Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Nini kilimpata Rais Magufuli akiwa anahutubia Ruangwa?

Mimi kijana wenu mpendwa ninawasalimu sana. Ni muda mrefu toka tuonane kipindi kile nikiwa napita hapo Ruangwa nikielekea Nachingwea shuleni.

Utulivu huu ulipo wikendi hii unaletwa kwa hisani yenu wazee. Hatujasikia matusi wala makelele ktk Runinga zetu wala redio wikendi hii tuna Amani kweli kweli.

Wakati tumezulumiwa nyongeza za mishahara kwa miaka minne, kutopandishwa vyeo kwa wakati, kutolipwa pesa za likizo, na zuluma kede kede Mtu anatuongezea mimatusi na kebehi za ulevi wa madaraka.

Wazee endeleeni na Moyo huo huo wa kulipenda taifa letu. Ninyi ndio tumaini pekee lililo bakia kuleta Amani na utulivu mioyoni mwetu wana wa nchi.

CC wapenda Amani
Ushauri mzuri lakini waache kuwatimua viongozi mikutanoni kwa kuwafukizia Moshi mzito kama wanavyofanya kuuwa wadudu waharibifu wa korosho.
 
Rais akionekana Live sana tunalalamika anonekana yeye, akiongea ana tukana, asipoonekana siku moja kazidiwa na ugonjwa, asipoongea napo tunauliza Rais gani hasemi chochote.. Daah this is too much, nini tunataka Ndugu?
umewahi kusikia watu wanalalamika nyerere alikuwa anaongea sana japo alishiriki kusababisha economic recession 1980s. uliwahi kusikia?
 
Mimi kijana wenu mpendwa ninawasalimu sana. Ni muda mrefu toka tuonane kipindi kile nikiwa napita hapo Ruangwa nikielekea Nachingwea shuleni.

Utulivu huu ulipo wikendi hii unaletwa kwa hisani yenu wazee. Hatujasikia matusi wala makelele ktk Runinga zetu wala redio wikendi hii tuna Amani kweli kweli.

Wakati tumezulumiwa nyongeza za mishahara kwa miaka minne, kutopandishwa vyeo kwa wakati, kutolipwa pesa za likizo, na zuluma kede kede Mtu anatuongezea mimatusi na kebehi za ulevi wa madaraka.

Wazee endeleeni na Moyo huo huo wa kulipenda taifa letu. Ninyi ndio tumaini pekee lililo bakia kuleta Amani na utulivu mioyoni mwetu wana wa nchi.

CC wapenda Amani
Vilevile niwatake wazee wa nchi nzima kila anakopita wampe dozi kama za Mashangazi ili awe na adabu, tumchague, tumpe madaraka halafu atutukane, atutishe, atukebehi, ajimwambafai, wazee mwonyesheni kazi kuunga mkono juhudi za Mashangazi.
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 we mnyalukolo acha ujinga.
 
Rais akionekana Live sana tunalalamika anonekana yeye, akiongea ana tukana, asipoonekana siku moja kazidiwa na ugonjwa, asipoongea napo tunauliza Rais gani hasemi chochote.. Daah this is too much, nini tunataka Ndugu?
[/QUOTE
We kenge ni wapi Rais wetu katajwa?₩ Kweli we ni vuvuzerá tu
 
Wanakuwa wame miss matusi, kebehi, dharau,majigambo na kujimwambafy. Ila sio kuwa wanampenda la hasha.
Rais akionekana Live sana tunalalamika anonekana yeye, akiongea ana tukana, asipoonekana siku moja kazidiwa na ugonjwa, asipoongea napo tunauliza Rais gani hasemi chochote.. Daah this is too much, nini tunataka Ndugu?
 
Rais akionekana Live sana tunalalamika anonekana yeye, akiongea ana tukana, asipoonekana siku moja kazidiwa na ugonjwa, asipoongea napo tunauliza Rais gani hasemi chochote.. Daah this is too much, nini tunataka Ndugu?
Kwani rais hawezi kuonekana bila kutukana?
 
Mimi kijana wenu mpendwa ninawasalimu sana. Ni muda mrefu toka tuonane kipindi kile nikiwa napita hapo Ruangwa nikielekea Nachingwea shuleni.

Utulivu huu ulipo wikendi hii unaletwa kwa hisani yenu wazee. Hatujasikia matusi wala makelele ktk Runinga zetu wala redio wikendi hii tuna Amani kweli kweli.

Wakati tumedhulumiwa nyongeza za mishahara kwa miaka minne, kutopandishwa vyeo kwa wakati, kutolipwa pesa za likizo, na dhuruma kede kede Mtu anatuongezea mimatusi na kebehi za ulevi wa madaraka.

Wazee endeleeni na Moyo huo huo wa kulipenda taifa letu. Ninyi ndio tumaini pekee lililo bakia kuleta Amani na utulivu mioyoni mwetu wana wa nchi.

CC wapenda Amani
Ulienda shule lakini hujaelimika, pole sana
 
Mimi kijana wenu mpendwa ninawasalimu sana. Ni muda mrefu toka tuonane kipindi kile nikiwa napita hapo Ruangwa nikielekea Nachingwea shuleni.

Utulivu huu ulipo wikendi hii unaletwa kwa hisani yenu wazee. Hatujasikia matusi wala makelele ktk Runinga zetu wala redio wikendi hii tuna Amani kweli kweli.

Wakati tumedhulumiwa nyongeza za mishahara kwa miaka minne, kutopandishwa vyeo kwa wakati, kutolipwa pesa za likizo, na dhuruma kede kede Mtu anatuongezea mimatusi na kebehi za ulevi wa madaraka.

Wazee endeleeni na Moyo huo huo wa kulipenda taifa letu. Ninyi ndio tumaini pekee lililo bakia kuleta Amani na utulivu mioyoni mwetu wana wa nchi.

CC wapenda Amani
Onyo alilopewa naona sasa kanyooka hata hutuba anasoma
 
Watu walitaka kufanya yao. Ukiangalia vizuri utaona pia kama mwanga wa nyota kama sio miale ya jua.

Yeye aliwashtukia mapema. Nimekumbuka Kuna kiongozi aliokolewa jukwaani na wazee kabla ya radi kulipasua jukwaa.

Tuwaombee viongozi wetu wanakumbana na mengi
Huo mwanga ni flash ya aliekua akirecord hio video toka kwenye TV
 
Haya
Naona Mmeanza Kuleta Moshi Hapa
Hii Ni Kazi Ya Ruangwa!!😀😁😂🤣😃😄😅
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
Mungu ana mengi, yetu machache sana na eti tunayaona ni mengi na muda hautoshi. Hatuna muda mwingi ni bora tukautumia muda huu mchache kufurahia maisha na kutendeana wema.
kwa kilichotokea Ruangwa 'siri ya mtungi aijuaye kata'
Umenisemea maneno yangu. Naamini unabii wa God bless Lema utatimia. Jiwe anachopaswa kufanya ni kusikia ushauri wa wengine, kuacha matusi na udhalilishaji na kuiacha nchi kwenye misingi ya demokrasia na utawala bora.

Akipuuza, naiona nguvu kubwa ikiteremka kuliko ya Ruangwa.
 
Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya

Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani

Hilary Clinton imempata mara kadhaa

Tuhubiri amani Upendo na akupendana

Britannica


Walivukiziwa moshi jukwaani?
 
Back
Top Bottom