Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Watu wa huko kusini ni noma sana, Juma Akukweti walimtungulia huko mbeya na ukawa mwisho wake
 
Mambo ya Nyakati wa Tano(5 th Chronicles) ya TANZANIA Chini ya JPM ni Kama Maji usipotaka kuyanywa basi utayakoga. Mulizeni kinana na makambas walikoga wakaloa.
 
Haiwezi kuwa miale ya jua, wala nyota, wala reflection ya jua, kwasababu inamove na camera. Hata camera ilipogeuzwa, huo mwanga ulikuwa at the same position

Hii video imerekodiwa na simu ikiwa inaplay kwenye TV. The quickest possible explanation ni kuwa kuna mtu mmojawapo aliyekuwa anaangalia hiyo TV aliwasha flash ya siimu probably for recording, kisha reflection ya hiyo flaash ndio inayoonekana kwenye video hii. Labda utuonyeshe origina recording (sio hii recording of a recording) tuone kama hiyo artifact ipo. Otherwise, huo mwanga has nothing to do na huo moshi
Kuwasha flash mchana si ishu ya kawaida , hivyo assumption yako nayo bado ni proba tu
 
Ni swala la wakati, ngoja tusubiri maana hiyo walikuwa wana test mitambo
Looo ,Hatareeeeeeeeeeeee,ule si moshi wa kimafia lakini?
Na lini ilitokea ile kitu? maana mzee juzi si alikuwa Dodoma?
Au sasa ndo kusema baada ya tukio hili la moshi,mzee katoweka machoni pa 'public'?
 
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya

Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani

Hilary Clinton imempata mara kadhaa

Tuhubiri amani Upendo na akupendana

Britannica

Nakuunga mkono, japo unayemtetea hakuwazii Jema hata moja. Anawaza sifa tu na faida zake binafsi
 
Hasira za korosho hizi, Rais bado ana maadui wengi Mno. Ni vyema hili suala la korosho likaangaliwa kwa undani zaidi kuepusha majanga zaidi.

Naona Mh. Rais alikiri kabisa kuuona moshi na ukiangalia vizuri unaona Mh. alikuwa na hofu fulani, hata walinzi walianza kama kupanic kwa kujihami kwa kuimarisha ulinzi na kuanza kuwasukuma wananchi waliohudhuria eneo hilo.

Ni vyema serikali iangalie namna ya kumalizana na hao wazee wa huko ruangwa (Hapa Waziri Mkuu itabidi aonane nao, kidogo watamsikiliza) , kwani siku zote kurudia kosa ndio kosa, wawe na moyo wa kusamehe.

Umesema vyema sana Ila Yule njemba akisoma ushauri wako tu, anasema;hiiiiiiii! Mimi kabisa Rais, niombe msamaha!
 
nachukia sana uchawi na ni aibu ktk dunia ya leo kuushabikia! folish!

Hakuna cha uchawi pale ,lile lilikuwa Jaribio la dhahiri lililoratibiwa vizuri , hawa watu wanafiki sana ...Tuombe Mungu Ampe utimamu wa mwili wa haraka ,tutajuwa mengi watajana tu , muhimu alindwe zaidi maana walioratibu wanajua akinyanyuka wataumbuka ....
Hata mtoto mdogo huwezi kumuambia kuwa Gari yenye security feutures kama ile inaweza kuanza kufuka moto na moshi hivi hivi tu ..
 
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya

Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani

Hilary Clinton imempata mara kadhaa

Tuhubiri amani Upendo na akupendana

Britannica
Akili matope. Umeulizwa nini kilitokea Ruangwa we unataja watu wengine. Ule moshi ulitokea wapi
 
Hakuna cha uchawi pale ,lile lilikuwa Jaribio la dhahiri lililoratibiwa vizuri , hawa watu wanafiki sana ...Tuombe Mungu Ampe utimamu wa mwili wa haraka ,tutajuwa mengi watajana tu , muhimu alindwe zaidi maana walioratibu wanajua akinyanyuka wataumbuka ....
Hata mtoto mdogo huwezi kumuambia kuwa Gari yenye security feutures kama ile inaweza kuanza kufuka moto na moshi hivi hivi tu ..
Jaribio la kitu gani? La kuchoma gari au la uchawi? Mbona kila possibility unaikataa na unabaki kubeat around the bush
 


Full video.​



Musiba anapoilipua Jamii Forum na Max hajakosea kwa sababu Jukwaa hili limezuia Video iliyotokea kwenye tukio hata ukiweka ina-direct kwenye video nyingine. Huu ni upotoshaji wa hali ya juu kuweza kukubaliana na narrative ya Zito Kabwe et al. Absolutely pathetic!
 
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya

Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani

Hilary Clinton imempata mara kadhaa

Tuhubiri amani Upendo na akupendana

Britannica
Umeendika vizuri lkn yalipo mkuta lisu sijaona kuongea kitu upendo na amani
 
Back
Top Bottom