Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee! je hamna sauti yoyote iliyosikika?kumetokea kama mwanga wa nyota mara moshi from nowhere akainama na kamera ikakwepeshwa ghafla
Mpaka mnaleta na Moshi
Ukiangalia clip vizuri inaonekana kuna mwanga kama wa flash hivi halafu na sauti inafuata kama kuharibika kwa kitu ( kama ni hiyo camera imepata hitilafu vile)
Lakini baada ya mwanga mkali wa kwanza na sauti halafu moshi, bado mwanga ule ulikuwa upo kadri camera ilivyokuwa inazunguka
Ngoja niwatumia NASA wakaingalie vizuri [emoji23] maana hii kama sio hitilafu ya camera basi acha tuwapambanishe na sayansi
View attachment 1238981View attachment 1238980
Watamhurumiaje wakati kwenye sakata la Korosho mwaka jana Desemba alimwambia PM Majaliwa nitapiga mpaka shangazi zako. Halafu akaingia 18 zao bila adabu wala kuomba radhi
Ataweza kumuelewa kweli majaliwa
Angalia vizuri ni kioo kimepasuka cha tv
Af fananisha angle ya mrekodi video before na after Imechangee Ndio ikaonesha like radi.
Unakumbuka nyumba za kimara waliovunjiwa ? Wajane, akina bibi, akina babu, akina mama ...Ukiwatukana, kuua, kushambulia kwa risasi, kufukuza kazi watu ovyo.
Tegemea outcome kama izi malipo ni hapahapa duniani tusiwe wanafiki jamaa ameumiza watu sana kuliko mambo aliyoyafanya.
JPM alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba. Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
Watu mnajua sana kuunganisha matukio, kwani wa uwazi na ukweli alikuwambia hivyo?Kuna Stori niliwahi Kusikia kuwa kama kuna Watu wanajua Kuroga nchini Tanzania na wakikuamulia Kidhati kabisa hawakukosi japo huwa ni Wapole ni Watu wa hii Mikoa ya Kusini ya Lindi na Mtwara. Kuna Kiongozi Mmoja nae huko nyuma alijifanya Kuwadharau wakati akijua nae anatokea huko huko alichokikuta katika Goti lake la Kulia alikoma nao na hadi hivi leo amehama na hata Mkoa wenyewe huku akiwa amejikita Mkoa mmoja ulio Jirani na Bahari ya Hindi ambao una Wanawake wanaojua Mahaba Tanzania nzima unaoweza hata Kukufanya usahau Kwenu au Wazazi wako kwa miaka yako uliyopangiwa Kuiishi duniani na Mwenyezi Mungu.
Wangenijumuisha
Utaalamu wanao Ola wamezidiwaAna kundi kubwa la walinzi ambao hawana utaalam na malimwengu...
iwe vyovyote vile yeye siyo binadamu Wa Kwanza kuumwa na hatokuwa Wa mwisho ..tumuombee mema Raisi wetuJPM alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba. Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Watu mnajua sana kuunganisha matukio, kwani wa uwazi na ukweli alikuwambia hivyo?