Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
hata walinzi walianza kama kupanic kwa kujihami kwa kuimarisha ulinzi na kuanza kuwasukuma wananchi waliohudhuria eneo hilo.
Believe me ulinzi wote ulikuwa disabled.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata walinzi walianza kama kupanic kwa kujihami kwa kuimarisha ulinzi na kuanza kuwasukuma wananchi waliohudhuria eneo hilo.
Mzee karushiwa Kombora la kichawiRais Magufuli alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba.
Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
Usitudanganye hao unaowataja uliona moshi ukiwafunika? mambo haya huambatana na tabia ya mtu.Hiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Ni uongo unatudanganya Nyerere tulimfahamu alikuwa mcha Mungu mpenda haki kwa wote bila ubaguzi.Inawezekana wewe Nyerere unamwona kwenye picha tu. hata siku moja hakufanya huu upuuzi wa Gamboshi ya wachawi 900.Yanatokea mara nyingi kwa watawala,tulikuwa tukisikia Nyerere akienda Butiama kwa mapumziko mafupi.
Na kuna wakati Mzee Ruksa aliondoka na familia yake kwenda Zanzibar sababu zinazofanana.
Lakini ni mambo ya nyumba nyeupe sio porini ati.
Labda ni mwiko kuhama Ikulu ya Dar ukiwa Raisi wa Tanzania na kwenda kuishi Ikulu ya Dodoma,kwani Nyerere nae alichomoa akarudi Dar.
Unalishwa maneno, very pathetic.Ni uongo unatudanganya Nyerere tulimfahamu alikuwa mcha Mungu mpenda haki kwa wote bila ubaguzi.Inawezekana wewe Nyerere unamwona kwenye picha tu. hata siku moja hakufanya huu upuuzi wa Gamboshi ya wachawi 900.
Sinema ilichezwa na akina cyprian Musiba ili kumchonganisha na membemchawi hana fadhira anawatafutia malipo ya korosho wana mlipa uchawi !!
Endelea unajidanganya!! Ile ni mitambo ilikuwa ina testiwa tu!!Hakuna kilichotokea zaid ya moshi kuwa mwingi baada ya hapo mkutano uliendelea, hayo ni majungu ya wapotoshaji ie Zito Kabwe na genge lake. Full Video ipo you tube, hapa JF hata ukiweka haionekani kwa sababu wameizuia kuendeleza agenda yao.
Kwa kilichotokea baada ya moshi uliotokea kwenye gari ya Mh Rais na uzushi uliofuata kuzushiwa maradhi,kusafirishwa kwenda South Africa then Germany ukiunganisha dots kwa utulivu hasa ukihusisha hili la moshi lilitokea Lindi ,umiliki wa account ya Kigogo kuhusishwa Zitto Kabwe na Membe anavyotajwa kutaka kuhamia ACT Wazalendo na kuwa mgombea urais wao utajua nini kilikuwa nyuma yakeRais Magufuli alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba.
Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
Ukweli ni kwamba alipata mtafaruku wa siku 2 na alikatisha ziara ya Kibiti na Mkuranga. Hata kama hakupelekwa SA na Germany kama anavyodai Kigogo, ila ukweli ni kwamba bado hali yake tia maji tia maji.Kwa kilichotokea baada ya moshi uliotokea kwenye gari ya Mh Rais na uzushi uliofuata kuzushiwa maradhi,kusafirishwa kwenda South Africa then Germany ukiunganisha dots kwa utulivu hasa ukihusisha hili la moshi lilitokea Lindi ,umiliki wa account ya Kigogo kuhusishwa Zitto Kabwe na Membe anavyotajwa kutaka kuhamia ACT Wazalendo na kuwa mgombea urais wao utajua nini kilikuwa nyuma yake
Alikula Nakapanya akalala Nanguruwe .Ni hayo tu.Rais Magufuli alipokuwa anahutubia wananchi huko Ruangwa kwenye kijiji fulani juu ya gari, mara moshi ukaanza kufuka. Na hapo hapo akakatisha hotuba.
Angalia video hapo chini.
View attachment 1238956
Believe me ulinzi wote ulikuwa disabled.
Umeandika vizuri amani inaanza kwa viongozi kwanza endapokua utaheshimu katibu utawala bora vyama vya upinzani nawatu wanaokukosoa pale unapokosea Basi amani itakuwepoHiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica
Kwa kilichotokea baada ya moshi uliotokea kwenye gari ya Mh Rais na uzushi uliofuata kuzushiwa maradhi,kusafirishwa kwenda South Africa then Germany ukiunganisha dots kwa utulivu hasa ukihusisha hili la moshi lilitokea Lindi ,umiliki wa account ya Kigogo kuhusishwa Zitto Kabwe na Membe anavyotajwa kutaka kuhamia ACT Wazalendo na kuwa mgombea urais wao utajua nini kilikuwa nyuma yake
Na mimi nataka kujua, moshi ulitokea wapi?
Nje ya mada kwa kiasi kikubwaHiyo ni kawaida Kwa kila Binadamu kupatwa na Matatizo kiafya
Ni suala la Kawaida hata JK ilimpata jangwani
Hilary Clinton imempata mara kadhaa
Tuhubiri amani Upendo na akupendana
Britannica