand and more picture/photos of Lisu!
No, Lisu!Kama Lissu sawa. I thought you meant Mr P.
Hapo sawa.No, Lisu!
Si moshi tu huo, hakuna la ziadaNimeileta kama nilivyoipata, labda tusubiri wataalamu wenyewe wa Ruangwa waje watujuze.
siamini katika vodoo!Watamhurumiaje wakati kwenye sakata la Korosho mwaka jana Desemba alimwambia PM Majaliwa nitapiga mpaka shangazi zako. Halafu akaingia 18 zao bila adabu wala kuomba radhi
JPM alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba. Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956